Uchaguzi wa Magufuli wazua hisia tofauti TZ
Kuchaguliwa kwa waziri wa ujenzi nchini Tanzania Daktari John Magufuli kubeba bendera ya chama tawala cha CCM katika uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu kumepokelewa na hisia tofauti na wananchi nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Muziki wa J-Lo wazua hisia kali Morocco
10 years ago
Habarileo26 Sep
Katiba mpya hisia tofauti
RASIMU ya tatu ambayo imetolewa hadharani juzi na Bunge Maalum la Katiba, imepokewa kwa maoni mbalimbali. Baadhi ya wananchi wameipongeza kwa kuingiza mambo ya msingi na wengine wameonesha kutoridhishwa na rasimu hiyo.
10 years ago
Mtanzania10 Oct
Katiba yapokewa kwa hisia tofauti
NA WAANDISHI WETU
SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba, watu wa kada mbalimbali wameipokea kwa hisia tofauti.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jana, walisema kuna mambo mengi muhimu ambayo yameachwa ingawa imechukua zaidi ya asilimia 81 ya mapendekezo ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba.
PROFESA MPANGALA
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Hisia tofauti kuhusu wataalamu wa gesi
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Ilani ya CCM yapokewa kwa hisia tofauti
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-M5JLAFxn1EwsLE*2kclFbQXRgocEJjCQGkxu-GLx6BuMFy26pCDQ1Xp04qKuDlSyVUZcw-kzcb68kfjhyfIs2hBiC2G4tjj/magufuli.jpg?width=650)
MAGUFULI, LOWASSA WAZUA BALAA!
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Mawaziri watatu wa Magufuli wazua utata
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/sXUZNx4-URk/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3xix1B0yXrw/XlDwWeYdsTI/AAAAAAALezY/eS3VJnaaKVQDQ7X5ymQb9Am4mBhWoybPwCLcBGAsYHQ/s72-c/e0c681b2-5669-44fd-9940-2176e2c3effc.jpg)
WAZEE WA MTAMA WASHINDWA KUZUIA HISIA ZAO KWA RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3xix1B0yXrw/XlDwWeYdsTI/AAAAAAALezY/eS3VJnaaKVQDQ7X5ymQb9Am4mBhWoybPwCLcBGAsYHQ/s640/e0c681b2-5669-44fd-9940-2176e2c3effc.jpg)
Akieleza kwa niaba ya wazee hao, Mbunge wa jimbo la Mtama Ndg. Nape Mosses Nnaye, ameleeza kuwa wazee wapo tayari na wamejipanga kumchangia gharama za fomu za Urais ili kuonesha mapenzi yao kwake kutokana na namna...