WAZEE WA MTAMA WASHINDWA KUZUIA HISIA ZAO KWA RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3xix1B0yXrw/XlDwWeYdsTI/AAAAAAALezY/eS3VJnaaKVQDQ7X5ymQb9Am4mBhWoybPwCLcBGAsYHQ/s72-c/e0c681b2-5669-44fd-9940-2176e2c3effc.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Dkt. Bashiru Ally akiendelea na ziara yake Mkoani Mtwara kuelekea jimbo la Ndanda kupitia jimbo la Mtama, wazee wameshindwa kuzuia hisia zao kwa Rais Magufuli kwa kuonesha nia ya kutaka kumchangia gharama za fomu za Urais mwaka 2020.
Akieleza kwa niaba ya wazee hao, Mbunge wa jimbo la Mtama Ndg. Nape Mosses Nnaye, ameleeza kuwa wazee wapo tayari na wamejipanga kumchangia gharama za fomu za Urais ili kuonesha mapenzi yao kwake kutokana na namna...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cxEkbzwy32Q/XrPIDCLKNJI/AAAAAAACKMA/Zjfj3ori--I5MWF74eINExbTy8SB_oFpQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200507_113251.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI APONGEZWA KUTOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA, INASAIDIA KUZUIA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cxEkbzwy32Q/XrPIDCLKNJI/AAAAAAACKMA/Zjfj3ori--I5MWF74eINExbTy8SB_oFpQCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200507_113251.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa kuwasamehe wafungwa 3973 uliofanywa na Rais Dk. John Magufuli (pichani) ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona.
Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.
Alieleza kuwa msamaha huo ni...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tkeZa42HjVI/ViKZB40cMkI/AAAAAAAIAl4/k2usBhNhw0E/s72-c/_MG_7029.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAKIRI WAZI HAIJAPATA KUTOKEA,WAELEZA HISIA ZAO KUWA MAGUFULI ANATOSHA NAFASI YA URAIS.
![](http://1.bp.blogspot.com/-tkeZa42HjVI/ViKZB40cMkI/AAAAAAAIAl4/k2usBhNhw0E/s640/_MG_7029.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mMl3fEogN20/ViKZFhd8cxI/AAAAAAAIAmA/e-wCJ0YN42o/s640/_MG_7034.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Mar
4 mbaroni kwa kuua wazee 3 wakidaiwa kuzuia mvua
WATU wanne akiwemo Mwenyekiti wa Kijiji cha Ihanda na wazee wawili wa kimila wa kijiji hicho wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kuhusu kuuawa kwa wazee wawili mtu na mkewe.
10 years ago
Vijimambo12 Dec
TASWIRA,WAKAZI WA MEATU WALIVYOTOA HISIA ZAO KWA MWIGULU HII LEO ASUBUHI
![](https://scontent-b-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10412004_320970088105226_1031506155742008659_n.jpg?oh=2fda4430f0da12b0db38fdc81ea0e45f&oe=550811C0)
![](https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10407823_320970231438545_329675611837839121_n.jpg?oh=52cc47c0dc051b7e7b68230e5802ae04&oe=550719C7&__gda__=1425926030_50f6ee5b889334a23270048a9c272c8e)
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/1558501_320970274771874_2299597896817030127_n.jpg?oh=6b271520fd33a27e4a53709ff9abbe98&oe=5507E1BA&__gda__=1430634631_99950049876296141a9e8de3a665210d)
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10429352_320970414771860_5396356687723862500_n.jpg?oh=0f2a054e561bd5a8b0771661969bd259&oe=55476A40)
![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/10439494_320970324771869_5890798777481089380_n.jpg?oh=d40da2faa504f66a557b473c9b08ea67&oe=55149496&__gda__=1430529319_f8dd0d696b63b5d84742daa18334e18b)
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10441035_320970368105198_4327699698485445088_n.jpg?oh=00ca8b1a2c942114ba6d0c4e18dad9b5&oe=550F9DB8)
![](https://scontent-b-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/1937441_320970478105187_5838894816390767449_n.jpg?oh=87f045cb17bb65d78712236c00cc29c3&oe=550E3161)
9 years ago
VijimamboDK.MAGUFULI ASEMA WAPINZANI WANUNE, WACHEKE YEYE NDIYE RAIS 2015, AMFAGILIA NAPE MTAMA
Akihutubia mjini Mtama, amesema kuwa Wapinzani Wanune, Wacheke yeye ndiye Rais 2015 na atahakikisha anafanya kazi kwa kuwaletea mafanikio watanzania.
9 years ago
MichuziRais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli Atoa Mkono wa Krismas na Mwaka Mpya kwa Wazee wa Kijiji cha Welezo Zanzibar.
Mlukulu wa Ikulu Zanzibar Ndg Ameir Ali Khatib akimkabidhi Mbuzi Sister Mary Gemma wa kituo cha Wazee Welezo, hafla hiyo imefanyika katika makaazi ya Wazee hao Welezo Zanzibar, Vyakula hivyo vimetolewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kwa ajili ya Wazee hao kujumuiika na Wananchi katika kusherehekea Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-eP63lMmMCc0/XndVoEhLdlI/AAAAAAACJFY/zrhpRBMlYscBgiSxe7YeI7ewx_KQ0YXUACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_150152_109.jpg)
RAIS MAGUFULI: WATANZANIA NA WAGENI WATAKAOINGIA NCHINI KUTOKA NCHI ZILIZOATHIRIWA NA CORONA WOTE KUJITENGA SIKU 14 KWA GHARAMA ZAO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-eP63lMmMCc0/XndVoEhLdlI/AAAAAAACJFY/zrhpRBMlYscBgiSxe7YeI7ewx_KQ0YXUACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200322_150152_109.jpg)
IKULU, Chamwino, Dodoma
Rais Dk. John Magufuli leo ametangaza hatua nyingine ili za kukabiliana na ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Coron
Rais Dk. John Magufuli amesema kuanzia kesho wasafiri wote watakaoingia nchini kutoka katika mataifa yaliyoathirika zaidi na ugonjwa wa Corona, watalazimika kufikia sehemu za kujitenga kwa siku 14 kwa gharama zao wenyewe.
Akihutubia taifa,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-kjlrbEwEPbk/XsvIQHpAmLI/AAAAAAACLrA/GIIWs0FfRR4d5KOvSPiwwuH2Wfja3l0uACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200525_162118.jpg)
KIGOMA WAAHIDI KUMPA RAIS DK. MAGUFULI ASANTE YA KURA ZA KISHINDO 2020 KWA DHAMIRA YAKE YA KUFUFUA ZAO LA MICHIKICHI MKOANI HUMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-kjlrbEwEPbk/XsvIQHpAmLI/AAAAAAACLrA/GIIWs0FfRR4d5KOvSPiwwuH2Wfja3l0uACLcBGAsYHQ/s200/IMG_20200525_162118.jpg)
Tumekuwa kwa zao hilo na hata wazazi wetu wamesoma shule kwa zao hilo ambalo kwa miaka ya nyuma ndio lilikuwa zao kubwa sana na ndio maana kwenye kila kaya ndani ya mkoa wa Kigoma huwezi ukakosa kukuta mashine ya kukamua mawese kwa...
9 years ago
StarTV06 Nov
Rais Magufuli awataka wapinzani kuondoa tofauti zao
Rais wa awamu ya Tano Dokta John Pombe Magufuli amevitaka vyama vya upinzani nchini kuondoa tofauti zao na badala yake washirikiane pamoja katika kuwatumikia watanzania ili kufanikisha azma ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Kauli hiyo ameitoa mara baada ya kuapishwa rasmi na kuwa rais wa Jamhri ya muungano wa Tanzania awamu ya tano Katika Sherehe zilizofanyika JIjini Dar es Salaam.
Kushushwa kwa Bendela ya Rais inaonesha kufikia ukomo kwa uongozi wa Serikali ya awamu ya nne na sasa...