WAZIRI MKUU AONYA WANAOPOTOSHA KUHUSU CORONA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameonya juu ya upotoshwaji na utoaji holela wa taarifa kuhusu ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababisha na virusi vya corona (COVID 19) unaofanywa na watu mbalimbali nchini.
Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na ikilazimika zitatolewa na Waziri Mkuu na ikilazimika sana zitatolewa na viongozi wakuu wa nchi ili kuepusha mikanganyiko.
Waziri Mkuu ametoa onyo hilo leo (Jumamosi, Machi 21, 2020)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-tvX1juUUUZ8/XnY2liOozBI/AAAAAAACJCU/nYRTRMFLK1ANuiZa8kv0TC4ZDth4EsygwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200321_180750_047.jpg)
WAZIRI MKUU AONYA WANAOPOTOSHA NA WANAOTOA KIHOLELA TAARIFA ZA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tvX1juUUUZ8/XnY2liOozBI/AAAAAAACJCU/nYRTRMFLK1ANuiZa8kv0TC4ZDth4EsygwCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200321_180750_047.jpg)
DODOMA, Tanzania
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameonya juu ya baadhi ya Watu wanapotosha na wanaotoa kiholela taarifa kuhusu ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona hapa nchini.
Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-FIRtwEBUFz0/XnX_zfQOS7I/AAAAAAAC1Zs/CSJUOMGclvY_CNHpPUEjSiy60E-vwQy6gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU AONYA WAPOTOSHAJI KUHUSU CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FIRtwEBUFz0/XnX_zfQOS7I/AAAAAAAC1Zs/CSJUOMGclvY_CNHpPUEjSiy60E-vwQy6gCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na ikilazimika zitatolewa na Waziri Mkuu na ikilazimika sana zitatolewa na viongozi wakuu wa nchi ili kuepusha mikanganyiko.
Waziri Mkuu ametoa onyo hilo leo (Jumamosi, Machi 21, 2020)...
5 years ago
BBCSwahili22 Mar
Magufuli awakemea wanaopotosha jamii kuhusu ugonjwa wa corona
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona:Daktari mkuu wa aonya kuhusu uwezekano wa kusambaa zaidi kwa Covid-19 Marekani
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AONGOZA MAOMBI YA PAMOJA KUHUSU KUKABILIANA NA CORONA
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AONGOZA KIKAO KAZI CHA MAWAZIRI NA MAKATIBU WAKUU KUHUSU CORONA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao kazi cha Mawaziri na Makatibu Wakuu kuhusu ugonjwa wa Corona (COVID – 19) nchini kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Machi 23, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao kazi cha Mawaziri na Makatibu Wakuu cha kujadili ugonjwa wa Corona (COVID- 19) nchini kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Machi 23, 2020. Katikati ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu na kulia ni...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5l--yQdGdxc/U9YFpiQ2GkI/AAAAAAAF7Q0/3_BjxJWq6u0/s72-c/IMG_4991.jpg)
WAZIRI MKUU AONYA MATUMIZI YA RUSHWA UCHAGUZI MKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-5l--yQdGdxc/U9YFpiQ2GkI/AAAAAAAF7Q0/3_BjxJWq6u0/s1600/IMG_4991.jpg)
Ametoa onyo hilo leo mchana (Jumapili, Julai 27, 2014) wakati akizungumza na mamia ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya uzinduzi wa dayosisi mpya ya Ruvuma ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) na kuwekwa wakfu Askofu Amon Mwenda aliyeteuliwa kuongoza dayosisi hiyo.
“Ninawasihi...
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
Katibu mkuu wa UN aonya kuhusu ghasia-CAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FqgvUfNlsmCriJ28Z5cIOqUpJFcMFEZW*WPHMMnI4NnYGfgKmpyof*awNdH66r3aX1IKE9UlXHBsQYaBVsVETQu/pinda.jpg)
KAMATI YA PAC YAMTAKA WAZIRI MKUU, MWANASHERIA MKUU, WAZIRI WA NISHATI NA MADINI WAWAJIBIKE KUHUSU RIPOTI YA TEGETA ESCROW