WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AONGOZA KIKAO KAZI CHA MAWAZIRI NA MAKATIBU WAKUU KUHUSU CORONA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao kazi cha Mawaziri na Makatibu Wakuu kuhusu ugonjwa wa Corona (COVID – 19) nchini kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Machi 23, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao kazi cha Mawaziri na Makatibu Wakuu cha kujadili ugonjwa wa Corona (COVID- 19) nchini kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Machi 23, 2020. Katikati ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu na kulia ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogMAJALIWA AONGOZA KIKAO KAZI CHA MAWAZIRI NA MAKATIBU WAKUU KUHUSU CORONA
Baadhi ya Mawaziri na Makatibu Wakuu wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa...
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU, MAJALIWA AITISHA KIKAO CHA KAZI CHA BARAZA LA MAWAZIRI LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9Vp-g4K3qoc/VBBinOLIjjI/AAAAAAAAQdQ/3BzuFGBxikQ/s72-c/IMG_0152.jpg)
KINANA AONGOZA KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU WA VYAMA VYA UKOMBOZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-9Vp-g4K3qoc/VBBinOLIjjI/AAAAAAAAQdQ/3BzuFGBxikQ/s1600/IMG_0152.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana akiongoza kikao cha Makatibu Wakuu wa Vyama Rafiki vilivyopigania Ukombozi wa Nchi Kusini mwa Afrika (FLM). Kushoto kwa Kinana ni Katibu Mtendaji Mkuu wa ZANU-PF ya Zimbabwe Comrade Didymus Mutasa na anayefuata ni Katibu Mkuu wa ANC ya Afrika Kusini Comrade Gwede Mantashe. Kulia kwa Kinana aliyevaa miwani ni Katibu Mkuu wa MPLA ya Angola Comrade Juliao Mateus Paulo 'Dino Matrosse' na anayefuata ni Katibu Mkuu wa SWAPO Party ya Namibia Comrade...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DxqQ4ugvoio/XotGNUvAh6I/AAAAAAALmOE/0U20OE6IoxkPJC9L2gurIghtNlAQhywIwCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_9967AAA-768x441.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AZUNGUMZA KWA NJIA YA VIDEO NA WAKUU WA MIKOA YA MIPAKANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-DxqQ4ugvoio/XotGNUvAh6I/AAAAAAALmOE/0U20OE6IoxkPJC9L2gurIghtNlAQhywIwCLcBGAsYHQ/s640/PMO_9967AAA-768x441.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PMO_9972AA-1024x477.jpg)
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja
Siku ya alhamisi December 10 2015 tulishuhudia kwa mara nyingine Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kuipanga timu yake itakayoongoza jahazi la Serikali ya Tanzania kwa awamu wa tano. Tunajua kwamba kuna Wizara ambazo hazijapata Mawaziri bado lakini Rais Magufuli alituhakikishia kwamba Wizara zitakuwa 18 na Mawaziri watakuwa 19… Wale Mawaziri na […]
The post Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja appeared first on...
9 years ago
Global Publishers15 Dec
Waziri Mkuu, Majaliwa Aitisha Kikao na Baraza la Mawaziri
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mawaziri na Naibu Mawaziri katika kikao cha kwanza cha kazi cha Baraza la Mawaziri alichokiitisha Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15, 2015.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama wakati alipomkaribisha kuzungumza katika kikao cha kwanza cha baraza la kazi la Mwaziri, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15,2015.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
Majaliwa aitisha kikao cha kazi cha Baraza la Mawaziri
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mawaziri na Naibu Mawaziri katika kikao cha kwanza cha kazi cha Baraza la Mawaziri alichokiitisha Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama wakati alipomkaribisha kuzungumza katika kikao cha kwanza cha baraza la kazi la Mwaziri, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15,2015. (Picha na Ofisi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rSsEH6C4fDw/XoBRT3aaDtI/AAAAAAALlcM/9-eqc3r5xlUkBU3EmdrkMUrfZ7iBaH5xACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_7608AAA-768x512.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI WILAYA YA KIBAHA ILIYOTENGWA KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rSsEH6C4fDw/XoBRT3aaDtI/AAAAAAALlcM/9-eqc3r5xlUkBU3EmdrkMUrfZ7iBaH5xACLcBGAsYHQ/s640/PMO_7608AAA-768x512.jpg)
Waziri Mkuu, Kaasim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (wa tatu kulia) wakati alipokagua hospitali ya wilaya ya kibaha iliyopo eneo la Lulanzi ambayo imetengwa kwa ajili ya kuwahuduma kwa wagonjwa wa Coroma, Machi 28, 2020. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo na wa pili kushoto ni Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhammad Bakari.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_7625AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_7628AAAA-1024x697.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s72-c/1.jpg)
PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vd0xHojhppo/VmG0lexvtUI/AAAAAAAA1b0/iW1seV--6-0/s640/2.jpg)