Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa aonya wanaouza ardhi kiholela

WAZIRI Mkuu mstaafu, Edward Lowassa amesema kuwa tatizo la ardhi wilayani Monduli mkoani Arusha ni kubwa kuliko inavyofikiriwa na umasikini unapiga hodi kwa kasi kubwa katika wilaya hiyo, kutokana na uuzwaji holela wa ardhi kwa thamani ndogo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU AONYA WANAOPOTOSHA NA WANAOTOA KIHOLELA TAARIFA ZA CORONA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wakuu wa Mikoa , Makatibu Tawala wa Mikoa na Waganga Wakuu wa Mikoa kwa njia ya video akiwa ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma, Machi 21, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)







DODOMA, Tanzania
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameonya juu ya baadhi ya Watu wanapotosha na wanaotoa kiholela taarifa kuhusu ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona hapa nchini.
Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya...

 

9 years ago

StarTV

Uuzaji Ardhi Kiholela  Serikali  ya Wilaya  Kinondoni yapiga marufuku  

Serikali imepiga marufuku kuuza maeneo katika kata tatu zilizopo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kutokana na kukithiri kwa migogoro ya ardhi.

Kata hizo ni Mabwepande, Wazo na Bunju zenye mitaa saba ambayo ni Boko, Mji mpya, Mbopo, Kihonzile, Bunju B, Mabwepande na Nyakasange.

 Kauli hiyo ilitolewa  Dar es Salaam , Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati alipokutana na viongozi wa kamati ya ardhi kwa lengo la  kutoa maazimio yao kuhusu utatuzi wa migogoro ya ardhi ndani ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lowassa akemea rushwa kwenye ardhi

MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, (CCM), amekemea tabia ya baadhi ya viongozi wa serikali na mila wanaochukua rushwa na kuuza ardhi za wananchi wakiwemo wajane kinyume cha utaratibu. Aidha, ameitaka...

 

10 years ago

Habarileo

Lowassa: Ardhi ajenda Uchaguzi Mkuu Monduli

WAZIRI Mkuu mstaafu, Edward Lowassa amesema ajenda kuu katika uchaguzi ujao katika Jimbo la Monduli wilayani Monduli mkoani Arusha ni migogoro ya ardhi na hana uhakika kama viongozi wa vijiji waliojiingiza katika migogoro hiyo watarudi madarakani.

 

11 years ago

Habarileo

Viongozi wauza ardhi wang’olewe-Lowassa

John Mhala, Monduli WANANCHI wa Jimbo la Monduli wilayani Monduli mkoani Arusha wametakiwa kuwang’oa madarakani viongozi wa vijiji wanaoshiriki kinyume na utaratibu kuuza ardhi bila ya kufuata utaratibu kwa kuendekeza zawadi ya bia na nyama choma.

 

11 years ago

Mwananchi

Uuzwaji ardhi kinyemela jimboni Monduli wamchefua Lowassa

Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa ameagiza kuondolewa madarakani mara moja viongozi Serikali za vijiji watakaobainika, kuuza ardhi za vijiji “kinyemela”, katika Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaouza vyeti vya kuzaliwa kukiona

SERIKALI imetangaza kuwachukulia hatua kali wote watakaobainika kuuza vyeti vya kuzaliwa kwa bei kubwa kinyume cha sheria. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angela...

 

11 years ago

Habarileo

Wafichueni wanaouza dawa nje ya utaratibu-NHIF

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umewataka wananchi pamoja na wahudumu katika sekta ya afya kufichua wizi unaofanywa na wanaouza dawa nje ya utaratibu.

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Bashungwa awataka wanaouza vitakasa mikono kuwa wazalendo


*Atembelea viwanda vya vinavyozalisha vitakasa mikono

Na Chalila Kibuda ,Michuzi Globu.

Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imewaelekeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS),kushirikiana kwa karibu na wazalishaji waliopo na wengine wapya wanaonesha nia ya kuzalisha bidhaa ya Vitakatisha Mikono kuona ni namna wananvyoweza kuongeza upatikanaji wa bidhaa hiyo sokoni.

Wizara kwa kushirikiana na taasisi zake za usimamizi wa soko,itaendelea kufanya ukaguzi na uchunguzi sokoni ili kubaini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani