Lowassa aonya wanaouza ardhi kiholela
WAZIRI Mkuu mstaafu, Edward Lowassa amesema kuwa tatizo la ardhi wilayani Monduli mkoani Arusha ni kubwa kuliko inavyofikiriwa na umasikini unapiga hodi kwa kasi kubwa katika wilaya hiyo, kutokana na uuzwaji holela wa ardhi kwa thamani ndogo.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-tvX1juUUUZ8/XnY2liOozBI/AAAAAAACJCU/nYRTRMFLK1ANuiZa8kv0TC4ZDth4EsygwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200321_180750_047.jpg)
WAZIRI MKUU AONYA WANAOPOTOSHA NA WANAOTOA KIHOLELA TAARIFA ZA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tvX1juUUUZ8/XnY2liOozBI/AAAAAAACJCU/nYRTRMFLK1ANuiZa8kv0TC4ZDth4EsygwCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200321_180750_047.jpg)
DODOMA, Tanzania
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameonya juu ya baadhi ya Watu wanapotosha na wanaotoa kiholela taarifa kuhusu ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona hapa nchini.
Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya...
9 years ago
StarTV19 Nov
Uuzaji Ardhi Kiholela  Serikali ya Wilaya Kinondoni yapiga marufuku Â
Serikali imepiga marufuku kuuza maeneo katika kata tatu zilizopo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kutokana na kukithiri kwa migogoro ya ardhi.
Kata hizo ni Mabwepande, Wazo na Bunju zenye mitaa saba ambayo ni Boko, Mji mpya, Mbopo, Kihonzile, Bunju B, Mabwepande na Nyakasange.
Kauli hiyo ilitolewa Dar es Salaam , Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati alipokutana na viongozi wa kamati ya ardhi kwa lengo la kutoa maazimio yao kuhusu utatuzi wa migogoro ya ardhi ndani ya...
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Lowassa akemea rushwa kwenye ardhi
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, (CCM), amekemea tabia ya baadhi ya viongozi wa serikali na mila wanaochukua rushwa na kuuza ardhi za wananchi wakiwemo wajane kinyume cha utaratibu. Aidha, ameitaka...
10 years ago
Habarileo08 Oct
Lowassa: Ardhi ajenda Uchaguzi Mkuu Monduli
WAZIRI Mkuu mstaafu, Edward Lowassa amesema ajenda kuu katika uchaguzi ujao katika Jimbo la Monduli wilayani Monduli mkoani Arusha ni migogoro ya ardhi na hana uhakika kama viongozi wa vijiji waliojiingiza katika migogoro hiyo watarudi madarakani.
11 years ago
Habarileo08 Jun
Viongozi wauza ardhi wang’olewe-Lowassa
WANANCHI wa Jimbo la Monduli wilayani Monduli mkoani Arusha wametakiwa kuwang’oa madarakani viongozi wa vijiji wanaoshiriki kinyume na utaratibu kuuza ardhi bila ya kufuata utaratibu kwa kuendekeza zawadi ya bia na nyama choma.
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Uuzwaji ardhi kinyemela jimboni Monduli wamchefua Lowassa
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Wanaouza vyeti vya kuzaliwa kukiona
SERIKALI imetangaza kuwachukulia hatua kali wote watakaobainika kuuza vyeti vya kuzaliwa kwa bei kubwa kinyume cha sheria. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angela...
11 years ago
Habarileo17 Apr
Wafichueni wanaouza dawa nje ya utaratibu-NHIF
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umewataka wananchi pamoja na wahudumu katika sekta ya afya kufichua wizi unaofanywa na wanaouza dawa nje ya utaratibu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Hp3MBZpIeok/XncIGQOOIBI/AAAAAAALkrw/CFCMzGBKvR48UZr04I2uNvqwC-vYKVF2ACLcBGAsYHQ/s72-c/3ef5b5ac-7cd6-46ef-a632-819d025f2620.jpg)
Waziri Bashungwa awataka wanaouza vitakasa mikono kuwa wazalendo
*Atembelea viwanda vya vinavyozalisha vitakasa mikono
Na Chalila Kibuda ,Michuzi Globu.
Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imewaelekeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS),kushirikiana kwa karibu na wazalishaji waliopo na wengine wapya wanaonesha nia ya kuzalisha bidhaa ya Vitakatisha Mikono kuona ni namna wananvyoweza kuongeza upatikanaji wa bidhaa hiyo sokoni.
Wizara kwa kushirikiana na taasisi zake za usimamizi wa soko,itaendelea kufanya ukaguzi na uchunguzi sokoni ili kubaini...