Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Bashungwa awataka wanaouza vitakasa mikono kuwa wazalendo


*Atembelea viwanda vya vinavyozalisha vitakasa mikono

Na Chalila Kibuda ,Michuzi Globu.

Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imewaelekeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS),kushirikiana kwa karibu na wazalishaji waliopo na wengine wapya wanaonesha nia ya kuzalisha bidhaa ya Vitakatisha Mikono kuona ni namna wananvyoweza kuongeza upatikanaji wa bidhaa hiyo sokoni.

Wizara kwa kushirikiana na taasisi zake za usimamizi wa soko,itaendelea kufanya ukaguzi na uchunguzi sokoni ili kubaini...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MANYANYA AKABIDHI MALIGHAFI ZINAZOTUMIKA KUTENGENEZA VITAKASA MIKONO (HAND SANITIZER) KWA WIZARA YA AFYA TIRDO NA SIDO LEO

 Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhandisi Stella Manyanya (Kushoto)akikabidhi ethanol kwa wizara ya afya katika hafla ya kukabidhi malighafi (Ethanol) kwa ajili ya kutengenezea vitakasa mikono katika kiwanda cha Consumer’s Choice Jijini Dar es Salaam.  Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhandisi Stella Manyanya (Kulia)akikabidhi ethanol Shirika la Viwanda Vidogo SIDO katika hafla ya kukabidhi malighafi (Ethanol) kwa ajili ya kutengenezea vitakasa mikono katika kiwanda cha Consumer’s...

 

11 years ago

Mwananchi

Awataka wajumbe kuwa wazalendo

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo amewataka wajumbe wenzake kutanguliza uzalendo katika kupitisha Rasimu ya Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Nagu awataka wadau wa sukari kuwa wazalendo

Serikali imewataka wadau wa sukari nchini, kuwa na uzalendo katika uzalishaji na uuzaji wa bidhaa hiyo muhimu, ikieleza kuwa wakifanya hivyo watapunguza matatizo na malalamiko ya wananchi yanayojitokeza mara kwa mara.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI BASHUNGWA AWATOA HOFU WATANZANIA KUHUSU UHABA WA SUKARI NCHINI,AWATAKA WAFANYA BIASHARA KUZINGATIA BEI ELEKEZI

Na. Eliud Rwechungura – Wizara ya Viwanda na Biashara.

Waziri wa viwanda na Biashara Mhe.Innocent Bashungwa (Mb) amewahakikishia watanzania kuwa hakutakuwa na uhaba wa sukari tena na kuwataka wananchi wasiwe na hofu juu ya sukari na kuwahasa wauzaji kuzingazia bei elekezi.

Mhe.Bashungwa ameyasema hayo jana Mei 14, 2020 alipofika katika bandari ya Mwanza kusini na kushuhudia Shehena ya Sukari tani 20,000 ikishushwa na meli kutoka Nchini Uganda iliyoagizwa na kiwanda cha kagera sugar kwa ni...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA KIKWETE AWATAKA VIJANA KUWA WAZALENDO NA KUTOKUBAGUANA BALI WASAMBAZE UPENDO

Na Anna Nkinda – Lindi
Vijana mkoani Lindi wametakiwa kuwa wazalendo na kutobaguana bali wasambaze upendo na kujiona wote ni sawa kwa kufanya hivyo wataondoa chuki na kudumisha amani, mshikamano na umoja katika jamii inayowazunguka.
Mwito huo umetolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akifungua klabu zalendo zilizopo katika  Manispaa ya Lindi.
Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alisema kama jamii itajenga tabia ya ubaguzi italeta chuki na upendo utatoweka na...

 

5 years ago

Michuzi

MANYANYA ATANGAZA MSAKO KWA WAFANYABISHARA WANAOUZA BEI KUBWA NDOO ZA KUNAWIA MIKONO

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Stella Manyanya akikagua uzalishaji wa ndoo katika kiwanda cha Silafrica Tanzania Ltd {Sumalia} ambazo zinantumika kunawia mikono ili kujikinga na maambukizi ya ugojwa wa Corona, Dar es salaam, 02 may 2020. {Picha zote na Eliud Rwechungura – Wizara ya viwanda na Biashara}

………………………………………………………………………..

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Stella Manyanya ameelekeza Viwanda ya plastiki nchini kuzalisha ndoo kwa wingi na ametoa onyo kali kwa...

 

5 years ago

Michuzi

DC aagiza kufungwa biashara kwa yeyote atakayepandisha bei vitakasa mikono

Na Anthony Ishengoma- Shinyanga
Athari za mlipuko wa ugonjwa wa Corona maalufu Covid 19 tayari
zimeanza kuonekana kutokana na wanunuzi wa madini ya Almasi kutoka
vikundi vya wachimbaji wadogo vinavyoendelea na marudio ya makinikia
ya mchanga wa almasi kuanza kupungua kwa kasi na wachimbaji hao
kushindwa kuuza madini hayo kwa wakati kama ilivyotarajiwa.

Hayo yamesemwa jana na Katibu Mkuu wa Chama cha Wachimbaji Madini Mkoa wa Shinyanga SHIREMA Bw. Gregory Kibusi wakati akiongea na vyombo vya habari...

 

5 years ago

Michuzi

DIWANI KATA YA BOMAMBUZI ATOA MSAADA WA BARAKOA,VITAKASA MIKONO KWA WAFANYABIASHARA

Na Woinde Shizza , KILIMANJARO

DIWANI wa Kata ya Bomambuzi na Mjumbe wa Kamati ya Fedha na Uongozi  Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro Juma Raibu amekabidhi barakoa 100,vitakasa mikono pamoja na ndoo kwa wafanyabiashara wa Soko la Pasua ili kujikinga na virusi vya Corona  ambavyo vinaendelea kutikisa Dunia.

Akizungumza wakati  akikabidhi vifaa hivyo, Diwani huyo amesema kuwa ameamua kutoa vifaa vya kujikinga na Corona kwa wananchi hao ,ili  kuendelea kuchukuwa taathari

Amesemambali na kutoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani