Waziri Bashungwa awataka wanaouza vitakasa mikono kuwa wazalendo
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hp3MBZpIeok/XncIGQOOIBI/AAAAAAALkrw/CFCMzGBKvR48UZr04I2uNvqwC-vYKVF2ACLcBGAsYHQ/s72-c/3ef5b5ac-7cd6-46ef-a632-819d025f2620.jpg)
*Atembelea viwanda vya vinavyozalisha vitakasa mikono
Na Chalila Kibuda ,Michuzi Globu.
Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imewaelekeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS),kushirikiana kwa karibu na wazalishaji waliopo na wengine wapya wanaonesha nia ya kuzalisha bidhaa ya Vitakatisha Mikono kuona ni namna wananvyoweza kuongeza upatikanaji wa bidhaa hiyo sokoni.
Wizara kwa kushirikiana na taasisi zake za usimamizi wa soko,itaendelea kufanya ukaguzi na uchunguzi sokoni ili kubaini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI MANYANYA AKABIDHI MALIGHAFI ZINAZOTUMIKA KUTENGENEZA VITAKASA MIKONO (HAND SANITIZER) KWA WIZARA YA AFYA TIRDO NA SIDO LEO
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Awataka wajumbe kuwa wazalendo
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Nagu awataka wadau wa sukari kuwa wazalendo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RHbWNfnVjH0/Xr4lAu1dJnI/AAAAAAALqTA/AwnUqTBoAGA6bXciIopdk1tFIs-9iWv5gCLcBGAsYHQ/s72-c/675b6db5-2b5f-471e-9bf1-711f454db6fe.jpg)
WAZIRI BASHUNGWA AWATOA HOFU WATANZANIA KUHUSU UHABA WA SUKARI NCHINI,AWATAKA WAFANYA BIASHARA KUZINGATIA BEI ELEKEZI
Waziri wa viwanda na Biashara Mhe.Innocent Bashungwa (Mb) amewahakikishia watanzania kuwa hakutakuwa na uhaba wa sukari tena na kuwataka wananchi wasiwe na hofu juu ya sukari na kuwahasa wauzaji kuzingazia bei elekezi.
Mhe.Bashungwa ameyasema hayo jana Mei 14, 2020 alipofika katika bandari ya Mwanza kusini na kushuhudia Shehena ya Sukari tani 20,000 ikishushwa na meli kutoka Nchini Uganda iliyoagizwa na kiwanda cha kagera sugar kwa ni...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AgUFv3kamzA/VVCv2pOdd1I/AAAAAAAHWo4/87BMqd4K8xM/s72-c/mama-salma.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA VIJANA KUWA WAZALENDO NA KUTOKUBAGUANA BALI WASAMBAZE UPENDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-AgUFv3kamzA/VVCv2pOdd1I/AAAAAAAHWo4/87BMqd4K8xM/s400/mama-salma.jpg)
Vijana mkoani Lindi wametakiwa kuwa wazalendo na kutobaguana bali wasambaze upendo na kujiona wote ni sawa kwa kufanya hivyo wataondoa chuki na kudumisha amani, mshikamano na umoja katika jamii inayowazunguka.
Mwito huo umetolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akifungua klabu zalendo zilizopo katika Manispaa ya Lindi.
Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alisema kama jamii itajenga tabia ya ubaguzi italeta chuki na upendo utatoweka na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FxdO6C5ulDU/Xq3D5P5RaGI/AAAAAAALo3M/HHSTCyApVLsLemCofA_Va9zJT3Sixm3FgCLcBGAsYHQ/s72-c/kk.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RWunr7ekgNo/Xq2o2pptWKI/AAAAAAALo3A/rpUP7PcMhi0myD8RMshzDsuo58duRjXzQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-1AAA-768x512.jpg)
MANYANYA ATANGAZA MSAKO KWA WAFANYABISHARA WANAOUZA BEI KUBWA NDOO ZA KUNAWIA MIKONO
![](https://1.bp.blogspot.com/-RWunr7ekgNo/Xq2o2pptWKI/AAAAAAALo3A/rpUP7PcMhi0myD8RMshzDsuo58duRjXzQCLcBGAsYHQ/s640/2-1AAA-768x512.jpg)
………………………………………………………………………..
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Stella Manyanya ameelekeza Viwanda ya plastiki nchini kuzalisha ndoo kwa wingi na ametoa onyo kali kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ANncbcJv8I8/XoYBBpXeJhI/AAAAAAAC84A/NEUK-uyypjsCrH0ZlD1OCXKmihgSmDPXgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC aagiza kufungwa biashara kwa yeyote atakayepandisha bei vitakasa mikono
Athari za mlipuko wa ugonjwa wa Corona maalufu Covid 19 tayari
zimeanza kuonekana kutokana na wanunuzi wa madini ya Almasi kutoka
vikundi vya wachimbaji wadogo vinavyoendelea na marudio ya makinikia
ya mchanga wa almasi kuanza kupungua kwa kasi na wachimbaji hao
kushindwa kuuza madini hayo kwa wakati kama ilivyotarajiwa.
Hayo yamesemwa jana na Katibu Mkuu wa Chama cha Wachimbaji Madini Mkoa wa Shinyanga SHIREMA Bw. Gregory Kibusi wakati akiongea na vyombo vya habari...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8LeaBgu4vnM/XqvuGGyaDYI/AAAAAAALov4/09x_B3L3zpA4rAfMgX_6DG2OeQ9JKT-UwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200430-WA0234.jpg)
DIWANI KATA YA BOMAMBUZI ATOA MSAADA WA BARAKOA,VITAKASA MIKONO KWA WAFANYABIASHARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-8LeaBgu4vnM/XqvuGGyaDYI/AAAAAAALov4/09x_B3L3zpA4rAfMgX_6DG2OeQ9JKT-UwCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200430-WA0234.jpg)
DIWANI wa Kata ya Bomambuzi na Mjumbe wa Kamati ya Fedha na Uongozi Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro Juma Raibu amekabidhi barakoa 100,vitakasa mikono pamoja na ndoo kwa wafanyabiashara wa Soko la Pasua ili kujikinga na virusi vya Corona ambavyo vinaendelea kutikisa Dunia.
Akizungumza wakati akikabidhi vifaa hivyo, Diwani huyo amesema kuwa ameamua kutoa vifaa vya kujikinga na Corona kwa wananchi hao ,ili kuendelea kuchukuwa taathari
Amesemambali na kutoa...