Siku 16, maagizo 40 ya mawaziri wa JPM
Huu ndiyo ukweli. Leo zimetimia siku 16 tangu kuapishwa kwa mawaziri 30 wa Serikali ya Awamu ya Tano, lakini tayari wameshatoa matamko 40 kwa watendaji wa Serikali, taasisi na mashirika yaliyopo chini ya wizara zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Nov
JPM aweka rekodi ya siku 25 ya mawaziri
9 years ago
Mtanzania12 Dec
MAWAZIRI WA JPM WAIBUA MASWALI
Na Waandishi Wetu
BARAZA la Mawaziri la Rais John Magufuli alilolitangaza juzi limezua maswali mengi, kutokana na kile kinachoelezwa kujaa makosa mengi ya kimantiki na kiufundi.
Wasomi na watu wa kada mbalimbali ambao wameutazama muundo pamoja na aina ya watu walioteuliwa kuunda Baraza hilo la Mawaziri wameyataja mambo sita ambayo yanaonekana kujenga taswira ya kuwako kwa nyufa katika baraza hilo.
Mambo hayo ni pamoja na uteuzi kutozingatia suala la Muungano, uwiano wa mikoa, mawaziri wasio...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Kasi ya mawaziri wa JPM watia shaka
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Siku 20 ndani ya Ikulu JPM vs JK
10 years ago
MichuziMkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa SADC Waanza jijini Harare
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-vsoCC57q5M0/U_uGXYZft6I/AAAAAAAGCW4/0t_TJGATYms/s1600/IMG_1932.jpg)
DKT. SHEIN AWAAPISHA MAWAZIRI WAPYA IKULU ZANZIBAR SIKU YA JANA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/JUPJxGO-oyQ/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1TxjyclNmzvNS8CTPKaZcFuy4XRvfw4yHPDa-yg29l5uALiOq6vFDVFi42a2X6rjQs8uYnUmgMXUrDMq9RugxPdh5HuPMi15/ombeni.jpg)
UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI WAPYA