MAWAZIRI WA JPM WAIBUA MASWALI
Na Waandishi Wetu
BARAZA la Mawaziri la Rais John Magufuli alilolitangaza juzi limezua maswali mengi, kutokana na kile kinachoelezwa kujaa makosa mengi ya kimantiki na kiufundi.
Wasomi na watu wa kada mbalimbali ambao wameutazama muundo pamoja na aina ya watu walioteuliwa kuunda Baraza hilo la Mawaziri wameyataja mambo sita ambayo yanaonekana kujenga taswira ya kuwako kwa nyufa katika baraza hilo.
Mambo hayo ni pamoja na uteuzi kutozingatia suala la Muungano, uwiano wa mikoa, mawaziri wasio...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Utafiti Twaweza waibua maswali 14
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Utafiti wa CCM waibua maswali-Wadau
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Ukawa waibua maswali 18 utafiti Twaweza
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/chris-brown.jpg?width=650)
WIMBO WA SORRY WA CHRIS BROWN WAIBUA MASWALI!
10 years ago
Mwananchi19 May
Waibua maswali kusimamishwa kazi kwa aliyemtumia ‘SMS’ JK
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-apVUKOxd6HA/Vec3APIPqEI/AAAAAAAAHfI/H5O_5A7b8Uw/s72-c/Eyakuze.jpg)
Utafiti wazua taharuki, waibua maswali tata.Kura za maoni: Twaweza yaipa CCM ushindi wa 65%, Ukawa 25%
![](http://1.bp.blogspot.com/-apVUKOxd6HA/Vec3APIPqEI/AAAAAAAAHfI/H5O_5A7b8Uw/s640/Eyakuze.jpg)
Matokeo ya utafiti kuhusu uchaguzi mkuu yaliyompa ushindi wa asilimia 65 mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli dhidi ya asilimia 25 za Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yameibua taharuki kubwa huku baadhi wakiupinga, kuunga mkono na wengine kuibua maswali kadhaa magumu.
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, katika tukio lililorushwa moja kwa moja (live)...
9 years ago
Mwananchi28 Dec
Siku 16, maagizo 40 ya mawaziri wa JPM
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Kasi ya mawaziri wa JPM watia shaka
9 years ago
Mwananchi30 Nov
JPM aweka rekodi ya siku 25 ya mawaziri