Utafiti wa CCM waibua maswali-Wadau
Siku moja baada ya CCM kutoa utafiti wake unaoonyesha mgombea wao wa urais, Dk John Magufuli atashinda kwa asilimia 69.3, baadhi ya wasomi wamesema utafiti huo umeibua maswali mengi kwa wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-apVUKOxd6HA/Vec3APIPqEI/AAAAAAAAHfI/H5O_5A7b8Uw/s72-c/Eyakuze.jpg)
Utafiti wazua taharuki, waibua maswali tata.Kura za maoni: Twaweza yaipa CCM ushindi wa 65%, Ukawa 25%
![](http://1.bp.blogspot.com/-apVUKOxd6HA/Vec3APIPqEI/AAAAAAAAHfI/H5O_5A7b8Uw/s640/Eyakuze.jpg)
Matokeo ya utafiti kuhusu uchaguzi mkuu yaliyompa ushindi wa asilimia 65 mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli dhidi ya asilimia 25 za Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yameibua taharuki kubwa huku baadhi wakiupinga, kuunga mkono na wengine kuibua maswali kadhaa magumu.
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, katika tukio lililorushwa moja kwa moja (live)...
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Utafiti Twaweza waibua maswali 14
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Ukawa waibua maswali 18 utafiti Twaweza
9 years ago
Mtanzania12 Dec
MAWAZIRI WA JPM WAIBUA MASWALI
Na Waandishi Wetu
BARAZA la Mawaziri la Rais John Magufuli alilolitangaza juzi limezua maswali mengi, kutokana na kile kinachoelezwa kujaa makosa mengi ya kimantiki na kiufundi.
Wasomi na watu wa kada mbalimbali ambao wameutazama muundo pamoja na aina ya watu walioteuliwa kuunda Baraza hilo la Mawaziri wameyataja mambo sita ambayo yanaonekana kujenga taswira ya kuwako kwa nyufa katika baraza hilo.
Mambo hayo ni pamoja na uteuzi kutozingatia suala la Muungano, uwiano wa mikoa, mawaziri wasio...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/chris-brown.jpg?width=650)
WIMBO WA SORRY WA CHRIS BROWN WAIBUA MASWALI!
10 years ago
Mwananchi19 May
Waibua maswali kusimamishwa kazi kwa aliyemtumia ‘SMS’ JK
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Utafiti waibua mapya ugonjwa wa seli mundu
WAGONJWA wa seli mundu wenye idadi kubwa ya chembechembe za damu zijulikanazo kama ‘fetal hemoglobin’ hawaugui mara kwa mara na makali ya ugonjwa huo yanapungua. Hayo yalibainishwa jijini Dar es...
10 years ago
Dewji Blog01 Sep
Utafiti waibua makubwa ngono za utotoni Dar
Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni Mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi cha Muhimbili, Kitengo cha magonjwa na afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha SAMPULI tathmini ya matokeo ya mradi wa PREPARE uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono mwishoni mwa wiki kwenye kituo cha maelezo ya afya Muhimbili katika idara ya magonjwa ya akili. Kulia ni Mtathmini kiongozi wa mradi huo, Mrema...
10 years ago
Michuzi01 Sep
UTAFITI WAIBUA MAKUBWA NGONO ZA UTOTONI JIJINI DAR
![DSC_0140](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_01401.jpg)