Utafiti waibua mapya ugonjwa wa seli mundu
WAGONJWA wa seli mundu wenye idadi kubwa ya chembechembe za damu zijulikanazo kama ‘fetal hemoglobin’ hawaugui mara kwa mara na makali ya ugonjwa huo yanapungua. Hayo yalibainishwa jijini Dar es...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Seli mundu tishio kwa watoto
ASILIMIA 90 ya watoto zaidi ya 8,000 wanaozaliwa na ugonjwa wa seli mundu kila mwaka nchini, hufariki dunia kabla ya kufikisha miaka mitano. Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Habarileo11 Mar
Mawakili wa Ponda waibua mapya
UPANDE wa utetezi katika kesi ya jinai inayomkabili kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shehe Ponda Issa Ponda umewasilisha hoja zitakazoifanya Mahakama kutoona sababu kwa mshitakiwa huyo kuwa na kesi ya kujitetea.
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Waliofutiwa leseni waibua mapya
10 years ago
Vijimambo22 Dec
Chadema waibua mapya kashfa ya Escrow
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ntagazwa-22Dec2014.jpg)
Wakati Rais Jakaya Kikwete akitarajia kutoa maamuzi ya maazimio yaliyotolewa na Bunge kuhusiana na sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti Tegeta Escrow, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibua mapya kwa kutaja orodha mpya ya viongozi wanaopaswa kuwajibishwa kutokana na kashfa hiyo.
Aidha, Chadema kimesema Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdrahaman Kinana, anafahamu jinsi uchotwaji fedha...
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Utafiti Twaweza waibua maswali 14
10 years ago
Bongo Movies26 Jul
Ubunge Viti Maalum CCM Waibua Mapya Singida
Kinyang’anyiro cha ubunge wa viti maalum katika mkoa wa Singida kimeibua mapya, baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Wilaya ya Ikungi, Christina Hamis, kutishia kususia kuingia kwenye ofisi za jumuiya hiyo na kuhama chama.
Mwenyekiti huyo anakusudia kuchukua uamuzi huo kwa madai kuwa Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Aluu Segamba, anamlazimisha amuunge mkono mgombea ubunge wa Viti Maalumu (CCM), Wema Sepetu.
Christina alisema pamoja na kwamba yeye ni...
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Ukawa waibua maswali 18 utafiti Twaweza
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Utafiti wa CCM waibua maswali-Wadau
10 years ago
Dewji Blog01 Sep
Utafiti waibua makubwa ngono za utotoni Dar
Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni Mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi cha Muhimbili, Kitengo cha magonjwa na afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha SAMPULI tathmini ya matokeo ya mradi wa PREPARE uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono mwishoni mwa wiki kwenye kituo cha maelezo ya afya Muhimbili katika idara ya magonjwa ya akili. Kulia ni Mtathmini kiongozi wa mradi huo, Mrema...