Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa SADC Waanza jijini Harare
Na Mwandishi wa Wizaraya Mambo ya Nje.Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) wameanza kikao cha siku mbili jijini Harare, Zimbabwe leo kufanya matayarisho ya Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya hiyo, utakaofanyika hapo tarehe 29 Aprili, 2015.
Kikao cha Mawaziri, kinachoongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Zimbabwe, Mhe. Dkt. Simbarashe Mumbengegwi, kinatayarisha agenda ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi, ambao utajikita kwenye Mpango Mkakati wa Maendeleo ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMkutano wa Mawaziri wa SADC Waanza jijini Harare
10 years ago
MichuziMHE. Dkt. PINDI CHANA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA JINSIA NA MAENDELEO YA WANAWAKE WA NCHI ZA SADC, NCHINI HARARE, ZIMBABWE
10 years ago
MichuziMKUTANO WA SIKU MBILI JUU YA MABADILIKO YA TABIANCHI, UHAKIKA WA CHAKULA NA HAKI ZA ARDHI WAANZA LEO JIJINI DAR
Robert Muthami Program Support Officer kutoka Pan African Climate Justice Alliance (PACJA) akitoa ufafanuzi juu ya baadhi ya mambo yanayohusu mabadiliko ya Tabianchi.
Meza ya Majaji wakiwa wanasikiliza kwa makini malalamiko ya walalamikaji kutoka Loliondo juu ya kuchukuliwa...
5 years ago
MichuziMKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA SADC NGAZI YA MAKATIBU WAKUU WAANZA
MKUTANO wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya yaMaendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umefanyika leo jijini Dar es Salaam kwa njia ya Mtandao (Video Conferencing) katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Mkutano huo umefunguliwa na
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Maafisa Waandamizi/ Makatibu Wakuu, Balozi Kanali Wilbert Ibuge Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Wajumbe wengine ni waliohudhuria ni Katibu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,...
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Maafisa Waandamizi/ Makatibu Wakuu, Balozi Kanali Wilbert Ibuge Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Wajumbe wengine ni waliohudhuria ni Katibu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IW434K84RNg/VUI3u6qsUPI/AAAAAAAHUUc/lrOHpFLarfY/s72-c/05.jpeg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AREJEA NCHINI BAADA YA KUHUDHURIA MKUTANO WA DHARURA WA SADC, JIJINI HARARE, ZIMBABWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-IW434K84RNg/VUI3u6qsUPI/AAAAAAAHUUc/lrOHpFLarfY/s1600/05.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-arq73GJJVj0/VUI3wp8iyTI/AAAAAAAHUUk/gX9kwEd_-PE/s1600/5.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XYJbMnZG_Sw/VUKmXNRp_DI/AAAAAAAHUZg/77x3mHPrpZo/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AREJEA NCHINI BAADA YA KUHUDHURIA MKUTANO WA DHARURA WA SADC, JIJINI HARARE, ZIMBABWE, MUGABE AKABIDHI RASMI CHUO CHA UTUNZAJI AMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-XYJbMnZG_Sw/VUKmXNRp_DI/AAAAAAAHUZg/77x3mHPrpZo/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HbWGx9o5R6s/XvIr3qI3RLI/AAAAAAAA-5I/2L_fgJIFq_kAyWLLLbM9Pb7ZqpJWF-k0wCLcBGAsYHQ/s72-c/719A0509.jpg)
Pro. Kabudi Afungua Mkutano wa Braza la Mawaziri SADC jijini Dar es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-HbWGx9o5R6s/XvIr3qI3RLI/AAAAAAAA-5I/2L_fgJIFq_kAyWLLLbM9Pb7ZqpJWF-k0wCLcBGAsYHQ/s640/719A0509.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-E9etKYNmLnY/XvItqQynbJI/AAAAAAAA-5o/aos9Wv3xi9QCozKjeIhppBNR9nfm3SObgCLcBGAsYHQ/s640/719A0507.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Rminn65iTd4/XvY-dm8LeeI/AAAAAAALvm8/HkssGF2sL_sRjA6lKSef_uK7hFeM6zJ8ACLcBGAsYHQ/s72-c/cb183fbc-b286-47f4-b33d-400f9cb2e966.jpg)
MKUTANO WA MAWAZIRI WA KAMATI YA SADC YA ASASI YA USHIRIKIANO WA SIASA, ULINZI NA USALAMA (TROIKA) WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Rminn65iTd4/XvY-dm8LeeI/AAAAAAALvm8/HkssGF2sL_sRjA6lKSef_uK7hFeM6zJ8ACLcBGAsYHQ/s640/cb183fbc-b286-47f4-b33d-400f9cb2e966.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (katikati), kulia kwake ni Waziri wa Mambo ya Nchi George Simbachawene na mwisho kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi, Dkt. Faraji Mnyepe wakifuatilia mkutano kwa njia ya video conference, Jijini Dar es salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/400ecb75-d520-4a8b-b72e-dfa01cefc075.jpg)
Mawaziri pamoja na baadhi ya Makatibu Wakuu/Maafisa waandamizi kutoka Tanzania wakifuatilia mkutano kwa njia ya Video Conference, jijini Dar es Salaam
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/10090094-3bb9-45fd-8409-040085bec91b.jpg)
Mkutano ukiendelea ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X2e7XwS87fE/XvSvYEmF5-I/AAAAAAALvZk/n7GISuD4jJQmMVC9hMcpyfIynzZL1DDEgCLcBGAsYHQ/s72-c/28eb067e-e3e1-4242-a58f-e9bfd86a6616.jpg)
MKUTANO WA MAWAZIRI WA KAMATI YA SADC YA ASASI YA USHIRIKIANO WA SIASA, ULINZI NA USALAMA KWA NGAZI YA MAKATIBU WAKUU WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-X2e7XwS87fE/XvSvYEmF5-I/AAAAAAALvZk/n7GISuD4jJQmMVC9hMcpyfIynzZL1DDEgCLcBGAsYHQ/s640/28eb067e-e3e1-4242-a58f-e9bfd86a6616.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/c7db65db-0e86-42f2-b1c5-02d2d8881acf.jpg)
Washiriki wakifuatilia mkutano kwa njia ya Video Conference jijini Dar es Salaam
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/cf94b859-45ce-43ff-9cae-f695107776ec.jpg)
Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama pamoja na baadhi ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania