Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maalim Hassan yahya Hussein afurahia kurudi kundini CCM

Maalim Hassan Yahya Hussein amerudi rasmi kundini CCM baada ya kuwa nje ya chama kwa takriban miaka 20 hivi na ushee.Maalim Hassan alijitosa katika safari yake ya kisiasa kwa kujiunga na CHADEMA ambapo katika  kipindi hicho aliwahi kugombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya chama hicho na pia udiwani kwa kupitia chama hicho hicho - lakini mara zote kura hazikutosha.Juzi alipokekelewa kwa shangwe na wanachama wa CCM  katika kata ya Mzimuni, Magomeni, katika mkutano wa kuwanadi wagombea...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

VIFO VYA WASANII VITAENDELEA MPAKA APRILI 2015 - MAALIM HASSAN HUSSEIN YAHYA

Mtabiri Maalim Hassan Hussein Yahya amesema kuwa vifo vya wasanii na mastaa vitaendelea mpaka Aprili 2015 wakati akiongea na Global TV Online. Ili kujua sababu za vifo hivyo, usikose kuangalia Global TV Online na kusoma magazeti ya Global…

 

10 years ago

Michuzi

Mtabiri na mtaalamu wa nyoya Hassan Yahya hussein ajitosa kugombea udiwani kata ya mzimuni, Magomeni, Dar es salaam

Bingwa wa Utabiri nchini na Mtaalamu wa Nyota, hapa nchini ambaye ni  Mrithi na mtoto wa Marehemu Marehemu Sheikh Yahya Hussein, Leo Amejitosa Rasmi na kuchukua Fomu kuomba Ridhaa  kupeperusha Bendera ya CCM Katika Kata ya Mzimuni akigombea UDIWANI

 

11 years ago

GPL

MAALIM HASSAN YAHYA ATOA UTABIRI WA MWAKA 2014

Maalim Hassan Yahya Hussein (kushoto) akihojiwa na mwandishi wa habari.
LEO mnajimu maarufu, Maalim Hassan Yahya Hussein amefanya mkutano na waandishi wa habari. Ametabiri mambo zaidi ya kumi, yasome mwenyewe. Ndugu Wanahabari UTANGULIZI:
Mwaka huu tulionao hivi sasa wa 2014 umeanzia siku ya Jumatano, siku hii inatawaliwa Na Sayari ya Mercury,  Sayari hii iko Mbingu ya 2, na  nyota zake ni mbili nazo ni Mapacha (Gemini)...

 

11 years ago

GPL

MAALIM HASSAN HUSSEIN ATINGA GLOBAL, AFUNGUKA KUHUSU MATUKIO YANAYOENDELEA NCHINI

Maalim Hassan Hussein akiwa ndani ya ofisi za Global Publishers. Mtoto wa aliyekuwa mtabiri bingwa Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein, Maalim Hassan Hussein leo ametembelea ofisi za Global Publishers na kufunguka kuhusu matukio yanayoendelea nchini hasa kuhusu vifo vya wasanii.

 

10 years ago

Mwananchi

Maalim Seif: Siwezi kamwe kurudi CCM hii ya sasa

Ni mengi yamesemwa kuhusu mwanasiasa huyu, Maalim Seif Shariff Hamad ambaye kwa sasa ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar. Yeye, ameshikilia nyadhifa mbalimbali tangu akiwa chama tawala, CCM hadi sasa akiwa Chama cha Wananchi (CUF). Ni nini zaidi anacho Maalim Seif? Endelea…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani