Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAALIM HASSAN HUSSEIN ATINGA GLOBAL, AFUNGUKA KUHUSU MATUKIO YANAYOENDELEA NCHINI

Maalim Hassan Hussein akiwa ndani ya ofisi za Global Publishers. Mtoto wa aliyekuwa mtabiri bingwa Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein, Maalim Hassan Hussein leo ametembelea ofisi za Global Publishers na kufunguka kuhusu matukio yanayoendelea nchini hasa kuhusu vifo vya wasanii.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Q-CHILLAH ATINGA GLOBAL TV ONLINE, AFUNGUKA KUHUSU UJIO WAKE MPYA

Nguli wa Bongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akifunguka ndani ya studio za Global TV Online leo. Q-Chillah akionyesha Cd ya wimbo wake mpya uitwao 'Nipende Nikupende' aliofanya na MB Dog. …

 

10 years ago

Michuzi

Maalim Hassan yahya Hussein afurahia kurudi kundini CCM

Maalim Hassan Yahya Hussein amerudi rasmi kundini CCM baada ya kuwa nje ya chama kwa takriban miaka 20 hivi na ushee.Maalim Hassan alijitosa katika safari yake ya kisiasa kwa kujiunga na CHADEMA ambapo katika  kipindi hicho aliwahi kugombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya chama hicho na pia udiwani kwa kupitia chama hicho hicho - lakini mara zote kura hazikutosha.Juzi alipokekelewa kwa shangwe na wanachama wa CCM  katika kata ya Mzimuni, Magomeni, katika mkutano wa kuwanadi wagombea...

 

11 years ago

GPL

VIFO VYA WASANII VITAENDELEA MPAKA APRILI 2015 - MAALIM HASSAN HUSSEIN YAHYA

Mtabiri Maalim Hassan Hussein Yahya amesema kuwa vifo vya wasanii na mastaa vitaendelea mpaka Aprili 2015 wakati akiongea na Global TV Online. Ili kujua sababu za vifo hivyo, usikose kuangalia Global TV Online na kusoma magazeti ya Global…

 

10 years ago

CloudsFM

Keisha akizungumza kwa uchungu kwenye kipindi cha Leo Tena kuhusiana na matukio ya mauaji ya Albino yanayoendelea hapa nchini

Msanii wa Bongo Fleva,Keisha akizungumza kwa uchungu kwenye kipindi cha Leo Tena kuhusiana na matukio ya mauaji ya Albino yanayoendelea hapa nchini,wasanii wengine waliokuwepo ni Kajala,Shamsa Ford,Mwasiti na wengineo.

 

11 years ago

GPL

NABII YASPI BENDERA ATINGA GLOBAL, ATOA UTABIRI KUHUSU UGONJWA WA EBOLA

Nabii Yaspi Paul Bendera akiwa katika studio za Global TV Online kabla ya mahojiano. Nabii Yaspi akijibu maswali ya wanahabari wa GPL (hawapo pichani), mbele ya kamera za Global TV…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani