Wenye bodaboda 500 Ubungo wajiunga CCM
WAENDESHA bodaboda zaidi ya 500 katika Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam, wameahidi kuwa wanachama watiifu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya kupewa elimu kuhusu nini kilisababisha wao kuzuiwa kuingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
Mgombea mwenza CCM aupukutisha upinzani Lindi, 61 wajiunga CCM, wamo viongozi
![](http://3.bp.blogspot.com/-RcYrUf6aI_o/VfajtJr3U3I/AAAAAAAADww/GoQ42vVVldM/s1600/IMG_1416.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DA7Qkg9Y5A0/VfakC6O_KWI/AAAAAAAADxQ/eOYvgEFdW5I/s1600/IMG_1478.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0-mTwoZiCCA/VfagrcUZhzI/AAAAAAAADuo/-eLjL-E3L18/s1600/IMG_1054.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lsB2tZ1SYBw/VfalcL8IjGI/AAAAAAAADyg/ww5dqfUWcMU/s72-c/IMG_1570.jpg)
Mgombea Mwenza CCM Mama Samia Suluhu Hassan apukutisha Upinzani Lindi, 61 Wajiunga CCM, Wamo Viongozi
![](http://3.bp.blogspot.com/-lsB2tZ1SYBw/VfalcL8IjGI/AAAAAAAADyg/ww5dqfUWcMU/s1600/IMG_1570.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dOgyCVEL27o/VfalhQiRu5I/AAAAAAAADyo/rY8XXlFP0PI/s1600/IMG_1589.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DA7Qkg9Y5A0/VfakC6O_KWI/AAAAAAAADxQ/eOYvgEFdW5I/s1600/IMG_1478.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0-mTwoZiCCA/VfagrcUZhzI/AAAAAAAADuo/-eLjL-E3L18/s1600/IMG_1054.jpg)
10 years ago
Habarileo09 Sep
Sumatra kuwabana wenye bodaboda
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) imesema usajili wa pikipiki maarufu kama ‘bodaboda’ utafanywa pamoja na kukagua namba zenye rangi ya njano huku zikiwa zinafanyabiashara jambo ambalo ni kinyume.
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Mgeja, Guninita wajiengua CCM, wajiunga Chadema
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Mgeja, Guninita waibwaga CCM, wajiunga Chadema
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja amesema chama hicho kimeacha misingi yake na sasa kimegeuka kuwa kampuni ya familia moja.
Mgeja pia amempiga kijembe mgombea urais kupitia CCM, Dk. John Magufuli akimfananisha na dereva ambaye hajaweza kuendesha gari vizuri ‘learner’ akimaanisha kuwa hana uwezo wa kukiongoza chama hicho.
Mgeja alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana alipotangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama...
10 years ago
MichuziMGEJA,GUNINITA WANGATUKA CCM ,WAJIUNGA CHADEMA
9 years ago
Bongo Movies15 Sep
Aunti Ezekiel na Vincent Kigosi Kutoka UKAWA Wajiunga na Kampeni za CCM
<span 1.6em;"="">Zikiwa zimebaki takribani siku 39 kuelekea siku ya Kupiga kura. Wasanii wawili wa tasnia ya Maigizo waliokuwa katika Kampeni za Mh Edward Lowassa wa CHADEMA ghafla wameamia kwenye Kampeni za Mh John P. Magufuli wa CCM.
Hii imethibitishwa na mmoja wa wasanii hao, yaani Anti Ezekiel kupitia kwenye ukurasa wake wa Twitter. (Auntezeofficial)
Ni stori ya kisiasa ambayo ilianza kuchukua headlines kwenye mitandao mbalimbali kuhusu wasanii wawili wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel...
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Viongozi wa UKAWA Lyamgungwe wadai kuvutiwa na utendaji wa Mbunge Mgimwa Kalenga wajiunga CCM
Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa kulia akipokea kadi ya Chadema kutoka kwa mmoja kati ya viongozi wa Chadema kata ya Lyamgungwe aliyehamia CCM.
Na MatukiodaimaBlog
VIONGOZI watatu wa vyama vinavyounda katiba ya wananchi (UKAWA) kata ya Lyamgungwe jimbo la kalenga wamempongeza mbunge wa jimbo la hilo Godfrey Mgimwa kwa kutekeleza ahadi mbali mbali zilizoachwa na marehemu mbunge aliyepita Dr Wiliam Mgimwa kwa muda mfupi na kuwa katika kuonyesha umoja wao...
10 years ago
GPLVIONGOZI WA UKAWA LYAMGUNGWE WADAI KUVUTIWA NA UTENDAJI WA MBUNGE MGIMWA KALENGA WAJIUNGA CCM