WANANCHI WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA STENDI MPYA YA KISASA YA DODOMA, WATOA USHAURI,CHANGAMOTO (VIDEO)
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI ATOA MAAGIZO STENDI MPYA YA MABASI DODOMA,AKATAZA WAPIGA DEBE,SUMA JKT KUPIGISHA RAIA VICHURA
RAIS Dk.John Magufuli ametoa maelekezo kadhaa kwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kuhusu Stendi Kuu ya mabasi ya jijini humo yakiwemo ya kuhakikisha wajasiriamali wadogo,Mama Lishe, waendesha bodaboda na daladala kufika kituoni hapo bila kusumbuliwa.
Pia ametoa maelekezo ya askari wa Suma JKT wenye tabia ya kupigisha watu vichura kuacha mara moja, kwani hayuko tayari kuona Watanzania waliohuru kwenye nchi wakirushwa vichura na ametumia nafasi hiyo kumwambia Mkurugenzi...
5 years ago
MichuziWANANCHI KIJIJI CHA IGAWA WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
Na Mwandishi Wetu,MAELEZO-DAR ES SALAAM
WANANCHI wa Kijiji cha Igawa, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wamempongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa kuboresha miundombinu ya barabara hatua inayolenga kufungua fursa za kiuchumi na ukuaji wa miji katika maeneo mbalimbali nchini. Wakizungumza katika mahojiano maalum na Idara ya Habari (MAELEZO) hivi karibuni Kijijini hapo, wananchi hao walisema udhubutu uliofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kutekeleza miradi mikubwa ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-v4Pm5L_ygMw/XusS7kvLu1I/AAAAAAABMdI/KtOQELa4y5YHk5umyQOOmpDHlWlK3Lf3ACLcBGAsYHQ/s72-c/vichura.jpeg)
JPM APIGA SIMU, AAMURU ASKARI WA SUMA JKT WANAOPIGISHA VICHURACHURA WANANCHI STENDI MPYA YA DODOMA WAONDOLEWE MARA MOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-v4Pm5L_ygMw/XusS7kvLu1I/AAAAAAABMdI/KtOQELa4y5YHk5umyQOOmpDHlWlK3Lf3ACLcBGAsYHQ/s400/vichura.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aTaFecdvwFo/XrY8cRyXQ9I/AAAAAAALphk/TlJusRIOz-QdXkkEQvgMxlFhXR_bhabUwCLcBGAsYHQ/s72-c/3de15645-5431-4ae8-a751-75738d17f5ee.jpg)
WANANCHI DODOMA WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUPATA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR
Zoezi hilo linahusisha fidia za nyumba na viwanja, jumla ya wananchi 2,604 wanatarajiwa kulipwa fidia yenye thamani ya zaidi ya Shilingi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-aTaFecdvwFo/XrY8cRyXQ9I/AAAAAAALphk/TlJusRIOz-QdXkkEQvgMxlFhXR_bhabUwCLcBGAsYHQ/s72-c/3de15645-5431-4ae8-a751-75738d17f5ee.jpg)
WANANCHI DODOMA WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUPATA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR
Wananchi jijini Dodoma wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kupata fidia baada ya maeneo yao kuwekwa katika orodha ya maeneo yanayopitiwa na mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Morogoro – Dodoma – Singida katika Kata za Ihumwa, Mkonze na Kikuyu Kusini mkoani Dodoma, hivi karibuni Mei 2020.
Zoezi hilo linahusisha fidia za nyumba na viwanja, jumla ya wananchi 2,604 wanatarajiwa kulipwa fidia yenye thamani ya zaidi ya Shilingi...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KQ3TwhlkuQs/VnlJjtD7crI/AAAAAAAIN5U/KJcjxnO_u2s/s72-c/magufuli1.jpg)
IGWUTA WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KAZI ZAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-KQ3TwhlkuQs/VnlJjtD7crI/AAAAAAAIN5U/KJcjxnO_u2s/s320/magufuli1.jpg)
Akizungumza na Waandishi wa habari leo Katibu Mkuu wa chama chama cha IGWUTA, Michael Kashamba amesema kuwa,Wamefurahishwa kwa kumpata Rais Magufuli na wanatoa wito kwa Wafanyakazi wote hapa nchini kujitokeza na kumuunga...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/iS7bCzi87WQ/default.jpg)
9 years ago
StarTV01 Dec
UWT Dar  wampongeza Utendaji Wa Rais Magufuli kwa mwanzo mzuri
Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi, U.W.T Mkoa wa Dar es salaam wamempongeza Rais Magufuli kwa uwajibikaji wake na utendaji kazi kwa kupiga vita mafisadi na wakwepa kodi.
Rais Magufuli amefananishwa na hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwa ufuatiliaji na kasi yake aliyoianza ya kuwa karibu na wananchi katika kuhakikisha anakomesha kero zao na kuwawajibisha viongozi wazembe.
Janeth Masaburi ni Mwenyekiti wa U.W.T. mkoa wa Dar es salaam amewataka watanzania bila...
5 years ago
Bongo514 Feb
Nina huu ushauri kwa Rais Magufuli – Hamorapa
Harmorapa amefunguka na nia ya kutoa ushauri kwa Rais Magufuli juu ya mambo ambayo angependa kuona Rais anayafanyia kazi.
Harmorapa akiwa kwenye kipindi cha Kikaangoni kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV amemshauri Rais Magufuli kuboresha zaidi miundombinu.
“Rais Magufuli unajua yeye ndiye mwenye nchi sasa, hivyo mimi namuomba aboreshe zaidi suala la miundombinu natambua amefanya mambo mengi na makubwa kwenye sekta hiyo ila aboreshe zaidi, lakini pia namuomba Rais Magufuli aendelee...