Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LB YAIKARIBISHA VIJIMAMBO ATLANTA KWA MNUSO WA KIMTINDO


Linda Bezuidenhout Ceo wa LB akifanya matayarisho kwa ajili ya wageni wake aliowakaribisha kwenye mnuso mdogo aliofanya kuipongeza Timu ya Vijimambo kwa kazi ya kuhabarisha jamii inayofanya siku ya Jumamosi Februari 28, 2015 katikati ya jiji la Atlanta jimbo la Georgia.Linda Bezuidenhout Ceo wa LB akiwa katika picha ya pamoja na wageni wake kushoto ni Meck Khalfan Ceo na Co Founder wa PUKU Mtanzania aliyegundua mashine ya chaja ya kubeba inayo chaji simu ya kiganjani.Linda Bezuidenhout Ceo...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PITA PITA YA UKODAK WA VIJIMAMBO PANDE ZA ATLANTA GA.

Elvis akijiandaa kuingia barabarani na usafiri wake pande za Atlanta alivyokamatwa na ukodak wa vijimambo kiroho safi.

 

11 years ago

Michuzi

ankal aadhibiwa kwa kuvamia mnuso wa watu...

Ankal akiwa na wadau katika mnuso mmoja hivi karibuni jijini Dar es salaam, akionesha madhara ya kuvunja geti (gate crash) maana dress code ilikuwa kanzu na koti na makubadhi. Yeye kaulamba kivingine, adhabu yake ikawa kuchukuliwa kwa taswira hii ili iwe fundisho kwake na kwa wengine.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar yaikaribisha Ujerumani

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeiomba Serikali ya Ujerumani kupanua uwekezaji katika nyanja za viwanda vidogo vidogo pamoja na bahari kuu ili kupunguza tatizo la ajira kwa vijana. Makamu...

 

10 years ago

Michuzi

mwaliko wa mnuso kwa mheshimiwa diwani mwezi ujao

Mimi Clement Bocco, napenda kuwakaribisha marafiki zangu, madiwani wenzangu wa manispaa ya kinondoni, wanakwaya wenzangu wa kkkt Kijitonyama, wanasiasa wenzangu, ndugu, jamaa na majirani zangu wote mje kufurahi pamoja na familia yangu kwenye sherehe ya mahafali (graduation) yangu ya Masters kwenye chuo cha IFM mwezi ujao tarehe 10.10.2014, baada ya ratiba ya chuoni itafuatiwa na tafrija itakayofanyika Sinza..hakuna kiingilio, KARIBUNI WOOOTE

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa atangaza nia kimtindo

>Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ametangaza kuanza rasmi kwa safari aliyoiita ya matumaini ya ndoto zake, ambayo amesema itatimiza ndoto za Watanzania za kupata elimu bure, maji safi na maendeleo ya uhakika.

 

10 years ago

Vijimambo

Watanzania wa jimbo la Georgia na Alabama wakutana kwa hafla ya nyama choma Atlanta, GA

DJ. Dullah akiburudisha wakati wa nyama choma hiyo.Kwa picha zaidi bofya SOMA ZAIDI

 

9 years ago

Habarileo

Maguri awatoroka kimtindo Kiiza, Ngoma

MSHAMBULIAJI wa Stand United, Elias Maguri juzi aliiwezesha Stand United kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi Mgambo Shooting wakati alipofunga bao la pekee kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

10 years ago

Vijimambo

TIMU LIBE YAFANYA MNUSO WA KUFUNGA MWAKA KWA WABONGO WPTE

Libe Mwang'ombe katika picha yeye na timu yake wamefanya mnuso wa kufunga mwaka kwa Wabongo wote waishio DMV siku ya Jumamosi Desemba 13, 2014 Bowie, Maryland nchini Marekani.Wakina dada wakipata picha ya pamoja kulia ni Muna aliyekua kampeni Meneja wa timu Libe.Dj Dave akifanya vitu vyake huku akisaidia na Dj MO (hayupo pichani)Aunty Baybe Mgaza katika pichaRumba likiendelea.Omby kampeni meneja msaidizi wa timu Libe.Eric Bahunde akiwemo ndani ya nyumba.Dj MO katika picha ya pamoja na...

 

10 years ago

Michuzi

mwaliko wa mnuso wa sherehe za nondozzz kwa mheshimiwa diwani Clement Bocco

Mimi Clement Bocco, napenda kuwakaribisha marafiki zangu wote, madiwani wenzangu, wanakwaya wenzangu wa kkkt Kijitonyama, wanasiasa wenzangu, ndugu na jamaa wote mje kufurahi pamoja na familia yangu kwenye sherehe ya mahafali (graduation) yangu ya Masters kwenye chuo cha IFM jijini Dar es salaam mwezi ujao tarehe 10.10.2014. Baada ya ratiba ya chuoni itafuatiwa na tafrija itakayofanyika kwenye ukumbi wa Pine Lodge jirani na Bahari Beach Hotel kuanzia saa 12:30 jioni.Hakuna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani