Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSIBA: Johari afiwa na baba yake. Tazama picha za mazishi yalivyokuwa leo.

R.IP baba yetu kipenzi CLEMENT KIENZE CHAGULA tulikupenda sana ila mungu amekupenda zaidi .daima tutakukumbuka milele pumzika kwa amani. Amini.

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JOHARI AFIWA NA BABA YAKE MDOGO

Msanii Blandina Chagula 'Johari' baada ya kuweka shada la maua kwenye kaburi la baba yake mdogo Mzee Clement Chagula. Baadhi ya mastaa wa Bongo Muvi walioshiriki mazishi…

 

10 years ago

Bongo5

Kitale afiwa na baba yake, atazikwa leo Kilosa, Morogoro

Msanii wa vichekesho, Kitale jana amefiwa na baba yake mzazi na mazishi yatafanyika leo Kilosa mkoani Morogoro. Kitale Mussa Akizungumza na Bongo5 leo, Kitale amesema kuwa baba yake amepatwa na umauti jana baada ya kuugua kwa muda mrefu. “Tunashuru Mungu leo saa 7 mchana tunazika pale Kilosa, baba alikuwa anaumwa kwa muda mrefu,” alisema Kitale.

 

10 years ago

GPL

PICHA ZA MAZISHI YA BABA YAKE BENJAMINI MWANAMBUU WA GPL

Jeneza likiingizwa kaburini.
Mke na watoto wa marehemu wakiweka mashada ya maua.…

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Michuzi

MWILI WA BABA YAKE MWANAHABARI, PETER AMBILIKILE WAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM, MAZISHI YAKE KUFANYIKA MBEYA LEO

 Marehemu Mzee Anyosisye Mwakyusa enzi za uhai wake. Mwili ukiondolewa kanisani.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

11 years ago

GPL

MAZISHI YA GURUMO YALIVYOKUWA KISARAWE LEO

Mwili wa marehemu ukishushwa kaburini. Waombolezaji wakiwa kaburini tayari kuupokea mwili wa Gurumo na kuuhifadhi.…

 

11 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AHANI MSIBA WA BABA YAKE ROSTAM AZIZI JIJINI DAR LEO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Rostam Azizi, wakati alipofika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo Mei 31, 2014 kwa ajili ya kumpa pole kwa kufiwa na Baba yake mzazi aliyefariki katikati ya wiki hii.     - Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na waombolezaji waliofika  nyumbani kwa Rostam Azizi, Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo Mei 31, 2014 kwa ajili ya...

 

11 years ago

GPL

MTITU AFIWA NA BABA YAKE

STAA wa filamu za kibongo William Mtitu amepata pigo baada ya kufiwa na baba yake mzazi, Mzee John Mtitu aliyekuwa amelazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kutokana na kusumbuliwa na uvimbe kichwani Akizungumza kwa masikitiko nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam, Mtitu alisema amesikitishwa na kifo cha baba yake lakini hana jinsi kwani Mungu amempenda zaidi na hiyo ni njia ya kila mmoja. Staa wa filamu za kibongo, William...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani