Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAZISHI YA GURUMO YALIVYOKUWA KISARAWE LEO

Mwili wa marehemu ukishushwa kaburini. Waombolezaji wakiwa kaburini tayari kuupokea mwili wa Gurumo na kuuhifadhi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo Movies

MSIBA: Johari afiwa na baba yake. Tazama picha za mazishi yalivyokuwa leo.

R.IP baba yetu kipenzi CLEMENT KIENZE CHAGULA tulikupenda sana ila mungu amekupenda zaidi .daima tutakukumbuka milele pumzika kwa amani. Amini.

 

10 years ago

Michuzi

Askari wa Usalama barabarani aliyefariki katika ajali kisarawe aagwa leo, mwili wake wasafirishwa kwenda bunda kwa mazishi

Askari wa Usalama barabarani wakiwa wamebeba mwili wa marehemu Koplo John John Masele aliyepata ajali  ya gari na kufariki  dunia hapo hapo maeneo ya Kisarawe, mkoa wa Pwani, juzi. Hii na baada ya mwili wake kuagwa jijini Dar es salaam kabla ya kusafirishwa kuelekea kwao Bunda mkoa wa Mara.

 

11 years ago

GPL

MZEE GURUMO KUZIKWA KESHO KWAO KISARAWE, MKOA WA PWANI

Waombolezaji wakiwa msibani. Ndugu wa marehemu wakiwa katika chumba cha wafiwa. Mke wa marehemu,…

 

11 years ago

GPL

RATIBA YA MAZISHI YA MAALIM GURUMO

Mzee Muhidin Maalim Gurumo enzi za uhai wake. -LEO saa 10 jioni kutakuwa na kisomo nyumbani kwa marehemu Tabata-Kisukulu jijini Dar es Salaam.
-Kesho saa 3 asubuhi mwili wa marehemu utawasili nyumbani kwake kwa ajili ya sala.
-Saa 4 asubuhi safari ya kuelekea kijiji cha Masaki wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani kwa…

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanamuzi Gurumo kuagwa leo

Wanamuziki nyota waliowahi kutamba na bendi ya DDC Mlimani Park “Sikinde Ngoma ya Ukae” leo watafanya ‘vitu vyao’ kwenye tamasha la Gurumo lililopangwa kufanyika kwenye Viwanja vya TCC Club Chang’ombe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Julius Kisarawe kuzichapa na Moro Best leo

BONDIA Julius Kisarawe anatarajiwa kupanda ulingoni katika Ukumbi wa Friends Corner, Manzese jijini Dar es Salaam leo, kuzichapa na Hassan Kiwale ‘Moro Best’. Kwa mujibu wa muandaaji wa mnyukano huo,...

 

11 years ago

GPL

SAFARI YA MWISHO YA GURUMO DUNIANI LEO

Makamu wa Rais Dk Mohamed Bilal akiwasili nyumbani kwa marehemu Muhidini Gurumo, Makubuli, Ubung, Dar leo asubuhi. Makamu wa Rais, Dk Bilal (Mwenye suti) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana wakiwa msibani leo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani