Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAZISHI YA MAALIM GURUMO KIJIJINI MASAKI, KISARAWE LEO

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAZISHI YA GURUMO YALIVYOKUWA KISARAWE LEO

Mwili wa marehemu ukishushwa kaburini. Waombolezaji wakiwa kaburini tayari kuupokea mwili wa Gurumo na kuuhifadhi.…

 

11 years ago

GPL

RATIBA YA MAZISHI YA MAALIM GURUMO

Mzee Muhidin Maalim Gurumo enzi za uhai wake. -LEO saa 10 jioni kutakuwa na kisomo nyumbani kwa marehemu Tabata-Kisukulu jijini Dar es Salaam.
-Kesho saa 3 asubuhi mwili wa marehemu utawasili nyumbani kwake kwa ajili ya sala.
-Saa 4 asubuhi safari ya kuelekea kijiji cha Masaki wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani kwa…

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete aongoza mazishi ya Kapteni Komba,kijijini lituhi leo

Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo la Mbinga Mhashamu John Ndimbo akiongoza ibada ya mazishi ya aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu Kapteni John Damiano Komba wakati wa ibada ya mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi wilayani Nyasa Mkoani Ruvuma leo.(picha na Freddy Maro).Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu Kapteni John Damiano Komba wakati wa ibada ya mazishi yake...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA KAPTENI DAMIANO KOMBA KIJIJINI LITUHI LEO

Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo la Mbinga Mhashamu John Ndimbo akiongoza ibada ya mazishi ya aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu Kapteni John Damiano Komba wakati wa ibada ya mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi wilayani Nyasa Mkoani Ruvuma leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa mbunge… ...

 

11 years ago

Michuzi

MAENDELEO YA MSIBA WA MZEE MUHIDIN MAALIM GURUMO NYUMBANI KWAKE MABIBO MCHANA WA LEO

Sehemu ya Waombolezaji wa Msiba wa nguli wa Muziki wa Dansi hapa nchini na aliekuwa kiongozi wa Bendi ya Msondo Ngoma,Marehemu Mzee Muhidin Maalim Gurumo wakiwa nyumbani kwake Mabibo (Tabata Makuburi),leo.Shughuli zote za Mazishi zinaendelea nyumbani hapo.Tarati bu za Mazishi zimefanyika,yatafanyika kesho Aprili 15,2014 kwenye Makaburi yaliopo kwenye kijiji cha Masaki,Kisarawe mkoani Pwania.  Mmoja wa wanamuziki wa zamani na aliewahi kufanya kazi Pamoja na Marehemu Mzee Muhidin Maalim...

 

11 years ago

Michuzi

Askari wa Usalama barabarani aliyefariki katika ajali kisarawe aagwa leo, mwili wake wasafirishwa kwenda bunda kwa mazishi

Askari wa Usalama barabarani wakiwa wamebeba mwili wa marehemu Koplo John John Masele aliyepata ajali  ya gari na kufariki  dunia hapo hapo maeneo ya Kisarawe, mkoa wa Pwani, juzi. Hii na baada ya mwili wake kuagwa jijini Dar es salaam kabla ya kusafirishwa kuelekea kwao Bunda mkoa wa Mara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani