Mwanamuzi Gurumo kuagwa leo
Wanamuziki nyota waliowahi kutamba na bendi ya DDC Mlimani Park “Sikinde Ngoma ya Ukae†leo watafanya ‘vitu vyao’ kwenye tamasha la Gurumo lililopangwa kufanyika kwenye Viwanja vya TCC Club Chang’ombe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Mwili wa Saria kuagwa leo
MWILI wa aliyekuwa mwanariadha, kocha na kiongozi wa zamani wa Riadha Tanzania (RT), Ernest Saria aliyefariki usiku wa kuamkia Jumanne, unatarajiwa kuagwa leo saa 3 asubuhi katika kituo cha Polisi,...
11 years ago
Habarileo20 May
Bosi wa Ewura kuagwa leo
ALIYEKUWA Meneja Biashara ya Mafuta wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza aliyefariki dunia juzi, anatarajiwa kuagwa leo nyumbani kwake Yombo Vituka, Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo28 Sep
Kombani kuagwa Karimjee leo
MWILI wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), Celina Kombani, utaagwa leo katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa kwenda nyumbani kwake mkoani Morogoro kwa ajili ya maziko yatakayofanyika kesho shambani kwake.
10 years ago
Habarileo11 May
John Nyerere kuagwa leo
MAMIA ya wakazi wa Dar es Salaam leo wanatarajia kutoa heshima za mwisho kwa John Nyerere (58), ambaye ni mmoja wa watoto wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.
11 years ago
Habarileo28 Mar
Mwili wa RC Mara kuagwa leo
MWILI wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa unaagwa leo katika ibada itakayofanyika viwanja vya Nyerere Square, mjini Dodoma. Taarifa ya Kamati ya Uratibu ya Msiba ya Mkoa wa Dodoma, ilisema baada ya ibada hiyo wananchi watapata nafasi ya kumuaga.
11 years ago
Habarileo22 Apr
DC Chang'a afariki dunia, kuagwa leo
MKUU wa Wilaya ya Kalambo, Moshi Chang’a amefariki dunia na mwili wake utaagwa leo jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya aliliambia gazeti hili jana kwamba Chang’a alifariki juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Mwili wa Dk Shija kuagwa leo Dar
11 years ago
Habarileo22 Apr
DC Chang’a afariki, mwili kuagwa leo
MKUU wa Wilaya ya Kalambo, Moshi Chang’a amefariki dunia na mwili wake utaagwa leo jijini Dar es Salaam.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kombani1.jpg?width=650)
CELINA KOMBANI KUAGWA LEO DAR