Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamuzi Gurumo kuagwa leo

Wanamuziki nyota waliowahi kutamba na bendi ya DDC Mlimani Park “Sikinde Ngoma ya Ukae” leo watafanya ‘vitu vyao’ kwenye tamasha la Gurumo lililopangwa kufanyika kwenye Viwanja vya TCC Club Chang’ombe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwili wa Saria kuagwa leo

MWILI wa aliyekuwa mwanariadha, kocha na kiongozi wa zamani wa Riadha Tanzania (RT), Ernest Saria aliyefariki usiku wa kuamkia Jumanne, unatarajiwa kuagwa leo saa 3 asubuhi katika kituo cha Polisi,...

 

11 years ago

Habarileo

Bosi wa Ewura kuagwa leo

ALIYEKUWA Meneja Biashara ya Mafuta wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza aliyefariki dunia juzi, anatarajiwa kuagwa leo nyumbani kwake Yombo Vituka, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Kombani kuagwa Karimjee leo

MWILI wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), Celina Kombani, utaagwa leo katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa kwenda nyumbani kwake mkoani Morogoro kwa ajili ya maziko yatakayofanyika kesho shambani kwake.

 

10 years ago

Habarileo

John Nyerere kuagwa leo

MAMIA ya wakazi wa Dar es Salaam leo wanatarajia kutoa heshima za mwisho kwa John Nyerere (58), ambaye ni mmoja wa watoto wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.

 

11 years ago

Habarileo

Mwili wa RC Mara kuagwa leo

MWILI wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa unaagwa leo katika ibada itakayofanyika viwanja vya Nyerere Square, mjini Dodoma. Taarifa ya Kamati ya Uratibu ya Msiba ya Mkoa wa Dodoma, ilisema baada ya ibada hiyo wananchi watapata nafasi ya kumuaga.

 

11 years ago

Habarileo

DC Chang'a afariki dunia, kuagwa leo

MKUU wa Wilaya ya Kalambo, Moshi Chang’a amefariki dunia na mwili wake utaagwa leo jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya aliliambia gazeti hili jana kwamba Chang’a alifariki juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwili wa Dk Shija kuagwa leo Dar

Mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu Umoja wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) Dk William Shija unatarajiwa kuagwa leo katika viwanja vya Karimjee jijini hapa.

 

11 years ago

Habarileo

DC Chang’a afariki, mwili kuagwa leo

Marehemu Moshi Chang’aMKUU wa Wilaya ya Kalambo, Moshi Chang’a amefariki dunia na mwili wake utaagwa leo jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

GPL

CELINA KOMBANI KUAGWA LEO DAR

Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Mbunge wa Ulanga Mashariki (CCM), Bi. Celina Kombani. Mwili wa Marehemu Kombani ulivyoshushwa Uwanja wa Ndege wa Mwl. Nyerere kutoka India, juzi. Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Mbunge wa Ulanga Mashariki (CCM), Bi. Celina Kombani utaagwa rasmi leo Jumatatu, kuanzia majira ya saa nne asubuhi katika Viwanja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani