Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


John Nyerere kuagwa leo

MAMIA ya wakazi wa Dar es Salaam leo wanatarajia kutoa heshima za mwisho kwa John Nyerere (58), ambaye ni mmoja wa watoto wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

marehemu Kapt.John Komba kuagwa leo katika viwanja vya karimjee ,Dar kuzikwa kwao kesho Nyasa

http://www.google.co.tz/imgres?imgurl=http://4.bp.blogspot.com/-TXxYlldF76U/UYzCQwXjabI/AAAAAAAAACo/I99o7Tt2ccU/s1600/KOMBA.jpg&imgrefurl=http://kwelinahaki.blogspot.com/2013_05_01_archive.html&h=1200&w=1600&tbnid=66ArF3GxkVAhVM:&zoom=1&docid=07QytNiYiUSx3M&itg=1&hl=en-US&ei=iRz0VKTqNYrlaLSNggg&tbm=isch&ved=0CCAQMygFMAU Mwili Wa Kapr.John Komba utaagwa katika viwanja vya Karimjee jijini Dar Leo tar.2 March baada ya hapo utasafirishwa hadi mjini Songea ambapo wanachi wa mji watapata fursa ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete aifariji familia ya Nyerere kufuatia kifo cha John Nyerere


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo leo asubuhi nyumbani kwa Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha mwanaye John Nyerere kilichotokea hivi karibuni.Aliyesimama pembeni ya Rais ni mdogo wa marehemu Makongoro Nyerere.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji familia ya marehemu John Nyerere nyumbani kwao Msasani jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Mjane wa Baba wa Taifa,...

 

11 years ago

GPL

PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUTANGAZWA WATAKATIFU LEO

Waumini wakisubiri kuingia St Peter's Square jijini Vatican tayari kwa tukio la kutangazwa watakatifu Papa John Paul II na John XXIII baadaye hii leo. Papa John Paul II na John XXIII wanatarajiwa kutangazwa watakatifu leo katika tukio litakaloongozwa na mkuu wa sasa wa kanisa Katoliki duniani, Papa Francis huko St Peter's Square  jijini Vatican.  Watu takribani milioni moja wanataraji kuhudhuria tukio hilo la kihistoria. ...

 

9 years ago

Habarileo

Kombani kuagwa Karimjee leo

MWILI wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), Celina Kombani, utaagwa leo katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa kwenda nyumbani kwake mkoani Morogoro kwa ajili ya maziko yatakayofanyika kesho shambani kwake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwili wa Saria kuagwa leo

MWILI wa aliyekuwa mwanariadha, kocha na kiongozi wa zamani wa Riadha Tanzania (RT), Ernest Saria aliyefariki usiku wa kuamkia Jumanne, unatarajiwa kuagwa leo saa 3 asubuhi katika kituo cha Polisi,...

 

11 years ago

Habarileo

Bosi wa Ewura kuagwa leo

ALIYEKUWA Meneja Biashara ya Mafuta wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza aliyefariki dunia juzi, anatarajiwa kuagwa leo nyumbani kwake Yombo Vituka, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Mwili wa RC Mara kuagwa leo

MWILI wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa unaagwa leo katika ibada itakayofanyika viwanja vya Nyerere Square, mjini Dodoma. Taarifa ya Kamati ya Uratibu ya Msiba ya Mkoa wa Dodoma, ilisema baada ya ibada hiyo wananchi watapata nafasi ya kumuaga.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanamuzi Gurumo kuagwa leo

Wanamuziki nyota waliowahi kutamba na bendi ya DDC Mlimani Park “Sikinde Ngoma ya Ukae” leo watafanya ‘vitu vyao’ kwenye tamasha la Gurumo lililopangwa kufanyika kwenye Viwanja vya TCC Club Chang’ombe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani