CELINA KOMBANI KUAGWA LEO DAR
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kombani1.jpg?width=650)
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Mbunge wa Ulanga Mashariki (CCM), Bi. Celina Kombani. Mwili wa Marehemu Kombani ulivyoshushwa Uwanja wa Ndege wa Mwl. Nyerere kutoka India, juzi. Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Mbunge wa Ulanga Mashariki (CCM), Bi. Celina Kombani utaagwa rasmi leo Jumatatu, kuanzia majira ya saa nne asubuhi katika Viwanja...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-j0j5NJnJh-E/VgalfxLeEeI/AAAAAAAH7TQ/SAL8tmtafv4/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
MWILI WA MAREHEMU CELINA O. KOMBANI WAWASILI DAR ES SALAAM LEO JIONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-j0j5NJnJh-E/VgalfxLeEeI/AAAAAAAH7TQ/SAL8tmtafv4/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1YSTjE2uYY4/VgaccYu7yzI/AAAAAAAH7S4/g_PshX6dQzU/s640/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Mwili wa Kombani kuagwa Dar leo
9 years ago
Habarileo28 Sep
Kombani kuagwa Karimjee leo
MWILI wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), Celina Kombani, utaagwa leo katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa kwenda nyumbani kwake mkoani Morogoro kwa ajili ya maziko yatakayofanyika kesho shambani kwake.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UOz7nUMNgdQ/VgQ73p3EvUI/AAAAAAAH7CA/ypIW3QmnEAs/s72-c/download%2B%25281%2529.jpg)
STOP PRESS: WAZIRI CELINA KOMBANI AFARIKI DUNIA NCHINI INDIA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-UOz7nUMNgdQ/VgQ73p3EvUI/AAAAAAAH7CA/ypIW3QmnEAs/s1600/download%2B%25281%2529.jpg)
Taarifa kutoka ofisi za Bunge zimethibitisha kifo hicho na kueleza kwamba mwili wa marehemu unategemewa kuwasili Dar es salaam siku ya Jumatatu, ambapo Bunge na Serikali zitasimamia maandalizi yote ya maziko na kumsafirisha kwa mazishi nyumbani kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hITYstu3ZZs/VgaawQi8RFI/AAAAAAAH7So/eSZ6EpsD07E/s72-c/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
MWILI WA MAREHEMU CELINA O. KOMBANI WAWASILI DAR ES SALAAM MUDA HUU, WATUMISHI WA OFISI YAKE WAMLILIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hITYstu3ZZs/VgaawQi8RFI/AAAAAAAH7So/eSZ6EpsD07E/s320/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAB Mkwizu na watumishi wote wa Ofisi ya Rais-Utumishi wataendelea kukukumbuka daima kwa busara zako na uongozi wako mzuri.-------------------------------------------------------------------Wakati huo huo mwili wa Marehemu Celina O. Kombani umewasili muda huu katika uwanja wa ndege wa kimatifa wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-01-Up8IqjEI/VgkYn-O2kHI/AAAAAAAD_BI/1e4lLIenKUY/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AONGOZA WANANCHI KUAGA MWILI WA MAREHEMU CELINA KOMBANI, DAR, KUZIKWA KESHO MOROGORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-01-Up8IqjEI/VgkYn-O2kHI/AAAAAAAD_BI/1e4lLIenKUY/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-m_Tn3pSJJtU/VgkYn7E9YiI/AAAAAAAD_BQ/6xUUXwekPEw/s640/03.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Waziri Celina Kombani afariki dunia nchini India leo, mwili wake watarajiwa kuwasili nchini JUMATATU
Majonzi makubwa lufuatia taarifa za msiba jioni ya leo Septemba 24.2015, Aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Ompeshi Kombani (56), amefariki dunia leo huko India alikokuwa akipata matibabu ya saratani.
Tayari mamlaka husika ikiwemo Serikali na Bunge kupitia ofisi za Bunge zimethibitisha kifo hicho na kubainisha kuwa, mwili wa marehemu unategemewa kuwasili Tanzania, siku ya Jumatatu, na shughuli zote Bunge na Serikali zitasimamia...
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DK. BILAL AONGOZA MAZISHI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA TUMISHI WA UMMA MAREHEMU CELINA KOMBANI LEO
9 years ago
Mtanzania25 Sep
Waziri Celina Kombani afariki dunia
NA KULWA KAREDIA
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), Celina Kombani amefariki dunia.
Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashilila aliliambia MTANZANIA jana usiku kuwa Waziri Kombani alifikwa na mauti katika Hospitali ya Apollo nchini India ambako alikuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu karibu wiki mbili.
“Ni kweli Waziri Kombani amefariki dunia leo jioni (jana), kwa saa za kwetu..alikuwa India kwa matibabu karibu wiki mbili hivi.
“Mimi kama kiongozi wa Bunge naweza...