Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kitale afiwa na baba yake, atazikwa leo Kilosa, Morogoro

Msanii wa vichekesho, Kitale jana amefiwa na baba yake mzazi na mazishi yatafanyika leo Kilosa mkoani Morogoro. Kitale Mussa Akizungumza na Bongo5 leo, Kitale amesema kuwa baba yake amepatwa na umauti jana baada ya kuugua kwa muda mrefu. “Tunashuru Mungu leo saa 7 mchana tunazika pale Kilosa, baba alikuwa anaumwa kwa muda mrefu,” alisema Kitale.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo Movies

MSIBA: Johari afiwa na baba yake. Tazama picha za mazishi yalivyokuwa leo.

R.IP baba yetu kipenzi CLEMENT KIENZE CHAGULA tulikupenda sana ila mungu amekupenda zaidi .daima tutakukumbuka milele pumzika kwa amani. Amini.

 

11 years ago

GPL

MTITU AFIWA NA BABA YAKE

STAA wa filamu za kibongo William Mtitu amepata pigo baada ya kufiwa na baba yake mzazi, Mzee John Mtitu aliyekuwa amelazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kutokana na kusumbuliwa na uvimbe kichwani Akizungumza kwa masikitiko nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam, Mtitu alisema amesikitishwa na kifo cha baba yake lakini hana jinsi kwani Mungu amempenda zaidi na hiyo ni njia ya kila mmoja. Staa wa filamu za kibongo, William...

 

11 years ago

GPL

JOHARI AFIWA NA BABA YAKE MDOGO

Msanii Blandina Chagula 'Johari' baada ya kuweka shada la maua kwenye kaburi la baba yake mdogo Mzee Clement Chagula. Baadhi ya mastaa wa Bongo Muvi walioshiriki mazishi…

 

9 years ago

Bongo5

Rapper Songa afiwa na baba yake

Rapper Songa amefiwa na baba yake mzazi. Songa ametoa taarifa hiyo ya msiba kupitia Twitter. Nimepata taarifa za kusikitisha sana Leo mchana.Baba yangu mzazi amefariki,Naomba Mungu amlaze pema,shukrani wote mnaondelea kunipa pole. — SONGA (@NiiteSonga) October 26, 2015 Tunampa pole Songa kwa msiba huo. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na […]

 

10 years ago

GPL

BAB TALE AFIWA NA BABA YAKE MZAZI

Hamisi Shaban ‘Bab Tale’. MENEJA wa Kundi la Tip Top Connection na Diamond Platnumz, Hamisi Shaban ‘Bab Tale’, amefiwa na baba yake mzazi leo. Msiba huo umetokea ikiwa ni mwezi mmoja umepita tangu Bab Tale afiwe na mdogo wake ambaye alikuwa mwanzilishi na meneja wa Kundi la Tip Top Connection, Abdul Shaban Taletale.

 

10 years ago

Mtanzania

Babu Tale afiwa na baba yake mzazi

babu taleBABA mzazi wa Babu Tale ambaye ni meneja wa Abdul Nassib ‘Diamond’, amefariki dunia mchana wa jana Manzese jijini Dar es Salaam.
Kifo hicho kimetokea ikiwa ni miezi kadhaa tu tangu kaka wa Babu Tale, Abdu Bonge kufariki dunia.
Msanii wa kundi hilo, Madee alithibitisha kutokea kwa kifo hicho huku akieleza kwamba msiba utakuwa nyumbani kwao Manzese ambako palifanyika msiba wa Abdu Bonge.
“Ni kweli baba wa Abdu Bonge amefariki leo (jana) na msiba upo Manzese jijini Dar es Salaam ila chanzo cha...

 

5 years ago

CCM Blog

KOCHA WA ASTON VILLA AFIWA NA BABA YAKE


ByRama Mwelondo TZAonMay 28, 2020
Baba wa kocha wa Aston Villa Dean Smith ambaye baba yake anafahamika kwa jina la Ron Smith afariki dunia akiwa na umri wa miaka 79, Ron afariki kwa kuugua Corona toka agundulike wiki nne zilizopita na kuwa hospitali kwa uangalizi.Ron Smith kwa miaka sita iliyopita hakuwa sawa alikuwa akisumbuliwa na tatizo la kupoteza kumbukumbu (dementia), katika historia ya mzee Ron aliwahi kuwa steward wa Aston Villa.

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Amos Makalla afiwa na Baba yake mzazi

Marehemu Gabriel Makalla.

Naibu Waziri wa Maji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla anasikitika kutangaza kifo cha babake mzazi, Gabriel Makalla kilichotokea usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam.

Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa waziri Palm Residence Ocean Road namba 18E Dar es Salaam, Mwili utaagwa Jumapili katika Kanisa la Azania Front saa 6 mchana.

Baada ya hapo mwili utasafirishwa kwenda Mvomero kwa mazishi yatakayofanyika Jumatatu saa 7 mchana.

Mungu...

 

9 years ago

Bongo5

Tanzia: Bou Nako afiwa na baba yake mzazi

11939309_893375544110757_1924339186_n

Rapa wa kundi la Nako 2 Nako, Bou Nako amefiwa na baba yake mzazi aliyekuwa akisumbuliwa na homa ya mapafu.

11939309_893375544110757_1924339186_n

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Bou Nako alisema mazishi yatafanyika kesho nyumbani kwao Bukoba.

“Nipo katika wakati mgumu lakini namuomba Mungu anipe wepesi. Kusema ukweli baba aliumwa sana kama miezi mitatu hivi na nadhani ni mapafu yalikuwa yanamsumbua,” amesema.

“Sasa hivi hapa Dar es Salaam tupo katika maandalizi ya kwenda Bukoba kwaajili ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani