Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto wa Monalisa Alishangaa Siku ya Msiba wa Baba Yake

Sonia Tyson  George mtoto wa aliekuwa  muongozaji mkubwa wa fialamu hapa , Marehemu  George Tyson   amesema kuwa  siku ya msiba wa baba yake alishangaa sana kuona  watu wengi nyumbani kwao na kuamini kuwa  baba yake  ni mtu maarufu katika jamii.

Ikiwa ni mwaka mmoja sasa umepita tangu baba yake afariki dunia,  Sonia akiongea kwenye kipindi  cha filamunata  alisema kuwa mbali  na  baba yake ni kitendo  ambacho hatokisahu  katika maisha yake  lakini anajikaza  na kujipa moyo kwa sababu ni...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Dully Sykes alia na wasanii waliomtenga kwenye msiba wa baba yake

Wanasema rafiki wa dhati utamjua wakati wa dhiki na tayari Dully Sykes amechuja marafiki wa kweli na feki. Dully ambaye wiki hii alimzika baba yake, Mzee Ebby Sykes amesema hatopenda kuendelea kuwatupia lawama wasanii waliomtenga kwenye msiba huo na kwamba hilo anamuachia Mungu. “Hili suala nilishaambiwa nisizungumze tena kuhusiana na msanii ambaye hajafika, kwahiyo namwachia […]

 

11 years ago

Bongo Movies

MSIBA: Johari afiwa na baba yake. Tazama picha za mazishi yalivyokuwa leo.

R.IP baba yetu kipenzi CLEMENT KIENZE CHAGULA tulikupenda sana ila mungu amekupenda zaidi .daima tutakukumbuka milele pumzika kwa amani. Amini.

 

10 years ago

Bongo5

Diamond atoa sababu za kushindwa kuhudhuria msiba wa baba yake Dully, Ebby Sykes

Diamond Platnumz ni miongoni mwa marafiki wa karibu wa msanii Dully Sykes ambaye weekend iliyopita alimpoteza baba yake mzazi Ebby Sykes, lakini hakuweza kuhudhuria msiba huo kutokana na sababu ambazo amezitoa leo. Diamond ambaye wakati msiba huo unatokea alikuwa Zanzibar na mpenzi wake Zari, ameelezea sababu zilizomfanya kushindwa kuhudhuria mazishi. “Watu waliniona niko zanzibar lakini […]

 

11 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AHANI MSIBA WA BABA YAKE ROSTAM AZIZI JIJINI DAR LEO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Rostam Azizi, wakati alipofika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo Mei 31, 2014 kwa ajili ya kumpa pole kwa kufiwa na Baba yake mzazi aliyefariki katikati ya wiki hii.     - Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na waombolezaji waliofika  nyumbani kwa Rostam Azizi, Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo Mei 31, 2014 kwa ajili ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal alipohani msiba wa Baba yake Rostam Azizi Jijini Dar

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Rostam Azizi, wakati alipofika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, jana Mei 31, 2014 kwa ajili ya kumpa pole kwa kufiwa na Baba yake mzazi aliyefariki katikati ya wiki hii. (Picha na OMR).

2

heikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa, akitoa mawaidha wakati wa dua maalum iliyofanyika nyumbani kwa Rostam Azizi Oysterbay kumuombea Baba mzazi wa Rostam, aliyefariki katikati ya wiki...

 

9 years ago

Habarileo

Mtoto wa Kingunge amgeuka baba yake

MTOTO wa mwanasiasa mkongwe nchini Kingunge Ngombale Mwiru, Kunje amempinga baba yake na kusema kwamba hawezi kuleta mabadiliko yoyote kwa kushirikiana na Ukawa kama ambavyo wamekuwa wakijinadi.

 

11 years ago

GPL

H.BABA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

H.Baba na mke wake, Florah Mvungi wakilishana keki. Florah Mvungi akiwa na mtoto wake Tanzanite. H.Baba akimlisha keki mama yake. Mke wake H.Baba, Florah Mvungi  akiwa…

 

9 years ago

StarTV

Mtoto wa Kingunge alimshauri baba yake apumzike siasa

Aliyekuwa Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM ambaye amehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kingunge Ngombali Mwiru ameshauriwa na mwanaye Kinje kupumzika kwenye masuala ya siasa za majukwaa ili kuendelea kujitunzia heshima kama miaka ya nyuma.

Kinje amebainisha kuwa nchi hii inamuhitaji baba yake katika mambo ya msingi hususani kutunza na kuendeleza amani ambayo inapaswa kuenziwa kwa sasa tofauti na anavyofanya kada huyo aliyedai kujihusisha na siasa ambazo ameziita za...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto wa miaka 13 anusurika kuchinjwa na baba yake mzazi

Mwanafunzi wa darasa la tatu Shule ya Msingi Majengo, wilayani Kahama, mkoani Shinyanga amelazwa katika Hospitali ya wilaya baada ya kunusurika kifo kutokana na jaribio la kuchinjwa na baba yake mzazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani