Msaada tutani: mtoto aibwa changanyikeni leo, ataemuona atoe taarifa polisi
![](http://1.bp.blogspot.com/-H-XNPC5MG54/U8Wtw9JadAI/AAAAAAAF2m4/ly5JCmqtpgc/s72-c/3020c88a036f4389c1a0a3f7a5299c05.jpg)
MTOTO KAIBIWA CHANGANYIKENI LEO ANAITWA MARLYN.
ATAKAEMUONA NNAOMBA ATUSAIDIE KUTOA TAARIFA KITUO CHOCHOTE CHA POLICE. AMEIBIWA NA MKAKA KANYOA PANK.
Please upatapo ujumbe huu mfowardie na mwenzako
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMSAADA TUTANI ILI KUOKOA UHAI WA MTOTO HUYU
Mama mzazi wa Mtoto Bi. Zainabu Mustafa Rajab,alisema kuwa Binti yake huyo alizaliwa April 24 mwaka huu katika hospitali ya Serikali ya Wilaya ya Tunduru,na kwambatatizo hilo la kuanza kukua kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WaTcdElurT4/VcTTODG0TAI/AAAAAAAHvNQ/4fGCnEci3Ko/s72-c/Untitled.png)
MSAADA TUTANI: MTOTO NAELIJWA LUTHER KIMBWEREZA AMEPOTEA NA ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-WaTcdElurT4/VcTTODG0TAI/AAAAAAAHvNQ/4fGCnEci3Ko/s640/Untitled.png)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WOvPWsGCThQ/VgQSlrmJAiI/AAAAAAAAt48/g6B9oIUi0kk/s72-c/20150924075835.jpg)
MSAADA TUTANI: DADA WA NYUMBANI ATOWEKA NA MTOTO LOVENESS COLETHA JULLLU, FAMILIA YAMSAKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-WOvPWsGCThQ/VgQSlrmJAiI/AAAAAAAAt48/g6B9oIUi0kk/s640/20150924075835.jpg)
Familia ya Jullu ya Wazo Hill kwa Msabaha jijini Dar es Salaam inaomba msaada kutoka kwa raia wema ili kufanikisha kumpata mtoto wao Loveness Coletha Jullu aliyepotea nyumbani na msichana aliyekuwa akimlea na kusaidia shughuli za nyumbani.Wawili hao hawajaonekana tangu juzi Jumanne. Taarifa zimefikishwa katika kituo cha polisi na RPC wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni amekiri kupata taarifa za tukio hilo.Ikiwa una taarifa zozote zitakazosaidia...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*67Uoec4vv2EHt7ZZZPpwuVa-zAWFdHX7aUXTEye5t*t8EA9-UixXdO3lpZoWywsz*fmIdgrv0a71lrBT4Sp*BIEPxnS*THv/Punda.jpg?width=650)
MTOTO AIBWA NA PUNDA, USHIRIKINA WATAJWA
Na Mwandishi Wetu, Shinyanga Tukio ambalo si la kawaida limetokea Kahama mkoani Shinyanga ambapo mtoto wa miezi mitano aliibwa na punda na kuzua tafrani kubwa.Purukushani hiyo ilitokana na punda huyo kumng’ata na kuanza kukimbia naye mtoto katika Soko la Lumambo wilayani Kahama. Majeraha aliyoyapata mtoto huyo baada ya kujeruhiwa na Punda. Akizungumza na mwandishi wetu katika wodi ya watoto Hospitali ya Wilaya ya Kahama,...
10 years ago
Michuzi23 May
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3A8rUyA9jKPU1d1v-n6*LI0dIebYPEJ99ovnEIQhXm-KC4Jc4J6uKGwKmL-*kRMIRCKwvIuDs2Djn5SRTfeyeNOYicz-a23J/IMG20140716WA0000001.jpg?width=650)
MTOTO ALIYEPOTEA CHANGANYIKENI YADAIWA ALICHUKULIWA NA BABA YAKE
Mtoto Marlyn. Mtoto Marlyn wa Changanyikieni jijini Dar es Salaam aliyedaiwa kupotea na kuzua sintofahamu miongoni mwa watu juzi na jana ina semekana amechukuliwa na baba yake mzazi. (Chanzo: Global WhatsApp +255 753 715…
11 years ago
Michuzi15 May
MSAADA TUTANI
Habari za Asubuhi,Ankal
Nimepotelewa na wallet yangu yenye vitambulisho 1. Driving Licence yenye jina la Jubilant Malisa 2. Eco Bank card 3. Kitambulisho cha kazi jina Jubilant Malisa Kampuni Africare 4.AAR Insurance card yenye jina Jubilant Malisa
Kwenye wallet kuna business card yenye jina langu na contacts zangu na visenti 200K+ (sitaviulizia) Kaka unaeendesha gari ya NHC namba ni SU ,uliyetupatia lift jana kutokea goba mpaka Kibamba tukapitia barabara ya makabe kukwepa foleni naomba...
Nimepotelewa na wallet yangu yenye vitambulisho 1. Driving Licence yenye jina la Jubilant Malisa 2. Eco Bank card 3. Kitambulisho cha kazi jina Jubilant Malisa Kampuni Africare 4.AAR Insurance card yenye jina Jubilant Malisa
Kwenye wallet kuna business card yenye jina langu na contacts zangu na visenti 200K+ (sitaviulizia) Kaka unaeendesha gari ya NHC namba ni SU ,uliyetupatia lift jana kutokea goba mpaka Kibamba tukapitia barabara ya makabe kukwepa foleni naomba...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-w3CVSdwiyUI/VNhnaXaoBVI/AAAAAAAHCik/mzwCXPKFCjU/s72-c/DSCF3386.jpg)
MSAADA TUTANI WADAU
![](http://1.bp.blogspot.com/-w3CVSdwiyUI/VNhnaXaoBVI/AAAAAAAHCik/mzwCXPKFCjU/s1600/DSCF3386.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-j7lgQdj5EtE/VNhnaItiezI/AAAAAAAHCig/_lmr-JfTY1U/s1600/DSCF3389.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PNVLFE84EpY/VCFQ8lbyikI/AAAAAAAGlTE/ip0YD79z_1w/s72-c/b5f2800cb10c0f0ba3c993f26cf5e47b_373x101.gif)
msaada tutani: Please Vote for us mdau!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-PNVLFE84EpY/VCFQ8lbyikI/AAAAAAAGlTE/ip0YD79z_1w/s1600/b5f2800cb10c0f0ba3c993f26cf5e47b_373x101.gif)
Conservation Interaction has reached the finals of a competition. This is run by the Climate Co-Lab, which is part of MIT University in Boston. I would appreciate your vote on our proposal 'A Collaborative Solutions Communication Platform' which aims to solve climate change problems for coastal communities in Tanzania using our radio programmes and supportive text messages. It only takes a minute to go to...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania