Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSAADA TUTANI: MTANZANIA DAUDI SALUM BOMA ATESEKA KWA MARADHI MAREKANI, AOMBA MSAADA


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KUNA MTANZANIA MWENZETU ANAHITAJI MSAADA MINNESOTA NCHINI MAREKANI

Mchungaji Anastasia (phD) aliugua akiwa Usariver Arusha kwa muda wa wiki kadhaa kabla ya kulazwa Hospitalini Seliani pale

Arusha mjini I C U kwa wiki kama tatu hivi hatimaye alihamishwa Nairobi Hospital Kenya kwa Helicoptor tarehe 29 September

2014 na kufariki tarehe 19 October, 2014. na siku hiyo hiyo ya tarehe 19 October 2014 Apt ya Sebastian at 610S 8th st Apt 310,

Minneapolis, Mn 55404 iliteketea moto na binti yake aitwaye Joyce S Malle aliungua vibaya na kulazwa Hospitalini kule...

 

10 years ago

Michuzi

MSAADA TUTANI; KUPOTELEWA KWA NYARAKA MUHIMU

Jina: Deo  Mbasa Vitu vilivyopotea ni begi lililokuwa na;1. Laptop aina ya Accer2. Simu kubwa ya Kirusi aina ya Oysters3. Vyeti vya masomo     a) Cheti cha form four - NECTA     b) Cheti cha form six - NECTA     c) Cheti cha Chuo (Digrii ya Kwanza ya Elimu Jamii na Ualimu) -UDSM4. Vitambulisho mbalimbali ikiwemo kitambulisho cha Taifa.Vyeti na nyaraka zote zinasomeka kwa jina la Deo Mbasa Daudi.Mahali vilipopotelea ni maeneo ya Ofisi ya Posta Kijitonyama, jirani na TBC.Taarifa imetolewa...

 

10 years ago

Michuzi

msaada tutani: mdau hana raha kwa kukosa chkula ya usiku....

Kaka Issa Michuzi,
Pole na mihangaiko yako ya kila siku. Kwa kweli kwa upande wangu mambo si mazuri. nasumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu zetu kwa hiyo ni karaha saana. Sina raha kwa kukosa chakula ya usiku.Nimeona kwenye blog yako hili tangazo hapa kwenye hii linki:
http://issamichuzi.blogspot.com/2011/03/msaada-kwenye-tutazz.html
Ningependa kupata mrejesho toka kwa huyu ndugu lakini naona hajibu tena meseji. Basi nakuomba uliweke hili tangazo kwenye blog yako ili mwenye suluhu aweze...

 

11 years ago

Michuzi

MSAADA TUTANI

 Habari za Asubuhi,Ankal
Nimepotelewa na wallet yangu yenye vitambulisho 1. Driving Licence yenye jina la Jubilant Malisa 2. Eco Bank card  3. Kitambulisho cha kazi jina Jubilant Malisa Kampuni Africare 4.AAR Insurance card yenye jina Jubilant Malisa
Kwenye wallet kuna business card yenye jina langu na contacts zangu na visenti 200K+ (sitaviulizia) Kaka unaeendesha gari ya NHC namba ni SU ,uliyetupatia lift jana kutokea goba mpaka Kibamba tukapitia barabara ya makabe kukwepa foleni naomba...

 

11 years ago

Mwananchi

Adumaa kwa miaka 18, aomba msaada wa kutibiwa

Wazazi wa binti mwenye ulemavu wa viungo na akili, Farida Abdalah (18) mkazi wa Lukobe Juu wameiomba Serikali, wasamaria wema na wadau mbalimbali kumsaidia binti yao huyo ambaye kwa sasa amelazwa katika hospitali ya rufaa na anaendelea kufanyiwa uchunguzi wa afya yake.

 

10 years ago

Michuzi

MSAADA TUTANI WADAU

Leo katika pitapita zangu nikitokea Barabara ya Msimbazi kuelekea Mjini,kushoto kuna kibao kinachozuia magari yanayotoka barabara hiyo kwenda mjini na hapo hapo kuna mchoro mwingine unaoonyesha kuwa anataka kuelekea mjini basi aende mbele na azunguke kama inavyoonekana hapo pichani.lakini kinachonimiksi mie ni namna gani naenda kuipiga hiyo kyuutani????

 

10 years ago

Michuzi

msaada tutani: Please Vote for us mdau!!

Hello WADAU!

Conservation Interaction has reached the finals of a competition. This is run by the Climate Co-Lab, which is part of MIT University in Boston. I would appreciate your vote on our proposal 'A Collaborative Solutions Communication Platform' which aims to solve climate change problems for coastal communities in Tanzania using our radio programmes and supportive text messages. It only takes a minute to go to...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA ALIYETELEKEZWA NA MUMEWE AOMBA MSAADA KWA WASAMALIA WEMA

WANAWAKE wengi duniani bado wananyanyaswa kijinsia kwa sababu za kijamii, kiuchumi na kipato licha ya kuwepo kwa elimu kuhusu haki zao.

Mwanamama Ester Charles ambaye ni mkazi wa Mwambani wilayani Ilemela ametelekezwa na mumewe aliyetajwa kwa jina la Albinus na kubakizwa na watoto wawili wadogo wanaohitaji uangalizi na usimamizi. Pichani mwanamama Ester akiwa na mtoto wake mdogo anayetaabika na ugonjwa wa kupooza. 


KWA UFUPI
Mumewake alipopata mwanamke mwingine alihama nyumba aliyokuwa akiishi...

 

10 years ago

Michuzi

msaada tutani: Mdau APOTELEWA VITAMBULISHO

Uncle Michuzi habari za majukumu.Naitwa MATHIAS NGUTU. Leo tarehe 1/10/2014   nimepoteza wallet yangu maeneo ya kituo cha daladala cha Makumbusho Dar es salaam wakati wa asubuhi. Ilikiwa na ATM Card yangu ya Benki ya NMB, Kitambulisho cha Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi ya Morogoro na Kitambulisho cha Bima ya Afya.                            Tafadhali naomba  kuwa aliyeokota namuomba awasiliane nami kupitia namba 0789929777 au ngutumathias@yahoo.comNimetoa ripoti kituo cha Polisi Mabatini.
MDAU...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani