Adumaa kwa miaka 18, aomba msaada wa kutibiwa
Wazazi wa binti mwenye ulemavu wa viungo na akili, Farida Abdalah (18) mkazi wa Lukobe Juu wameiomba Serikali, wasamaria wema na wadau mbalimbali kumsaidia binti yao huyo ambaye kwa sasa amelazwa katika hospitali ya rufaa na anaendelea kufanyiwa uchunguzi wa afya yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZBoT6nGaNI/Xqrg-WDMygI/AAAAAAALork/JBXAElBechM02WkQp8uGyjVR__wA9qs9gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200429_103939.jpg)
MTOTO WA MIAKA TISA AOMBA MSAADA KWA WASAMARIA WEMA AKAPATE MATIBABU YA MOYO MUHIMBILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZBoT6nGaNI/Xqrg-WDMygI/AAAAAAALork/JBXAElBechM02WkQp8uGyjVR__wA9qs9gCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200429_103939.jpg)
10 years ago
Michuzi23 May
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-10JxlHGicaQ/VRveT2Z4Y7I/AAAAAAAHOw4/sZmHrocx1C0/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
MAMA AJIFUNGUA MAPACHA WANNE KWA MKUPUO MKOANI KIGOMA, AOMBA MSAADA KWA WATANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-10JxlHGicaQ/VRveT2Z4Y7I/AAAAAAAHOw4/sZmHrocx1C0/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
MKAZI wa Kijiji cha Buzebazeba katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, Zuwena Abdu (29) jana amejifungua watoto mapacha wanne kwa mkupuo katika Hospital ya Mkoa wa Kigoma (Maweni).
Zuwena alisema kuwa watoto aliojifungua wenye jinsia ya kiume ni watatu na mmoja ambaye ni wa mwisho ana jinsia ya kike ,wa kwanza akiwa na uzito wa kilo 1.8,pili 2.5 wa tatu 1.7 na wanne 1.7.
Alisema watoto hao alijifungua jana majira ya saa kumi na mbili jioni salama kwa njia...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HiRsnuqmCw0/VHoOQt5tuvI/AAAAAAABH_k/qjC57EOvbOQ/s72-c/0.1Atelekezwa%2Bna%2Bmumewe%2Banaomba%2Bmsaada%2Bkwa%2Bwasamalia%2Bwema..jpg)
MAMA ALIYETELEKEZWA NA MUMEWE AOMBA MSAADA KWA WASAMALIA WEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-HiRsnuqmCw0/VHoOQt5tuvI/AAAAAAABH_k/qjC57EOvbOQ/s1600/0.1Atelekezwa%2Bna%2Bmumewe%2Banaomba%2Bmsaada%2Bkwa%2Bwasamalia%2Bwema..jpg)
Mwanamama Ester Charles ambaye ni mkazi wa Mwambani wilayani Ilemela ametelekezwa na mumewe aliyetajwa kwa jina la Albinus na kubakizwa na watoto wawili wadogo wanaohitaji uangalizi na usimamizi. Pichani mwanamama Ester akiwa na mtoto wake mdogo anayetaabika na ugonjwa wa kupooza.
KWA UFUPI
Mumewake alipopata mwanamke mwingine alihama nyumba aliyokuwa akiishi...
11 years ago
GPLALIYEJIFUNGUA MAPACHA WANNE KWA MKUPUO AENDELEA VIZURI AOMBA MSAADA
10 years ago
Vijimambo10 Feb
MBONGO AUAWA KWA SUMU UJERUMANI, MZAZI AOMBA MSAADA WA NAULI KWENDA KUMZIKA MWANAE
![](http://api.ning.com/files/nLML9an*avrXzm08GwqemSc1ug8c3HY-q*f8IOg4u6Gc879AcM8dwY2i2hmcgLsTEMdM9wWe9aDAyeXUbSnLlZcK5uKvjkoe/1048004_554434027953116_1424099829_o.jpg?width=650)
Marehemu Robert John Mpwata (34) enzi za uhai wake.
Na Makongoro Oging’, Issa Mnally/Uwazi
MTU mmoja anayeaminika kuwa ni Mtanzania, Robert John Mpwata (34) anadaiwa kuuawa kwa kuwekewa sumu na mwili wake kukutwa chumbani kwake katika Mji wa Shorten nchini Ujerumani siku chache zilizopita.
Habari kutoka kwa baadhi ya marafiki zake waliopo huko, zinasema Robert aliyekuwa mwanamichezo aliyecheza sarakasi, karate na judo, aliwasiliana nao kwa njia ya simu mara kwa mara na walipata taarifa za kifo...
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
TANGAZO: Milioni 30 zinahitajika kuokoa maisha ya Mtoto Careen kupata msaada wa kutibiwa India
![](http://1.bp.blogspot.com/-CLSjlE6R4zk/VjYQmWjGcLI/AAAAAAAID2o/n_pkPSf_Oxw/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba zimebana kiasi hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India kwa matibabu.
Wazazi wa mtoto huyo wanaomba msaada wako wewe Mtanzania kwa atakayeguswa ili wafanikishe gharama za matibabu ya mtoto Careen ambayo ni Shilingi Milioni 30 zinahitajika ili kuokoa maisha yake.
Ewe Mtanzania, ewe mzazi tunaomba mchango wako wa hali na mali, kwa atakayeguswa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Aomba msaada wa matibabu
GERALD Mwambungu (35) mkazi wa Ubungo Chuo Kikuu jijini Dar es Salaam, anaomba msaada wa kwenda India kwa ajili ya matibabu ya mguu wake wa kulia. Akizungumza jana katika ofisi...