Aomba msaada wa matibabu
GERALD Mwambungu (35) mkazi wa Ubungo Chuo Kikuu jijini Dar es Salaam, anaomba msaada wa kwenda India kwa ajili ya matibabu ya mguu wake wa kulia. Akizungumza jana katika ofisi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Kisaka aomba msaada wa matibabu
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Ugonjwa wa moyo wamtesa Mary, aomba msaada wa matibabu
“WATANZANIA na wasio Watanzania ambao ni wasamalia wema naomba msaada wenu, ili niweze kupatiwa matibabu ya kufanyiwa upasuaji wa kuwekewa mrija wa plastiki katika moyo kutokana na madaktari kuniambia mrija...
5 years ago
MichuziMTOTO WA MIAKA TISA AOMBA MSAADA KWA WASAMARIA WEMA AKAPATE MATIBABU YA MOYO MUHIMBILI
NA YEREMIAS NGERANGERA…NAMTUMBOMtoto mwenye umri wa miaka tisa na mwanafunzi wa darasa la tatu katika shule ya msingi Likuyuseka wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma Jeska James Kifaru anaomba kutoka kwa wasamaria wema kumsaidia mchango wa fedha ili aweze kwenda matibabu ya moyo katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya wazazi wake kutokuwa na uwezo wa kumfikisha katika hospitali hiyo.Akiongea akiwa katika ofisi ya Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo Jeska alisema anaomba msaada kwa...
10 years ago
MichuziOMBI LA MSAADA WA HALI NA MALI ; KIJANA ABEL MACHANGA ANAHITAJI MSAADA WA MATIBABU
Familia inaomba msaada wa wasamaria wema ili kugharamia matibabu ya Abel kutokana kuwa gharama za matibabu ni kubwa kuliko uwezo wa familia.
Kwa yeyote atakayetakayeguswa na taarifa hii, anakaribishwa kumtembelea Abel Hospitalini ili kukutana naye na kusikia kilio chake Kwa mlio mbali,...
10 years ago
Michuzi23 May
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
Al-Sisi,aomba msaada dhidi ya IS
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Obama aomba msaada wa dharura
10 years ago
Habarileo09 Feb
Jaji aomba msaada ACHPR
RAIS wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (ACHPR), Jaji Augustino Ramadhani amemwomba Rais Joachim Gauck wa Ujerumani kutumia uwezo wake kuzishawishi nchi zingine za Afrika kuridhia mkataba wa Malabo, unaotaka mahakama hiyo kushughulikia pia mashauri ya kijinai na masuala mengine ya kisheria.
11 years ago
MichuziMsaada wa Matibabu kwa Mtoto Maimuna Yahaya (11)
Msaada wa Matibabu kwa mtoto Maimuna Yahaya Mtoto Maimuna Yahaya (11) anayesoma shule ya Msingi ya watoto wenye mahitaji maalum (wenye ulemavu) ya Irente Rainbow (Lushoto- Tanga) Darasa la pili, anasumbuliwa na tatizo la mifupa na ukubwa wa kichwa tangu kuzaliwa kwake, tatizo lililompelekea kuwa na ulemavu wa viungo na mtindio wa Ubongo. Mama wa mtoto huyo, Bi. Tunu...