Kisaka aomba msaada wa matibabu
Kocha wa makipa wa Simba, James Kisaka amewaomba Watanzania na wadau wote wa soka kumsaidia katika kutibu maradhi yanayomsumbua.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Aomba msaada wa matibabu
GERALD Mwambungu (35) mkazi wa Ubungo Chuo Kikuu jijini Dar es Salaam, anaomba msaada wa kwenda India kwa ajili ya matibabu ya mguu wake wa kulia. Akizungumza jana katika ofisi...
11 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Ugonjwa wa moyo wamtesa Mary, aomba msaada wa matibabu
“WATANZANIA na wasio Watanzania ambao ni wasamalia wema naomba msaada wenu, ili niweze kupatiwa matibabu ya kufanyiwa upasuaji wa kuwekewa mrija wa plastiki katika moyo kutokana na madaktari kuniambia mrija...
5 years ago
Michuzi
MTOTO WA MIAKA TISA AOMBA MSAADA KWA WASAMARIA WEMA AKAPATE MATIBABU YA MOYO MUHIMBILI

10 years ago
Michuzi
OMBI LA MSAADA WA HALI NA MALI ; KIJANA ABEL MACHANGA ANAHITAJI MSAADA WA MATIBABU

Familia inaomba msaada wa wasamaria wema ili kugharamia matibabu ya Abel kutokana kuwa gharama za matibabu ni kubwa kuliko uwezo wa familia.
Kwa yeyote atakayetakayeguswa na taarifa hii, anakaribishwa kumtembelea Abel Hospitalini ili kukutana naye na kusikia kilio chake Kwa mlio mbali,...
10 years ago
Michuzi23 May
10 years ago
Habarileo09 Feb
Jaji aomba msaada ACHPR
RAIS wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (ACHPR), Jaji Augustino Ramadhani amemwomba Rais Joachim Gauck wa Ujerumani kutumia uwezo wake kuzishawishi nchi zingine za Afrika kuridhia mkataba wa Malabo, unaotaka mahakama hiyo kushughulikia pia mashauri ya kijinai na masuala mengine ya kisheria.
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Obama aomba msaada wa dharura
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
Al-Sisi,aomba msaada dhidi ya IS
9 years ago
Michuzi
MSAADA WA MATIBABU UNAHIDAJIKA KWA DADA HUYU

Napenda kutumia fursa hii kukushirikisha habari ya kusikitisha kuhusu dada Joyce Mwambepo mkazi wa Sinde jijini Mbeya. Dada huyu mwenye umri wa 27 anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na mwanaye mwenye umri wa miaka 4.
Kwa bahati mbaya mwezi April mwaka jana dada huyu alipata ajali ya kugongwa na gari ambayo hata hivyo haikusimama kumsaidia. Ila kwa msaada wa wasamaria wema alipelekwa hospitali ya raufaa mkoani Mbeya ambako alikaa kwa miezi mitatu bila kupata...