Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al-Sisi,aomba msaada dhidi ya IS

Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi ameomba jumuiya ya kiarabu Pan-Arab kutoa majeshi ili kukabiliana na Islamic State.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Al Sisi ajutia kuhumu dhidi ya wandishi

Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi amesema kuwa anajutia uamuzi wa mahakama kuwafunga jela wandishi 3 wa Al Jazeera.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kuna njama dhidi ya Misri asema Al-Sisi

Rais wa Misri ahutubia taifa baada ya mauaji makubwa ya wanajeshi na anatuhumu kuwa nchi yake yapangiwa njama jutoka nje

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aomba msaada wa matibabu

GERALD Mwambungu (35) mkazi wa Ubungo Chuo Kikuu jijini Dar es Salaam, anaomba msaada wa kwenda India kwa ajili ya matibabu ya mguu wake wa kulia. Akizungumza jana katika ofisi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama aomba ushirikiano dhidi ya IS

Rais Obama ametaka mataifa kushirikiana katika vita dhidi ya makundi yanayoeneza itikadi kali za kIdini kama I-S

 

10 years ago

Habarileo

Jaji aomba msaada ACHPR

Rais wa ACHPR, Jaji Augustino Ramadhani RAIS wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (ACHPR), Jaji Augustino Ramadhani amemwomba Rais Joachim Gauck wa Ujerumani kutumia uwezo wake kuzishawishi nchi zingine za Afrika kuridhia mkataba wa Malabo, unaotaka mahakama hiyo kushughulikia pia mashauri ya kijinai na masuala mengine ya kisheria.

 

11 years ago

Mwananchi

Kisaka aomba msaada wa matibabu

Kocha wa makipa wa Simba, James Kisaka amewaomba Watanzania na wadau wote wa soka kumsaidia katika kutibu maradhi yanayomsumbua.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama aomba msaada wa dharura

Anahitaji dola bilioni 3.7 za dharura kusaidia kukabiliana na ongezeko la watoto waliohama peke yao kutoka Amerika ya kati

 

11 years ago

Tanzania Daima

Njavike aungua moto, aomba msaada

ADOLOTEA Njavike (1), ameungua moto hadi kukaribia kupata ulemavu. Juhudi zinahitajika ili kuokoa hali hiyo inayomkabili. Wazazi wa mtoto huyo hawana uwezo hivyo imewabidi waombe msaada utakaosaidia katika matibabu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani