Kesi ya upasuaji tata katika usuluhishi
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeamuru kesi ya upasuaji tata katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) Kitengo cha Upasuaji wa Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI), ipelekwe katika usuluhishi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Kesi ya Lundenga, Patel hatua ya usuluhishi
10 years ago
Bongo Movies08 Feb
Picha: Batuli na Joel wa Fresh120media Katika Mapozi Tata!!
Kila mtu anajua uzuri na raha ya picha, hizi ni za mwigizaji Batuli akiwa na Joel Joseph wa fresh120media siku ya sherehe yake ya kuzaliwa.
Watu wanasema picha huzungumza, lakini Batuli mwenyewe asema wao ni marifiki tuu, na sisi tunakubali, lakini wapo ambao wanaona kunachazaidi hapa....
Katika kuona picha hizi zina utataaa, kwenye moja ya picha hizi Batuli aliandika kwa kumuliza joel kiutani.
“Can I ask u something!? Joel do u have a girlfriend!? Maana nahisi kama utapigwa hivi.........
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
HUSNA MALIMA: Mtoto aliyepotea katika mazingira tata
“HUWA machozi yananitoka ,nashindwa kula wala sipati usingizi, mtoto wangu kipenzi Husna Malima ametoweka katika mazingira ya kutatanisha wakati akicheza na wenzake.” Hayo ni maneno ya baba mzazi wa Husna(2); ...
10 years ago
Michuzi27 Feb
UTEUZI KATIKA TUME YA UTUMISHI WA UMMA NA TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI (CMA)
Katika uteuzi huo, Rais amemteua Mhe. DKT. STEPHEN JAMES BWANA, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma na BWANA EDRISSA R. MAVURA, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), Bw. Mavura ni Naibu Katibu Mkuu Mstaafu.
Sambamba na uteuzi huu, Rais amewateua Makamishna katika...
10 years ago
Dewji Blog12 Feb
Mabadiliko katika upasuaji
Sekta ya afya duniani imeshuhudia mapinduzi yanayolenga kuongeza umri wa kuishi, ubora wa maisha, njia mbadala za uchunguzi, njia bora za matibabu, na pia ufanisi na ubora katika huduma za afya. Teknohama imekuwa na mchango mkubwa sana katika maendeleo ya ndani ya sekta hii muhimu. Makampuni yanayohusika na kutengeneza vifaa vya tiba hivi sasa yanalenga katika kutengeneza roboti ambazo hufanya upasuaji kwa ufanisi zaidi bila madhara makubwa kwa mgonjwa.
Kuna matumaini sana katika upasuaji...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Su1Jk5yreao/Vh6AXqcdUrI/AAAAAAAAICc/R9bgY8iAKyk/s72-c/Dr%2BUmanath%2BNayak.jpg)
MABADILIKO KATIKA UPASUAJI WA UVIMBE WA SARATANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Su1Jk5yreao/Vh6AXqcdUrI/AAAAAAAAICc/R9bgY8iAKyk/s1600/Dr%2BUmanath%2BNayak.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Sekta ya afya duniani imeshuhudia mapinduzi yanayolenga kuongeza umri wa kuishi, ubora wa maisha, njia mbadala za uchunguzi, njia bora za matibabu, na pia ufanisi na ubora katika huduma za afya. Teknohama imekuwa na mchango mkubwa sana katika maendeleo ya ndani ya sekta hii muhimu. Makampuni...
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Afya zetu; Mabadiliko katika upasuaji wa uvimbe wa saratani
![](http://2.bp.blogspot.com/-Su1Jk5yreao/Vh6AXqcdUrI/AAAAAAAAICc/R9bgY8iAKyk/s1600/Dr%2BUmanath%2BNayak.jpg)
Dk. Umanath Nayak, mshauri mkuu wa magonjwa ya saratani ya kichwa na shingo pamoja na upasuaji kwa njia ya roboti katika hospitali ya saratani ya Apollo Hyderabad nchini India.
Na Mwandishi Wetu,
Sekta ya afya duniani imeshuhudia mapinduzi yanayolenga kuongeza umri wa kuishi, ubora wa maisha, njia mbadala za uchunguzi, njia bora za matibabu, na pia ufanisi na ubora katika huduma za afya. Teknohama imekuwa na mchango mkubwa sana katika maendeleo ya ndani ya sekta hii muhimu. Makampuni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vWmlyQGdVlU/VEonH5v1btI/AAAAAAACtcs/nREPUbJRX00/s72-c/1.jpg)
MOI yajiimarisha katika utoaji huduma muhimu za Tiba na Upasuaji
![](http://3.bp.blogspot.com/-vWmlyQGdVlU/VEonH5v1btI/AAAAAAACtcs/nREPUbJRX00/s1600/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LQLUuv4nN68/VRMkNcxpyxI/AAAAAAAHNQM/WNt2Z29n3Fw/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
utiaji saini Mkataba wa uendelezaji wa Ujenzi wa Jengo la Upasuaji katika Hospitali ya Micheweni, pemba