Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Batuli na Joel wa Fresh120media Katika Mapozi Tata!!

Kila mtu anajua uzuri na raha ya picha, hizi ni za mwigizaji Batuli akiwa na Joel Joseph wa fresh120media  siku ya sherehe yake  ya kuzaliwa.

Watu wanasema picha huzungumza, lakini Batuli mwenyewe asema wao ni marifiki tuu, na sisi tunakubali, lakini wapo ambao wanaona kunachazaidi hapa....

Katika kuona picha hizi zina utataaa, kwenye moja ya picha hizi Batuli aliandika kwa kumuliza joel kiutani.

“Can I ask u something!? Joel do u have a girlfriend!? Maana nahisi kama utapigwa hivi.........

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha (screenshots) tata kwenye video ya Anaconda (18+)

Kama unataka kuangalia video ya wimbo wa Nicki Minaj ‘Anaconda’ hakikisha watoto wamelala na haupo mbele ya mtu unayemheshimu. Ni shida. Hizi ni picha zenye utata kutoka kwenye video hiyo.

 

10 years ago

GPL

AMBER ROSE ATUPIA PICHA ZAKE TATA NYINGINE MTANDAONI

Amber Rose akipozi kwa picha. Amber akijiachia na maswaiba wake huko Miami nchini Marekani. Amber Rose akiwa ameachia kinguo chake na kuacha…

 

10 years ago

Bongo Movies

Batuli Amshukia Kitale Kwa Kuvujisha Picha Hizi Mtandaoni

Staa wa mrembo wa Bongo Movie, Batuli ameonyesha kuchukizwa kwake kwa kitendo cha staa mwenzake, Kitale kuvujisha picha hizi  akiwa faragha na mwigizaji chipukizi, Stanbakora ikiwa ni kati ya moja ya kipande cha kazi yao mpya, kwa madai kuwa anaipa ‘promo’.

Kupitia ukurasa wake mtandao Batuli ameeleza kuwa Kitale alimpa picha hizo Mateja ambaye ndiye aliezisambaza kwenye mtandao wa Instagram.

“Kwanza mniwie radhi Watanzania mnachokiona na kinachoelezewa ni vitu viwili tofauti mwenye akili...

 

11 years ago

Mwananchi

Kesi ya upasuaji tata katika usuluhishi

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeamuru kesi ya upasuaji tata katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) Kitengo cha Upasuaji wa Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI), ipelekwe katika usuluhishi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

HUSNA MALIMA: Mtoto aliyepotea katika mazingira tata

“HUWA machozi yananitoka ,nashindwa kula wala sipati usingizi, mtoto wangu kipenzi Husna Malima ametoweka katika mazingira ya kutatanisha wakati akicheza na wenzake.” Hayo ni maneno ya baba mzazi wa Husna(2); ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Habari katika picha: Baadhi ya picha bora zilizopigwa barani Afrika

Baadhi ya picha zilizopigwa wiki hii katika maeneo mbalimbali barani Afrika na kwingineko.

 

9 years ago

Michuzi

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA WA MKESHA WA MWAKA 2016 KATIKA PICHA

 Wakazi wa jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyakea wakiwa katika mkesha wa mwaka mpya.  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi na mkewe wakicheza kwa furaha wakati wa mkesha wa mwaka mpya. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, akiwa na furaha wakati wa mkesha wa mwaka 2016 kwenye Uwanja wa Uhuru. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye(katikati) akicheza nyimbo za injili wakati wa mkesha wa mwaka mpya. Mwenyekiti wa Kamati ya...

 

9 years ago

GPL

STELLA JOEL: HILI NI PIGO KUBWA KWANGU

Katibu Mwenezi wa Chama cha Muziki wa Injili Tanzania, Stella Joel. Gladness Mallya
KATIBU Mwenezi wa Chama cha Muziki wa Injili Tanzania, Stella Joel amesema kifo cha mumewe Yeronimo Mwalo ni pigo kubwa kwake linalohitaji maombi ya kila siku. Akizungumza kwa huzuni, Stella alisema mumewe alifikwa na umauti Ijumaa iliyopita katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambako alilazwa kwa muda wa siku nne akisumbuliwa na uti wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Joel Bendera awapa somo askari vijana

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera amewataka askari vijana nchini kutumia muda wao kubuni njia rahisi ya kukuza uchumi kupitia fursa zilizopo katika maeneo yao badala ya kufanya uovu....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani