Picha: Batuli na Joel wa Fresh120media Katika Mapozi Tata!!
Kila mtu anajua uzuri na raha ya picha, hizi ni za mwigizaji Batuli akiwa na Joel Joseph wa fresh120media siku ya sherehe yake ya kuzaliwa.
Watu wanasema picha huzungumza, lakini Batuli mwenyewe asema wao ni marifiki tuu, na sisi tunakubali, lakini wapo ambao wanaona kunachazaidi hapa....
Katika kuona picha hizi zina utataaa, kwenye moja ya picha hizi Batuli aliandika kwa kumuliza joel kiutani.
“Can I ask u something!? Joel do u have a girlfriend!? Maana nahisi kama utapigwa hivi.........
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo520 Aug
Picha (screenshots) tata kwenye video ya Anaconda (18+)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9msGxFArDLfTcz-tCnpJwK2xeIxLvXshbokNk2nD7Qu59sPMlji4mVsOAtzGNTFWFOIx7KA9W4JAJCJSTk7szcD/1.jpg)
AMBER ROSE ATUPIA PICHA ZAKE TATA NYINGINE MTANDAONI
10 years ago
Bongo Movies31 Jul
Batuli Amshukia Kitale Kwa Kuvujisha Picha Hizi Mtandaoni
Staa wa mrembo wa Bongo Movie, Batuli ameonyesha kuchukizwa kwake kwa kitendo cha staa mwenzake, Kitale kuvujisha picha hizi akiwa faragha na mwigizaji chipukizi, Stanbakora ikiwa ni kati ya moja ya kipande cha kazi yao mpya, kwa madai kuwa anaipa ‘promo’.
Kupitia ukurasa wake mtandao Batuli ameeleza kuwa Kitale alimpa picha hizo Mateja ambaye ndiye aliezisambaza kwenye mtandao wa Instagram.
“Kwanza mniwie radhi Watanzania mnachokiona na kinachoelezewa ni vitu viwili tofauti mwenye akili...
11 years ago
Mwananchi23 May
Kesi ya upasuaji tata katika usuluhishi
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
HUSNA MALIMA: Mtoto aliyepotea katika mazingira tata
“HUWA machozi yananitoka ,nashindwa kula wala sipati usingizi, mtoto wangu kipenzi Husna Malima ametoweka katika mazingira ya kutatanisha wakati akicheza na wenzake.” Hayo ni maneno ya baba mzazi wa Husna(2); ...
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Habari katika picha: Baadhi ya picha bora zilizopigwa barani Afrika
9 years ago
MichuziMATUKIO MBALIMBALI KATIKA WA MKESHA WA MWAKA 2016 KATIKA PICHA
9 years ago
GPLSTELLA JOEL: HILI NI PIGO KUBWA KWANGU
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Joel Bendera awapa somo askari vijana
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera amewataka askari vijana nchini kutumia muda wao kubuni njia rahisi ya kukuza uchumi kupitia fursa zilizopo katika maeneo yao badala ya kufanya uovu....