MWANAMUZIKI CHID BENZ AKIRI MASHITAKA YAKE MATATU MAHAKAMANI LEO
Rashidi Makwiro (29), maarufu kama Chid Benz akiwa eneo la mahakama. (Picha na Maktaba yetu) MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya (Bongo Fleva), Rashidi Makwiro (29), maarufu kama Chid Benz leo amekiri mahakamani mashitaka matatu yanayomkabili ya kukutwa na Dawa za kulevya aina ya Heroin yenye thamani ya Sh. 38,638, bangi ya Sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae. Chid Benz alikiri mashitaka hayo baada ya kusomewa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lb-MEivIk0Q/VOSGC_k3bEI/AAAAAAAHEWs/ELJLS65zjik/s72-c/chid%2Bclip.jpg)
MSANII CHID BENZ AKIRI MASHITAKA YAKE MAHAKAMANI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-lb-MEivIk0Q/VOSGC_k3bEI/AAAAAAAHEWs/ELJLS65zjik/s1600/chid%2Bclip.jpg)
Chid Benz alikiri mashitaka hayo baada ya kusomewa upya hati yake ya mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Warialwande Lema.
Hakimu Lema alisema kwa kuwa mshtakiwa amekiri mashitaka yake mahakama yake...
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Chid Benz sasa akiri kosa mahakamani
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Chid Benz akiri kukutwa na madawa ya kulevya mahakamani,asubiri hukumu
Chid Benz alikiri hivyo juzi Jumatano mbele ya Hakimu Mkazi, Waliarwande Lema baada ya kuomba asomewe tena mashtaka yake. Aliomba hivyo muda mfupi baada ya kesi yake kutajwa mahakamani hapo na Wakili wa Serikali, Diana Lukendo aliyesema upelelezi haujakamilika...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Chid Benz atimuliwa mahakamani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMMzeDZMIEOQD42UoemfXeHFIOUy1MecMu8bRAsEVF5AXzCa9WDlQ7y2rM1aSrW6i33g77tbXJF4df9hnCoppUgd/chid.jpg?width=650)
MLEGEZO WAMPONZA CHID BENZ ATAITIWA MAHAKAMANI, POLISI WATOKA NAYE MKUKU
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-A9uJIbBx6uY/VE-OUmDkYoI/AAAAAAAGtz4/uGipieSRuz8/s72-c/Chid%2BBeenz_full.jpg)
CHID BENZ APANDISHWA KIZIMBANI JIJINI DAR LEO KWA SHITAKA LA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA,AKOSA DHAMANA, KESI YAKE KUTAJWA TENA NOVEMBA 11
![](http://3.bp.blogspot.com/-A9uJIbBx6uY/VE-OUmDkYoI/AAAAAAAGtz4/uGipieSRuz8/s1600/Chid%2BBeenz_full.jpg)
Chid Benz amefikishwa mapema leo saa 3:00 asubuhi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusomewa mashitaka yake. Saa 7:50 mchana alifikishwa mbele ya...
10 years ago
Bongo507 Nov
Chid Benz na Fid Q kufanya album ya pamoja, Chid aizungumzia project hiyo
10 years ago
Daily News20 Feb
Chid Benz pleads guilty
Daily News
FAMOUS local hip-hop musician Rashid Abdallah Makwiro, alias Chid Benz (29), yesterday pleaded guilty to all the charges against him of unlawfully possession of narcotic drugs at Kisutu Resident Magistrate's Court. Before Principal Resident Magistrate ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXxtOkoWb29F5XAIMFNqbYELYR3EwR2enU4DJHMB67IUkpZJts*gJNzqE5BipzhWA1oLW5*acPst-q6VE78PnGfk/10.jpg)
CHID BENZ NA USTAA PORI