KAENI CHONJO OFM YATEGA KAMERA KILA KONA YA JIJI!
![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDChfDdxD9VVQ2S388f-oZ7zwwGlFCGAbO2wTreduXPEs-NTxAevF78F-ZjDUcIuYidASSNxOBBBRgI6KFV4HccM/JVGVGI.jpg)
Mwandishi Wetu KITENGO maalum cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publishers ambacho kimeendelea kujiimarisha kiutendaji, katika kuhakikisha kinafanya kazi yake ipasavyo, sasa imetega kamera kupitia mapaparazi wake ambao watakuwa wakizunguka kila kona ya Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake, Risasi Mchanganyiko linakubapa kinaga ubaga. Padri wa Moshi alipofumaniwa na kitengo maalum cha Oparesheni Fichua Maovu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Hongera ukawa, lakini kaeni chonjo
OKTOBA 26, mwaka huu, vyama vinne vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimeweka historia kwa kusaini makubaliano yatakayotumiwa na vyama vyao kutimiza malengo yao kisiasa. Umoja huo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8nqqUDk9e6w/VJ1KsdOXz4I/AAAAAAAG53I/tcL-BVvMT_U/s72-c/001.DAR%2BLIVE.jpg)
Vodacom Tanzania ilivyowarusha wateja wake kila kona ya jiji la Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-8nqqUDk9e6w/VJ1KsdOXz4I/AAAAAAAG53I/tcL-BVvMT_U/s1600/001.DAR%2BLIVE.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aAPUmIVDmq0/VJ1Ksif7SeI/AAAAAAAG53E/j7cwn4OycMg/s1600/002.DAR%2BLIVE.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YJHs49uOfqI/VJ1KujJ2oEI/AAAAAAAG53g/xc1nCKIYtYU/s1600/007.COCO%2BBEACH.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k3CULkKWsLZBqjmlVEFhS6HP7f*MfSgE-VnuQLhDjkKPHsEO01Aneo-jkhcBx2IqOx4l-LAUtoCOGlHScgfoZEeEcAIdqTXd/001.DARLIVE.jpg)
VODACOM TANZANIA ILIVYOWARUSHA WATEJA WAKE KILA KONA YA JIJI LA DAR
10 years ago
Dewji Blog07 May
Exclusive mvua ya siku 3 Dar: Jiji lasimama, miundombinu kero tupu kila kona
Na Andrew Chale, Modewji blog
Kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha kwa siku ya tatu leo imeendelea kusababisha uharibifu wa miundombinu mingi ya jiji la Dar es Salaam kuharibika vibaya huku mingine ikifungwa kwa kushindwa kutumika hasa kwa magari yaingiayo katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Modewji blog imeshuhudia maeneo kadhaa katikati ya jiji na maeneo mengineo ya nje ya jiji yakiwa katika ubovu mkubwa hata magari kupita kwa taabu na mengine kuzama katika madimbwi.
Baadhi ya...
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOBAL IKIRANDARANDA MITAA YA JIJI LA DAR
11 years ago
GPLBARABARA ZA JIJI LA DAR KATIKA KAMERA YA GLOBAL
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxb-xReLCWOW1Udzb9D6ysVee7NRiRzhV*3BC5nfkMjClflG8cTtp6BtDwSzZdjjWJd0jNBMNhBq06BgTgIfXYM3/viatu.jpg?width=650)
KAMERA YA GPL KATIKA MITAA YA JIJI LA DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqpUCgPUt5gcjtcjAClkX2n76kh-n6z0KyXjh9rrR5RkGgNnbbjLG-2mGKa9ScE5lRy8jpeqHAjDd0SMvX6VkPCj/11.jpg?width=650)
JIJI LA DAR LILIVYOKUTWA NA KAMERA YA GLOBAL LEO