BARABARA ZA JIJI LA DAR KATIKA KAMERA YA GLOBAL
Askari wa usalama barabarani akitimiza majukumu yake eneo la Fire. Foleni ni sehemu ya maisha ya wakazi wa Dar hapa ni maeneo ya Fire. Eneo la Mtaa wa Fire ambalo limejaa maji.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqpUCgPUt5gcjtcjAClkX2n76kh-n6z0KyXjh9rrR5RkGgNnbbjLG-2mGKa9ScE5lRy8jpeqHAjDd0SMvX6VkPCj/11.jpg?width=650)
JIJI LA DAR LILIVYOKUTWA NA KAMERA YA GLOBAL LEO
Maji yakiwa yamejaa barabarani maeneo ya Manzese jijini Dar kutokana na mvua.  Kazi ya ujenzi ikiendelea Barabara ya Morogoro kwa ajili ya mabasi yaendayo kasi.…
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOBAL IKIRANDARANDA MITAA YA JIJI LA DAR
Feri ya Mv Kigamboni ikiwa mzigoni. Abiria wakitoka maeneo ya Kigamboni wakishuka kutoka kwenye Feri.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxb-xReLCWOW1Udzb9D6ysVee7NRiRzhV*3BC5nfkMjClflG8cTtp6BtDwSzZdjjWJd0jNBMNhBq06BgTgIfXYM3/viatu.jpg?width=650)
KAMERA YA GPL KATIKA MITAA YA JIJI LA DAR
Pea mbalimbali za viatu zikiwa zimening’inizwa kwenye waya wa umeme, kitu ambacho ni hatari kwa usalama wa wakazi wa eneo hilo la Mkwajuni Kinondoni.
Baiskeli ya magurudumu matatu (guta) ikiwa imebeba vipande vya maeneo ya Buguruni, Dar.…
11 years ago
GPLKAMERA YA GPL KATIKA MITAA TOFAUTI YA JIJI LA DAR
Athari za mafuriko maeneo ya Ubungo-Extenal. Dereva akiangalia namna ya kupita eneo hili ambapo barabara inatengenezwa.…
10 years ago
MichuziWAZIRI MAGUFULI AZINDUA MIRADI SITA YA UJENZI WA BARABARA ZA KUPUNGUZA MSONGAMANO KATIKA JIJI LA DAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
GPLCHUO CHA FILAMU (TFTC) KATIKA KAMERA YA GLOBAL
Wanafunzi wakimsikiliza mwalimu.
Bango la chuo cha TFTC kinachomilikiwa na muigizaji maarufu, Pastor Emmanuel Myamba.
Hili ni jukwaa la mazoezi.…
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOBAL INAPOVINJARI MITAA YA DAR ES SALAAM
Eneo lililojaa taka ambalo ni moja ya njia wanazotumia wananchi wa sehemu za Yombo-Kilakala. Hii ni sehemu iliyoathiriwa na maji ya mvua sehemu za Yombo. Tatizo la foleni…
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOBAL ILIVYOJICHIMBIA SEHEMU MBALIMBALI JIJINI DAR
Mhubiri wa kidini aliyejulikana kama Hosea Cha Mungu akihubiri sehemu za Ubungo ambako alidai aliwahi kukutana na mwigizaji, marehemu Steven Kanumba huko Lagos, Nigeria kabla hajafa. Wasikilizaji wa hotuba ya Cha Mungu wakionyeshwa baadhi ya picha za wafuasi wa madhehebu ya Freemason.…
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOBAL PUBLISHERS ILIVYOMULIKA MAENEO YA VIUNGA VYA DAR
Hiki ni kisima kinachotumiwa na wakazi wa Yombo-Dovya karibu na mto Muki. Hapa ni eneo la Tanesco kitongoji cha Tandale.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania