Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMERA YA GLOBAL PUBLISHERS ILIVYOMULIKA MAENEO YA VIUNGA VYA DAR

Hiki ni kisima kinachotumiwa na wakazi wa Yombo-Dovya karibu na mto Muki. Hapa ni eneo  la Tanesco kitongoji cha Tandale.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAJI BADO TATIZO VIUNGA VYA DAR

Wauza maji  wakiwa na mikokoteni yao maeneo ya Kimara Mwisho. Mikokoteni ya maji ikiwa imepakiwa kijiweni, eneo la Kinondoni, Manyanya.…

 

11 years ago

GPL

BARABARA ZA JIJI LA DAR KATIKA KAMERA YA GLOBAL

Askari wa usalama barabarani akitimiza majukumu yake eneo la Fire.
Foleni ni sehemu ya maisha ya wakazi wa Dar hapa ni maeneo ya Fire. Eneo la Mtaa wa Fire ambalo limejaa maji.…

 

11 years ago

GPL

JIJI LA DAR LILIVYOKUTWA NA KAMERA YA GLOBAL LEO

Maji yakiwa yamejaa barabarani maeneo ya Manzese jijini Dar kutokana na mvua.   Kazi ya ujenzi ikiendelea Barabara ya Morogoro kwa ajili ya mabasi yaendayo kasi.…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL INAPOVINJARI MITAA YA DAR ES SALAAM

Eneo lililojaa taka ambalo ni moja ya njia wanazotumia wananchi wa sehemu za Yombo-Kilakala. Hii ni sehemu iliyoathiriwa na maji ya mvua sehemu za Yombo. Tatizo la foleni…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL IKIRANDARANDA MITAA YA JIJI LA DAR

Feri ya Mv Kigamboni ikiwa mzigoni. Abiria wakitoka maeneo ya Kigamboni wakishuka kutoka kwenye Feri.…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL ILIVYOJICHIMBIA SEHEMU MBALIMBALI JIJINI DAR

Mhubiri wa kidini aliyejulikana kama Hosea Cha Mungu akihubiri sehemu za Ubungo ambako alidai aliwahi kukutana na mwigizaji, marehemu Steven Kanumba huko Lagos, Nigeria kabla hajafa. Wasikilizaji wa hotuba ya Cha Mungu wakionyeshwa baadhi ya picha za wafuasi wa madhehebu ya Freemason.…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL YATEMBELEA MITAA YA AMANI, MAWENZI TABATA, DAR

Barabara  hii iliyoko Mtaa wa Mawenzi inapitika kwa shida kwa kujaa tope. Mwendesha bodaboda akipenya katika njia iliyojaa vikwazo vya kila aina.…

 

10 years ago

GPL

GLOBAL PUBLISHERS YAPATA VYETI VYA HESHIMA KUTOKA MAMLAKA YA ELIMU TANZANIA

VYETI viwili vya heshima vilivyokabidhiwa kwa Kampuni ya Global Publishers  Ltd kutoka Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) katika hafla fupi iliyofanyika leo kwenye ukumbi wa Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenester Mhagama. Global Publishers imepata vyeti hivyo kwa kuwa mmojawapo ya wadau waliomstari wa mbele katika kuchangia elimu hapa… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani