Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GLOBAL PUBLISHERS YAPATA VYETI VYA HESHIMA KUTOKA MAMLAKA YA ELIMU TANZANIA

VYETI viwili vya heshima vilivyokabidhiwa kwa Kampuni ya Global Publishers  Ltd kutoka Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) katika hafla fupi iliyofanyika leo kwenye ukumbi wa Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenester Mhagama. Global Publishers imepata vyeti hivyo kwa kuwa mmojawapo ya wadau waliomstari wa mbele katika kuchangia elimu hapa… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

GLOBAL PUBLISHERS YATUNUKIWA VYETI VIWILI NA MAMLAKA YA ELIMU

Sehemu ya wageni waalikwa. Mhagama akitoa hotuba. ... Akisistiza jambo.…

 

11 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Uhamasishaji rasilimali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Sylvia Lupembe, alipotembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania Jumatano Tarehe 13 Mei 2015.

 

11 years ago

GPL

BURUDIKA NA HABARI MOTOMOTO KUTOKA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS

Pata habari motomoto kwa kusoma magazeti ya Global Publishers Ltd ambayo ni Ijumaa Wikienda, Championi, Uwazi, Risasi, Amani na Ijumaa.

 

10 years ago

GPL

STORI 10 ZILIZOBAMBA KUTOKA TOVUTI YA GLOBAL PUBLISHERS MWAKA 2014

Stori: Gladness Mallya
KABANG! Picha za staa wa sinema na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole Kiuno’ zinazomuonesha live akiwa chumbani tena kitandani kimahaba na mwandani wake, Nuh Mziwanda zimevuja, Risasi Jumammosi linazo kwenye makabrasha yake. KUSOMA ZAIDI INGIA HAPA: SHILOLE LIVE CHUMBANI
Stori: Erick Evarist na Imelda Mtema
NYOTA wa Nyimbo za Injili Bongo, Rose Mhando… ...

 

10 years ago

Michuzi

RAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO AJIFUNGUA AKIWA KATIKA KITUO CHA KUPOKELEA VYETI

Kiongozi wa Ofisi ya Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Wakimbizi (UNHCR) katika Makazi ya Mishamo, Adolph Bishanga akimkabidhi chandarua na shuka raia mpya wa Tanzania, ambaye ni Mkazi wa Kijiji cha Kapemba, Kata ya Mishamo, wilayani Mpanda, Ageva Moses (kulia) baada ya kujifungua mtoto wa kiume wakati akiwa katika kituo cha kupokelea cheti cha uraia katika Kijiji cha Ifumbula wilayani humo. Licha ya maafisa wa Serikali pamoja na UNHCR kutoa maelekezo kuwa wagonjwa na wasiojiweza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani