GLOBAL PUBLISHERS YATUNUKIWA VYETI VIWILI NA MAMLAKA YA ELIMU
Sehemu ya wageni waalikwa. Mhagama akitoa hotuba. ... Akisistiza jambo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq8vgs-XtT0CWMhGi*MWoKOZBulunIsikeRuI4UUTROUsEiN3mZMzuskCHP95M24Q2jdYiKNzRs9OQdT2cZl*soG/1certificate.jpg)
GLOBAL PUBLISHERS YAPATA VYETI VYA HESHIMA KUTOKA MAMLAKA YA ELIMU TANZANIA
VYETI viwili vya heshima vilivyokabidhiwa kwa Kampuni ya Global Publishers  Ltd kutoka Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) katika hafla fupi iliyofanyika leo kwenye ukumbi wa Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenester Mhagama. Global Publishers imepata vyeti hivyo kwa kuwa mmojawapo ya wadau waliomstari wa mbele katika kuchangia elimu hapa… ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s640/unnamed%2B(64).jpg)
10 years ago
GPLMAD ICE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS, ALONGA NA GLOBAL TV ONLINE
Mad Ice akiwa ndani ya studio za Global TV Online leo. Mad Ice akibadilishana mawazo na Mwandishi wa Global, Andrew  Carlos kabla ya mawasiliano.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq*NNJVtmwykCmYPAQ68AsKZ12UiDk3qXzF0nc4hlB48oPujWVSVwFs3xI6eN3aprUePMexn4aK4vq48XePikaQr/IMG20141117WA0006.jpg)
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI AWATUNUKU VYETI WADAU WA ELIMU
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenester Mhagama akiongea na Global TV Online leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar wakati wa kutunuku vyeti wadau wa elimu. Wanahabari wakimhoji Mkurugenzi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Rosemary Lulabuka baada ya zoezi la kutunuku vyeti wadau wa elimu leo kwenye Hoteli ya…
10 years ago
GPLSHIGONGO AZINDUA VITABU VYAKE VIWILI VIPYA KATIKA OFISI ZA GLOBAL
Mkurugenzi wa Global Publishers LTD, Shigongo Eric James (kulia), akishikilia vitabu vyake baada ya kumpatia jukumu la uzinduzi huo Mhariri Kiongozi wa Magazeti Pendwa ya Kampuni hiyo, Oscar Ndauka. Tukio hilo limefanyika mapema leo ndani ya jengo la ofisi za GlobalPublishers zilizoko Mwenge-Bamaga jijini Dar es Salaam. Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho (kulia), akiwa amenyanyua moja ya vitabu hivyo baada ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2Iw-2yM*1SmjfE30BCM6x035utUkP0eltJ0Im5chgz9eS79JD9tN09msTKJ2imJh2yS*OS3P9aAf0dRUG4TXP*Q/gpl.jpg?width=650)
GLOBAL PUBLISHERS...
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, imeanza mbio za kuutokomeza ugonjwa wa homa ya ini ambao kitaalamu unafahamika kama Hepatitis B. Mbio hizo, zitaambatana na uzinduzi wake kitaifa utakaofanyika Machi 7, mwaka huu, Hospitali ya Mkoa wa Kitabu Ilala, Amana, Dar es Salaam, mgeni rasmi akiwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid. Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xviiq3LRwyY/XkWlXmqIl5I/AAAAAAALdUU/ACIDcME5fjk_AfeL6ZcAlofFzEVHhwzqgCLcBGAsYHQ/s72-c/0081bbd4-5769-4261-bae6-deaf7636066b.jpg)
TCRA Kanda ya Mashariki yatoa Elimu ya Utumiaji wa Mawasiliano Katika Vyuo viwili wilayani Nachingwea
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii Nachingwea
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)Kanda ya Mashariki imetoa elimu ya Mawasiliano katika vyuo viwili Wilayani Nachingwea ili kuwapa elimu ya uelewa Wanafunzi na walimu namna ya kutumia mawasiliano hayo kwa usalama.
Vyuo vilivyopata elimu ya Utumiaji wa Mawasiliano ni Chuo cha Uuguzi na Ukunga pamoja na Chuo cha Ualimu.
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vyuo hivyo Mkuu wa Kanda ya Mashariki wa (TCRA) Mhandisi Lawi Odiero amesema kuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA-AvSUWVVcv2dAWJMu1st2rC7AIhirnwS0lq0RB2c2i3K*TUBc-8acSaVKSsMyUe9iJHqzu0l4FyYFmjYf*gvyz/mwakifaaa.jpg?width=650)
MWAKIFWAMBA AIANGUKIA GLOBAL PUBLISHERS
Stori: Joseph Shaluwa
RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba ameiomba radhi Kampuni ya Global Publishers Ltd inayochapisha magazeti ya Uwazi, Amani, Ijumaa, Risasi, Ijumaa Wikienda na Championi kwa maneno aliyowahi kuyatoa siku za nyuma kuhusu wasanii kuandamwa na magazeti hayo. Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba akiongea na wanahabari wa Global...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZcjIar5u5lmOPxUQOAd9Lbv*stORr4QZLp5ptDG0ybc78*UTlsqi8AWtAFOLraZ*bjao5GAqAWWtmgjCI19bTP1/GLOBAL.jpg?width=650)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
14-February-2025 in Tanzania