TCRA Kanda ya Mashariki yatoa Elimu ya Utumiaji wa Mawasiliano Katika Vyuo viwili wilayani Nachingwea
![](https://1.bp.blogspot.com/-xviiq3LRwyY/XkWlXmqIl5I/AAAAAAALdUU/ACIDcME5fjk_AfeL6ZcAlofFzEVHhwzqgCLcBGAsYHQ/s72-c/0081bbd4-5769-4261-bae6-deaf7636066b.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii Nachingwea
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)Kanda ya Mashariki imetoa elimu ya Mawasiliano katika vyuo viwili Wilayani Nachingwea ili kuwapa elimu ya uelewa Wanafunzi na walimu namna ya kutumia mawasiliano hayo kwa usalama.
Vyuo vilivyopata elimu ya Utumiaji wa Mawasiliano ni Chuo cha Uuguzi na Ukunga pamoja na Chuo cha Ualimu.
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vyuo hivyo Mkuu wa Kanda ya Mashariki wa (TCRA) Mhandisi Lawi Odiero amesema kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTCRA Kanda ya Mashariki yatoa elimu ya utumiaji mawasiliano Wilayani Ruangwa
Na Chalila Kibuda Globu ya Jamii aliyekuwa wilayani Ruangwa
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)Kanda ya Mashariki imetoa elimu ya Mawasiliano katika Shule mbili za Sekondari wilayani Ruangwa ili Wanafunzi na walimu wajue namna ya kutumia mawasiliano hayo kwa usalama.
Shule za Sekondari zilizipata elimu ya Mawasiliano wilayani Ruangwa ni Kassim Majaliwa na Likunja
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika Shule hizo Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U_ugP0RE2V4/XozDVmkWvpI/AAAAAAALmbQ/7iGNFAGa5jIZWkn8RFafmwTUYM7K0S2xQCLcBGAsYHQ/s72-c/a6a54688-48d6-4e35-8edd-637c0fd94e1b.jpg)
TCRA Kanda ya Mashariki yatoa msaada kwa Kituo Cha Watoto Yatima
![](https://1.bp.blogspot.com/-U_ugP0RE2V4/XozDVmkWvpI/AAAAAAALmbQ/7iGNFAGa5jIZWkn8RFafmwTUYM7K0S2xQCLcBGAsYHQ/s640/a6a54688-48d6-4e35-8edd-637c0fd94e1b.jpg)
Mwakilishi wa Mkuu wa Kanda ya Mashariki wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Vaolet Eseko akimkabidhi msaada kwa niaba ya Mkuu wa Kanda hiyo Mhandisi Lawi Odiero wa Vitakasa Mikono pamoja bidhaa za vyakula Mkurugenzi wa Kituo Cha Watoto Yatima Cha New Home Orphan Kilichopo Boko Jijini Dar es Salaam.
**********************************
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki imetoa msaada wa vitu mbalimbali katika Kituo cha Watoto Yatima Cha New Home Orphan Kilichopo...
10 years ago
MichuziTTCL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO KATIKA KATA YA KIEGEI WILAYANI NACHINGWEA
Akiongea na wananchi Kiegei, Mkuu wa Biashara (TTCL) kanda ya Zanzibar Bw. Hussein Nguvu amesema; kwa kutambua umuhimu wa mawasiliano, TTCL pekee ndiyo ipo katika kijiji cha KIEGEI na ipo mstari wa mbele katika kuchangia kufanikisha malengo ya Serikali katika Sekta hii mtambuka kwa maendeleo ya haraka kwa Taifa letu.
Amesema Serikali ina imani kubwa na...
5 years ago
MichuziTCRA YATOA ELIMU KATIKA CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII TENGERU -KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA HAKI YA MLAJI DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-B-IPDkj-bv0/Xmon_dW3kCI/AAAAAAAAQdI/2A_4eCW4JII3jNM1aUI4GFvqxhZxG9H5ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200311_132258.jpg)
Mkuu wa Kanda ya Kaskazini Mhandisi Imelda Salum akizungumza na wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru...
10 years ago
VijimamboPSPF YATOA MSAADA WA KOMPYUTA 12 KWA VYUO VIWILI BAGAMOYO
5 years ago
MichuziMAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA -TCRA KANDA YA ZIWA YAADHIMISHA SIKU YA HAKI YA MTUMIAJI DUNIANI
Mamlaka Ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa imeadhimisha Siku ya Haki ya Mtumiaji Duniani (World Consumer Rights Day) leo Machi 9,2020 kwa kutoa elimu kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi Stadi VETA Mkoa wa Shinyanga juu ya haki za watumiaji wa Huduma za Mawasiliano.
Akizungumza, Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo alisema TCRA Kanda ya Ziwa imeadhimisha siku hii leo Machi 9,2020 ambapo Kidunia itafanyika Machi 15,2020 kwa kauli mbiu ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U7ojQVzi7hc/Xs-Dduoa-SI/AAAAAAALr08/TCUdIPgMuHIqb8gEClZwAnzDJ8_W7cMqgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-28%2Bat%2B11.39.24%2BAM.jpeg)
TCRA Kanda ya Mashariki:Wamiliki wa Radio kufuata Sheria,Kanuni pamoja miongozo
![](https://1.bp.blogspot.com/-U7ojQVzi7hc/Xs-Dduoa-SI/AAAAAAALr08/TCUdIPgMuHIqb8gEClZwAnzDJ8_W7cMqgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-28%2Bat%2B11.39.24%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-p0sHLCqC0As/Xs-DsJ02-sI/AAAAAAALr1A/So0br9VAbxs91tDJBUesksjp0_GYfAojgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-28%2Bat%2B11.51.53%2BAM.jpeg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUAXi8ra-cn-5WkNRxJmf6Nizj2-mb77TWNVBpvVe4SehdyD8cjRwT7XpK5RmpvW6h1iZT14VrLVj-f2oevpt43/PSPF1.jpg?width=650)
PSPF YATOA MAFUNZO JINSI YA KUJIUNGA NA UWANACHAMA WAKATI WA MAONYESHO YA VYUO VYA ELIMU YA JUU YALIYOANDALIWA NA TUME YA VYUO VIKUU (TCU)
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Vyuo 33 kanda ya Kati na Dar kupamba Tamasha la Elimu
Mratibu wa Tamasha la NACTE INTER COLLEGE TANZANIA 2014/2015, Bi, Magreth Kilawe,(kati), akifafanua kwa waandishi wa habari, kuhusiana na Tamasha la Vyuo vya Elimu ya Kati na Vilivyopata Usajili wa NACTE, mikoa yote ya Tanzania kwa kushirikisha michezo mbali mbali. Kushoto ni Mwakilishi wa Serikali za Wanafunzi na Mshauri wa Chuo cha C.B.E-Dar es salaam, Mr. Stephano na Afisa Uhusiano wa Miss Demokrasia Tanzania, Bi, Rosina Mchomvu.
Na Mwandishi wetu
Zaidi ya vyuo 33 vya Elimu ya Kati,...