Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHUO CHA FILAMU (TFTC) KATIKA KAMERA YA GLOBAL

Wanafunzi wakimsikiliza mwalimu.
Bango la chuo cha TFTC kinachomilikiwa na muigizaji maarufu, Pastor Emmanuel Myamba.
Hili ni jukwaa la mazoezi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BARABARA ZA JIJI LA DAR KATIKA KAMERA YA GLOBAL

Askari wa usalama barabarani akitimiza majukumu yake eneo la Fire.
Foleni ni sehemu ya maisha ya wakazi wa Dar hapa ni maeneo ya Fire. Eneo la Mtaa wa Fire ambalo limejaa maji.…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL YAMULIKA UBOMOAJI WA KITUO CHA MABASI, FOLENI UBUNGO

    Mafundi wakivunja vibanda vya kukatia tiketi.     Nguzo za umeme wa nguvu kubwa ‘zikipita’ juu ya wabomoaji.…

 

9 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA CHUO CHA KODI JIJINI DAR WATIMIZA WAJIBU KUFANYA USAFI KATIKA CHUO CHAO







CHUO cha Kodi cha Mwenge jijini Dar es Salam wameitikia wito wa kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Joseph Magufuli kufanya usafi katika mazingira ya Chuo hicho.

Kaimu Mkuu wa Chuo cha Kodi, Edward Mwakimonga amewasihi wanafunzi pamoja na wananchi kwa ujumla kuwa usafi ni afya na ikiwezekana iwe ni kawaida kufanya usafi kila baada ya wiki mara moja ili kuweka mazingira safi.
Nae Waziri Mkuu wa serikali ya chuo cha Kodi, Jeremia Shushu amewashukuru wanafunzi pamoja...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ATUNUKU WAHITIMU WA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI KATIKA MAHAFALI YA KOZI YA PILI

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Kanali James Ruzibiza Stashahada ya Usalama na Stratejia (Diploma in Security and Strategic Studies) katika mahafali ya Kozi ya Pili ya Chuo Cha Taifa cha Ulinzi (NDC) chuoni hapo Kunduchi jijini Dar es salaam leo Julai 26, 2014. Kanali Ruzibiza, ambaye anatokea Rwanda, ni mmoja wa washiriki tisa wa kozi waliotoka nchi za nje. Washiriki wengine kutoka nje y nchi walitoka Kenya, Malawi, Namibia, Nigeria, Uganda, zambia na...

 

5 years ago

Michuzi

TCRA YATOA ELIMU KATIKA CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII TENGERU -KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA HAKI YA MLAJI DUNIANI


 Mmoja wa wanafunzi katika chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru akiuliza swali kwa Mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA walipoenda chuoni hapo kutoa elimu namana ya matumizi sahihi ya Mitandao pamoja na kuwajengea uelewa namna ya kutunza usiri wa faragha zao.Wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru wakifuatilia kile kinachoendelea kutoka mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA

 Mkuu wa Kanda ya Kaskazini Mhandisi Imelda Salum akizungumza na wanafunzi wa Chuo cha  Maendeleo ya Jamii Tengeru...

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL ILIPOVINJARI KINONDONI NA ILALA

Mwanamuziki  wa Bendi ya Diamond Musica ya jijini Dar es Salaam, River Sultan,  akiwa kwenye pozi maeneo ya Mango Garden, Kinondoni,  baada kujipiga ‘soap-soap’ jana.
Mtoto huyu alinaswa maeneo ya Ilala-Karume jijini Dar es Salaam akiwa ametekwa na usingizi kiasi cha kujisahau kama yupo kibaruani.
NA: MAYASA…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL MKOANI TABORA LEO

Wakazi wa Tabora wakipata 'gahawa' kwenye stendi kuu ya mabasi yaendao mikoani leo. ...Na hawa nao walinaswa kwenye kijiwe kingine wakipata 'gahawa'.…

 

11 years ago

GPL

JIJI LA DAR LILIVYOKUTWA NA KAMERA YA GLOBAL LEO

Maji yakiwa yamejaa barabarani maeneo ya Manzese jijini Dar kutokana na mvua.   Kazi ya ujenzi ikiendelea Barabara ya Morogoro kwa ajili ya mabasi yaendayo kasi.…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL IKIRANDARANDA MITAA YA JIJI LA DAR

Feri ya Mv Kigamboni ikiwa mzigoni. Abiria wakitoka maeneo ya Kigamboni wakishuka kutoka kwenye Feri.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani