KAMERA YA GLOBAL MKOANI TABORA LEO
Wakazi wa Tabora wakipata 'gahawa' kwenye stendi kuu ya mabasi yaendao mikoani leo. ...Na hawa nao walinaswa kwenye kijiwe kingine wakipata 'gahawa'.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqpUCgPUt5gcjtcjAClkX2n76kh-n6z0KyXjh9rrR5RkGgNnbbjLG-2mGKa9ScE5lRy8jpeqHAjDd0SMvX6VkPCj/11.jpg?width=650)
JIJI LA DAR LILIVYOKUTWA NA KAMERA YA GLOBAL LEO
Maji yakiwa yamejaa barabarani maeneo ya Manzese jijini Dar kutokana na mvua.  Kazi ya ujenzi ikiendelea Barabara ya Morogoro kwa ajili ya mabasi yaendayo kasi.…
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yJMoWlswT04/U2uqLhgkxQI/AAAAAAACghM/5BAXjEtr1DA/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASILI WILAYANI IGUNGA MKOANI TABORA JIONI LEO,KUANZA ZIARA YA SIKU 10 MKOANI HUMO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-yJMoWlswT04/U2uqLhgkxQI/AAAAAAACghM/5BAXjEtr1DA/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jwzjC0jcNE0/U2uqMu4fbNI/AAAAAAACghQ/DLBJVfNN8MA/s1600/10.jpg)
11 years ago
Michuzi23 Jul
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-eNZy4MScXHc/VhKmS1cKunI/AAAAAAAA0EQ/AmoCr6wFAl4/s72-c/DSC_0025.jpg)
MAMA SAMIA AMALIZA KAMPENI MKOANI TABORA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-eNZy4MScXHc/VhKmS1cKunI/AAAAAAAA0EQ/AmoCr6wFAl4/s640/DSC_0025.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-r6X7qjjoNK4/VhKfwPoyAcI/AAAAAAAA0C4/elc10xHhpCA/s640/DSC_1329.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s72-c/MMGL0538.jpg)
LOWASSA AZIDI KUVUNJA REKODI YA WADHAMINI, APATA 9516 MKOANI TABORA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s640/MMGL0538.jpg)
Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM waliofika kumdhamini pamoja na wananchi wengine, kwenye viwanja vya ofisi za CCM Tabora Mjini, leo Juni 12, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wana CCM 9516 kwa mkoani Tabora, ikiwa ni muendelezo safari yake ya kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi kimteue kuwania nafasi ya urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s72-c/MMGL0538.jpg)
MH. LOWASSA AZIDI KUVUNJA REKODI YA WADHAMINI, APATA 9516 MKOANI TABORA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s640/MMGL0538.jpg)
Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM waliofika kumdhamini pamoja na wananchi wengine, kwenye viwanja vya ofisi za CCM Tabora Mjini, leo Juni 12, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wana CCM 9516 kwa mkoani Tabora, ikiwa ni muendelezo safari yake ya kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi kimteue kuwania nafasi ya urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa...
10 years ago
MichuziMaandalizi ya hafla ya Mh Samuel Sitta kutangaza nia ya kugombea urais yaiva mkoani Tabora leo.
Habari na picha kwa hisani ya Mkala Fundikira wa TBN central zone
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOBAL ILIPOVINJARI KINONDONI NA ILALA
Mwanamuziki wa Bendi ya Diamond Musica ya jijini Dar es Salaam, River Sultan, akiwa kwenye pozi maeneo ya Mango Garden, Kinondoni, baada kujipiga ‘soap-soap’ jana.
Mtoto huyu alinaswa maeneo ya Ilala-Karume jijini Dar es Salaam akiwa ametekwa na usingizi kiasi cha kujisahau kama yupo kibaruani.
NA: MAYASA…
10 years ago
MichuziHatimaye wakazi wa kijiji cha Amani mkoani Tabora kuanzia usiku wa leo watalala bila kero ya kunguni!
Taasisi ya Better Living Aid kupitia kampuni ya Royal Nsyepa General Supplies ambayo mkurugenzi wake ni Bw Mgalula Fundikira za jijini Dar es Salaam leo imepeleka mtaalamu wa upulizaji madawa ya kuuwa wadudu kama kunguni na wengineo katika kijiji cha Amani kilichopo km 6 nje ya mji wa Tabora. Hatua hiyo ya Better Living Aid ilifuatia ombi toka kwa wakazi wa kijiji hicho chenye wakazi wapatao 70 ambao baadhi yao ni wazee na wenye uathirika wa gonjwa sugu la ukoma, pamoja na changamoto ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10