Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UJIO WA NE-YO AFRICA DIAMOND, ALI KIBA MNAANDIKA LAKINI?

UNAANDIKA lakini? Ni moja ya misemo iliyozagaa sana mtaani kwa sasa, msemo huu hupendelewa kutumiwa zaidi pale mtu anapoongea sana au anapokuwa bize kukwambia jambo fulani kwa msisitizo. Julai 18, mwaka huu staa wa muziki wa Pop duniani, Shaffer Chimere Smith ‘Ne-Yo’ alitua katika ardhi ya Afrika na moja kwa moja alipata bahati ya kuhudhuria sherehe za utoaji Tuzo za MTV Africa (Mama) zilizofanyika jijini Durban,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

HONGERA MADAM, WASHIRIKI MNAANDIKA LAKINI?

KWAKO Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen ‘Madam’ habari za siku dada yangu? Vipi uko poa? Pole na hongera kwa kazi nzito unayoifanya kwa ajili ya vijana wetu wa Kitanzania kupitia Shindano la Bongo Star Search (BSS). Umewapa fursa ya kuonekana, kujitangaza, hii ni zaidi ya shindano la kuonesha vipaji. Binafsi mimi ni mzima, namshukuru Mungu. Naendelea kupambana katika uwanja wangu wa habari na leo nimekukumbuka...

 

10 years ago

Mwananchi

Ni mpambano wa Ali Kiba V Diamond

Kitendawili cha muda mrefu cha ‘nani mbabe kati ya Ali Kiba na Diamond’ huenda kikapata moja ya majawabu yake leo usiku, wakati wa tamasha la Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA) zitakazofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City.

 

10 years ago

GPL

ALI KIBA ATANGAZA VITA NA DIAMOND!

Brighton Masalu VITA! Saa chache tu baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar akitokea nchini Marekani kwa shughuli za kimuziki, staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametangaza kile kinachotafsirika kuwa ni vita dhidi ya hasimu wake kwenye anga la muziki huo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda lina ‘full’ stori. Staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba....

 

11 years ago

GPL

ALI KIBA VS DIAMOND WANAGOMBEA UFALME

INAWEZEKANA lisiwe jibu sahihi lakini kwa kiasi fulani linatoa picha juu ya kinachoendelea kwenye ulimwengu wa Bongo Fleva, kila kona gumzo ni juu ya nani mkali kimuziki kati ya Diamond Platnumz dhidi ya Ali Kiba. Ali Kiba. Nasibu Abdul ‘Diamond’ ndiye staa kwa sasa na amedumu kileleni kwa miaka kadhaa, hilo halina ubishi, lakini Ali Kiba amerejea kwa kutoa nyimbo mbili za Kimasomaso na… ...

 

11 years ago

GPL

ALI KIBA, DIAMOND WAFIKA PABAYA!

Na Sifael Paul
Hatimaye! Kwa mara ya kwanza staa ‘the big name’ wa Bongo Fleva ndani na nje ya Bongo, Ali Saleh Kiba ameibuka na kumlipua hasimu wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, hali inayotafsiriwa kwamba bifu lao sasa limefika pabaya ikidaiwa kwamba wanagombea nyota (ustaa). Staa ‘the big name’ wa Bongo Fleva ndani na nje ya Bongo, Ali Saleh Kiba. Kupitia Kipindi cha The Sporah...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ali Kiba: ‘Kolabo’ na Diamond haitatokea

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, amesema haitakuja kutokea kufanya ‘kolabo’ na msanii wa muziki huo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ katika maisha yake. Kauli hiyo ya Ali...

 

10 years ago

Mtanzania

Diamond, Ali Kiba wachuana Tuzo za Watu

kiba na diamondNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
WANAMUZIKI mahiri wa muziki wa Bongo fleva nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ na Ali Kiba, ni miongoni mwa wasanii wanaochuana katika Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume katika Tuzo za Watu 2015.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Bongo 5 Media Group, inayoratibu tuzo hizo, Nancy Sumari, wasanii wengine walio katika kipengele hicho ni Elias Barnaba, Ommy Dimpoz na Jux.
Katika kipengele cha msanii bora wa kike wanaochuana ni Lady Jaydee, Linah,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani