ALI KIBA, DIAMOND WAFIKA PABAYA!
![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeF0zZeZGlSJHtOWY-SnzsI*8fW09fH5-*ZDgnKKuurQrzT8uXdvYKhtBHByo2bnh7Pije8ZlgjEtn498nQ0qZBl/alli.jpg)
Na Sifael Paul Hatimaye! Kwa mara ya kwanza staa ‘the big name’ wa Bongo Fleva ndani na nje ya Bongo, Ali Saleh Kiba ameibuka na kumlipua hasimu wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, hali inayotafsiriwa kwamba bifu lao sasa limefika pabaya ikidaiwa kwamba wanagombea nyota (ustaa). Staa ‘the big name’ wa Bongo Fleva ndani na nje ya Bongo, Ali Saleh Kiba. Kupitia Kipindi cha The Sporah...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ccv79ba4KWADbLyRA8rwFVTGuG7QtilEZuThrxHpdXD6lvnV0c91aDOLdB0OZH0NkP0Qt0ObPj35JUiYd2y6N6ET9AVSVcOP/lulu.jpg?width=650)
KISA UHUSIANO NA DIAMOND LULU, WEMA WAFIKA PABAYA!
Stori: Imelda Mtema Pamoja na wenyewe kudai hawajui kilichotokea, mastaa wawili wenye sura za mauzo kunako sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Wema Isaac Sepetu, kwa sasa wanadaiwa kufikia pabaya kufuatia bifu zito linalofukuta kati yao. Staa wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu. Habari za mjini zinadai kwamba, Wema amekuwa akishtushwa na kuchukizwa na kitendo cha Lulu kuwa upande wa aliyewahi kuwa mwandani wake,...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfIXzVrPfI24CgyJIUtuxjMj3CsFBNkbcK2VEkF3jmb77X1R0vHQ1Tlb*YKa7qUCHbfjW9ngUiQAYQhs1PiQpk0hXDbTH1Of/lulu.jpg?width=650)
LULU, WEMA WAFIKA PABAYA
Pamoja na wenyewe kudai hawajui kilichotokea, mastaa wawili wenye sura za mauzo kunako sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Wema Isaac Sepetu, kwa sasa wanadaiwa kufikia pabaya kufuatia bifu zito linalofukuta kati yao. Staa wa sinema za kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Habari za mjini zinadai kwamba, Wema amekuwa akishtushwa na kuchukizwa na kitendo cha Lulu kuwa upande wa aliyewahi kuwa...
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Ni mpambano wa Ali Kiba V Diamond
Kitendawili cha muda mrefu cha ‘nani mbabe kati ya Ali Kiba na Diamond’ huenda kikapata moja ya majawabu yake leo usiku, wakati wa tamasha la Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA) zitakazofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWwc16VS*IKJNmXnHL-kQ0SlEiFI9RnTm*ovm0fjZEmNv-BH4LTeVwlBScXps4c-hi3AFb6pJ74rfIZN1Z5qt23I/mtitu.jpg?width=650)
STEVE NYERERE, MTITU WAFIKA PABAYA!
Na Shakoor Jongo
MWENYEKITI wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ na katibu wake, William Mtitu wamefika pabaya kwa kudaiwa kushindwa kusalimiana huku kila mmoja akificha sura asikutane na mwenzake. Tukio lililodhihirisha kuwa wawili hao hawaivi, lilichukua nafasi juzikati katika Viwanja vya Leaders Club vilivyopo Kinondoni jijini Dar, kulipokuwa na uzinduzi wa filamu iliyokwenda kwa jina la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e*Zl4lsZr*dH5tCG1TWRCYCJO4POAL2yj0F*-fOMsQ8yhtKcf8xGxGtygtjOnPzfIhrs0O4QUgkOJoRHn69AJRY/KarruecheTran.jpg?width=650)
KARRUECHE, CHRIS BROWN WAFIKA PABAYA!
Mtangazaji na mwanamitindo, Karrueche Tran. New York,Marekani
MTANGAZAJI na mwanamitindo, Karrueche Tran amemchana mpenzi wake wa zamani, Christopher Maurice ‘Chris Brown’ katika mitandao ya kijamii. Karrueche Tran akiwa na aliyekuwa mpenzi wake, Christopher Maurice ‘Chris Brown’.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Karrueche alimfungukia Chris kuwa asimfuatefuate kwani mapenzi yao yalishakwisha tangu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9c2LVsFPg1Tre2-yJ177fjMfVUMG17ZwRjvUsQ5aGWjhyZunIT1IVltBgQ4O0H316ZTP9387OmiWtUDUcGECKiK/FRONT.jpg?width=650)
LULU, MAMA KANUMBA WAFIKA PABAYA
WAANDISHI WETU HALI ni mbaya! Staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mama wa aliyekuwa nyota wa fani hiyo, Steven Kanumba, Flora Mtegoa wamefikia pabaya baada ya mama huyo kumshushia Lulu maneno makali na ya shutuma, Amani lina taarifa. Staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Habari zilizojiri ndani ya chumba cha habari cha gazeti hili zinadai kuwa, mama Kanumba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXWAQH67CmiGmFY*3M*qi2ynDPZPQ9howDbc4Yt2G*LUMOtBnJUZ4D9lT-eXk9Tv-JjgJYiyww6GYZFvsKQQwW1C/ryeuiy.jpg?width=650)
STEVE NYERERE, DUDE WAFIKA PABAYA!
Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha Hali mbaya! Lile bifu la waigizaji wa filamu za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ na Kulwa Kikumba ‘Dude’ limefika pabaya ambapo wamekuwa wakitoleana maneno makali kwamba mmoja wao akifa hawatazikana. Stive Nyerere. Chanzo cha wasanii hao kugombana kilitokana na kaburi la marehemu Adam Kuambiana ambalo limejengwa hivi karibuni ambapo kupitia mtandao wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lihD20i2jrxcqicIMKVQCrk2N7XnWhUUZeGzFxIZjpyMFzu6tJi1wwgvagmL61kMYmSpUZ4NVZlNGgeZwUSBpoS*X3RjHqoB/666o.jpg?width=650)
ALI KIBA ATANGAZA VITA NA DIAMOND!
Brighton Masalu VITA! Saa chache tu baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar akitokea nchini Marekani kwa shughuli za kimuziki, staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametangaza kile kinachotafsirika kuwa ni vita dhidi ya hasimu wake kwenye anga la muziki huo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda lina ‘full’ stori. Staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania