STEVE NYERERE, MTITU WAFIKA PABAYA!

Na Shakoor Jongo MWENYEKITI wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ na katibu wake, William Mtitu wamefika pabaya kwa kudaiwa kushindwa kusalimiana huku kila mmoja akificha sura asikutane na mwenzake. Tukio lililodhihirisha kuwa wawili hao hawaivi, lilichukua nafasi juzikati katika Viwanja vya Leaders Club vilivyopo Kinondoni jijini Dar, kulipokuwa na uzinduzi wa filamu iliyokwenda kwa jina la...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
STEVE NYERERE, DUDE WAFIKA PABAYA!
10 years ago
GPL
MTITU, STEVE NYERERE WAAPA KUTOZIKANA!
10 years ago
Bongo Movies21 May
Dude, Mtitu Nitakufa kwa Mipango ya Mungu-Steve Nyerere
Naomba kumshukulu mungu kwa kila jambo yehova wewe ndio kimbilio langu. Pili kwa masikitiko makubwa nasema watashindana ila awata shinda .niongee kidogo kwa kifupi mara kwa mara nimekuwa nazalilishwa na najiuliza tatizo nini nagundua nyota .
Maishani kila binadamu mungu kampa fulsa yake so ukubali ukatae ndio hivo. Nilipigiwa simu na Mrs Adam kuambiana yani mke wa marehemu kama rafiki ndugu na msanii mwenzake kuwa anajenga kaburi la marehemu Kuambiana.
Nikajiuliza, kwa nini ajenge yeye...
10 years ago
GPL
LULU, WEMA WAFIKA PABAYA
10 years ago
GPL
LULU, MAMA KANUMBA WAFIKA PABAYA
10 years ago
GPL
KARRUECHE, CHRIS BROWN WAFIKA PABAYA!
11 years ago
GPL
ALI KIBA, DIAMOND WAFIKA PABAYA!
10 years ago
GPL
KISA UHUSIANO NA DIAMOND LULU, WEMA WAFIKA PABAYA!
10 years ago
GPL
MTITU AKUBALI KUSAMEHEANA NA STEVE