UTENDAJI KAZI WA MAHAKAMA YA TANZANIA WAMFURAHISHA JAJI MKUU WA ETHIOPIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TF9Zr_HAqNQ/XkxFI2NpAmI/AAAAAAALeGo/yG6XLL-9ZwojkZrThqDj5cqya1XklkXTACLcBGAsYHQ/s72-c/FC4A5262AA-1024x756.jpg)
Jaji Mkuu wa Ethiopia, Mhe. Meaza Mengistu (aliyevaa kitenge) akipokelewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi Mwandamizi, Mhe. Agnes Mchome wa Mahakama ya Wilaya ya Kigamboni, baada ya kuwasili leo katika Mahakama ya Wilaya ya Kigamboni na Mahakama ya Mwanzo Kigamboni iliyopo jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu wa Ethiopia, Mhe. Meaza Mengistu (kushoto) akitembelea Mahakama ya Wilaya ya Kigamboni iliyopo jijini Dar es Salaam, ambapo alijifunza kuhusu ujenzi wa Mahakama hiyo kwa kutumia gharama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IwtGxHJdMb0/Vdc7slrHW3I/AAAAAAAHy7E/TwussC6hTRs/s72-c/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
MAJAJI WAPYA WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI JUU YA UTENDAJI KAZI MAHAKAMANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-IwtGxHJdMb0/Vdc7slrHW3I/AAAAAAAHy7E/TwussC6hTRs/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-m7PiMAToM8g/Vdc7sLlwO7I/AAAAAAAHy7A/iu6zjY8d-rQ/s640/New%2BPicture.png)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rYEMP1M5TFk/VdgwaQ_M7sI/AAAAAAAHzFA/_lbQi9lBcjM/s72-c/A.jpg)
WAHE. MAJAJI WAPYA WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI JUU YA UTENDAJI KAZI MAHAKAMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-rYEMP1M5TFk/VdgwaQ_M7sI/AAAAAAAHzFA/_lbQi9lBcjM/s640/A.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MCuF-8AWcz8/VdgwbWxrt6I/AAAAAAAHzFI/SPoAF1rCD6s/s640/B.jpg)
10 years ago
MichuziJAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA ‘SABASABA, AZURU KATIKA BANDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA, POLISI, MAGEREZA NA MENGINEYO
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande atoa somo kwa Waandishi wa Habari za Mahakama
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande akitoa ufafanuzi kwa wanabari (hawapo pichani) kuhusu uandishi bora wa habari za Mahakama wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo waandishi wa Habari za Mahakama jana jijini Dar es salaam.
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande (kushoto) na Meneja wa Maadili wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Allan Lawa (kulia) wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari za Mahakama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XSHRhVoYCGA/XkmHgZRgG_I/AAAAAAALdng/HIqeEtIikLINlDm0QW_pZYMuOdWBb1VGQCLcBGAsYHQ/s72-c/9b42ed9f-f3fd-40d3-b745-83f889850dcc.jpg)
JAJI MKUU WA ETHIOPIA AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA SIKU TATU
![](https://1.bp.blogspot.com/-XSHRhVoYCGA/XkmHgZRgG_I/AAAAAAALdng/HIqeEtIikLINlDm0QW_pZYMuOdWBb1VGQCLcBGAsYHQ/s640/9b42ed9f-f3fd-40d3-b745-83f889850dcc.jpg)
Jaji Mkuu wa Ethiopia, Mhe. Meaza Mengistu (kulia) akisalimiana leo na Balozi wa Ethiopia nchini Tanzania, Mhe. Yonas Sanbe mara baada ya kuwasili katika Viwanja vya Ndege vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/a0b45103-92ae-4892-bd2a-ef2541aa3c87.jpg)
11 years ago
Habarileo02 Feb
Jaji Mkuu ashutumu kuchomwa Mahakama
MAHAKAMA nne za Mwanzo nchini zimechomwa moto katika matukio tofauti kwa kipindi cha mwaka juzi hadi mwaka huu jambo lililosababisha wananchi kukosa huduma na kuchelewesha upatikanaji wa haki. Jaji Mkuu Othman Chande alisema hayo hivi karibuni wakati akizungumzia siku ya Sheria dunia itakayofanyika kesho kutwa.
10 years ago
Habarileo04 Jul
Jaji Mkuu awaasa watumishi mahakama
JAJI Mkuu wa Tanzania, Othman Chande amewataka watumishi wa mahakama nchini kuwa waadilifu wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao.
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Jaji Mkuu aonya wavunja amri za Mahakama
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, amewaonya watu wanaodharau na kuvunja kwa makusudi amri halali za Mahakama kwamba watakabiliwa na vifungo wakibainika kutenda kosa hilo. Alisema ikiwa Mahakama itatoa...
10 years ago
VijimamboJAJI MKUU ZANZIBAR ATEMBELEA MAHAKAMA PEMBA