Jaji Mkuu ashutumu kuchomwa Mahakama
MAHAKAMA nne za Mwanzo nchini zimechomwa moto katika matukio tofauti kwa kipindi cha mwaka juzi hadi mwaka huu jambo lililosababisha wananchi kukosa huduma na kuchelewesha upatikanaji wa haki. Jaji Mkuu Othman Chande alisema hayo hivi karibuni wakati akizungumzia siku ya Sheria dunia itakayofanyika kesho kutwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Jul
Jaji Mkuu awaasa watumishi mahakama
JAJI Mkuu wa Tanzania, Othman Chande amewataka watumishi wa mahakama nchini kuwa waadilifu wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao.
10 years ago
VijimamboJAJI MKUU ZANZIBAR ATEMBELEA MAHAKAMA PEMBA
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Jaji Mkuu aonya wavunja amri za Mahakama
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, amewaonya watu wanaodharau na kuvunja kwa makusudi amri halali za Mahakama kwamba watakabiliwa na vifungo wakibainika kutenda kosa hilo. Alisema ikiwa Mahakama itatoa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TF9Zr_HAqNQ/XkxFI2NpAmI/AAAAAAALeGo/yG6XLL-9ZwojkZrThqDj5cqya1XklkXTACLcBGAsYHQ/s72-c/FC4A5262AA-1024x756.jpg)
UTENDAJI KAZI WA MAHAKAMA YA TANZANIA WAMFURAHISHA JAJI MKUU WA ETHIOPIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TF9Zr_HAqNQ/XkxFI2NpAmI/AAAAAAALeGo/yG6XLL-9ZwojkZrThqDj5cqya1XklkXTACLcBGAsYHQ/s640/FC4A5262AA-1024x756.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/FC4A5373AA-1024x682.jpg)
Jaji Mkuu wa Ethiopia, Mhe. Meaza Mengistu (kushoto) akitembelea Mahakama ya Wilaya ya Kigamboni iliyopo jijini Dar es Salaam, ambapo alijifunza kuhusu ujenzi wa Mahakama hiyo kwa kutumia gharama...
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Jaji Mkuu: Mahakama nchini bado zinakabiliwa na tatizo la rushwa
5 years ago
MichuziMAHAKAMA HAIWEZI KUWA HURU BILA YA UWAJIBIKAJI NA MAADILI: JAJI MKUU
Na Lydia Churi-Mahakama, Dodoma
JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma amesema uhuru wa Mahakama...
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AZUNGUMZA NA MGOMBEA WA NAFASI YA JAJI MAHAKAMA YA ICC
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pW5TutPlQ5g/XupuKetXYrI/AAAAAAALuSs/NtZxcHTfo04hyCIBb77Cd3R_Zwa2u9DnQCLcBGAsYHQ/s72-c/JAJI%2BMKUU.jpg)
JAJI MKUU AVITAKA VYOMBO VYA MAHAKAMA KUPAMBANA NA RUSHWA ILI KUEPUSHA UCHELEWESHAJI WA HAKI
MAHAMAMA nchini zimetakiwa kupambana na vitendo vya rushwa ili kuzuia ucheleweshaji wa haki unaofanywa kwenye kesi na mashauri mbalimbali yanayofunguliwa.
Wito huo umetolewa jijini Dodoma na Jaji Mkuu nchini, Prof Ibrahim Juma alipokuwa akifungua kongamano la wadau kujadili rushwa katika mfumo wa utoaji haki nchini.
Jaji Mkuu amesema amesema vitendo vya rushwa hushamiri zaidi katika taasisi zinazo chelewesha haki na hivyo kutaka hatua zaidi za mapambano dhidi ya rushwa...
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande atoa somo kwa Waandishi wa Habari za Mahakama
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande akitoa ufafanuzi kwa wanabari (hawapo pichani) kuhusu uandishi bora wa habari za Mahakama wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo waandishi wa Habari za Mahakama jana jijini Dar es salaam.
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande (kushoto) na Meneja wa Maadili wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Allan Lawa (kulia) wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari za Mahakama...