JAJI MKUU ZANZIBAR ATEMBELEA MAHAKAMA PEMBA
JAJI mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu wa pili kulia akiangalia matengenezo ya jengo la mahakama ya Mkoa Chakechake wa mwanzo kulia ni Naibu mrajisi wa mahakama kuu Zanzibar Mhe, Ali Ameir, jengo ambalo linafanyiwa matengenezo makubwa hivi,
MFANYAKAZI wa mahakama ya mwanzo Kengeja Mgeni Abdalla akielezea matatizo yanayowakabili katika mahakama yao, mbele ya Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe, Omar Othman Makungu wakati alipotembelea mahakama hiyo kujua matatizo yao yanayowakabili
HAKIMU wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA ‘SABASABA, AZURU KATIKA BANDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA, POLISI, MAGEREZA NA MENGINEYO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Ya6oWAZi_js/VVw68FoqjxI/AAAAAAADnwY/_jUM0SeVmrE/s72-c/unnamed.jpg)
JAJI MKU WA ZANZIBAR MHE. OMAR OTHMAN MAKUNGU, AZINDUA MAHAKAMA YA BIASHARA ZANZIBAR. MAY 18.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ya6oWAZi_js/VVw68FoqjxI/AAAAAAADnwY/_jUM0SeVmrE/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9sWx2Q1syws/VVw7BdzF3jI/AAAAAAADnwg/3sISWMCpR1g/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GzkCrbeyyOI/VVw7FLkzqDI/AAAAAAADnwo/614ZLzorrq4/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kzojvfOH520/VVw7KVdfr8I/AAAAAAADnww/RxmkOPREJPw/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sHLmsTLmoW4/VVw7OUSFOiI/AAAAAAADnw4/02BCqsGooj8/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D8wjjeJ6TV8/VVw7Ty-I5gI/AAAAAAADnxA/Pgcz9xIl1Hw/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Habarileo02 Feb
Jaji Mkuu ashutumu kuchomwa Mahakama
MAHAKAMA nne za Mwanzo nchini zimechomwa moto katika matukio tofauti kwa kipindi cha mwaka juzi hadi mwaka huu jambo lililosababisha wananchi kukosa huduma na kuchelewesha upatikanaji wa haki. Jaji Mkuu Othman Chande alisema hayo hivi karibuni wakati akizungumzia siku ya Sheria dunia itakayofanyika kesho kutwa.
10 years ago
Habarileo04 Jul
Jaji Mkuu awaasa watumishi mahakama
JAJI Mkuu wa Tanzania, Othman Chande amewataka watumishi wa mahakama nchini kuwa waadilifu wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao.
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Jaji Mkuu aonya wavunja amri za Mahakama
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, amewaonya watu wanaodharau na kuvunja kwa makusudi amri halali za Mahakama kwamba watakabiliwa na vifungo wakibainika kutenda kosa hilo. Alisema ikiwa Mahakama itatoa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K_SUvxE3rfk/U7xZPLY4b7I/AAAAAAAFzDE/UpIg_cvZ2Ds/s72-c/unnamed+(31).jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DKT ALI MOHAMED SHEIN ATEMBELEA PEMBA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-K_SUvxE3rfk/U7xZPLY4b7I/AAAAAAAFzDE/UpIg_cvZ2Ds/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-K7e_J8vudQ0/U7xZO7RuJqI/AAAAAAAFzDw/56k4a79xWhg/s1600/unnamed+(32).jpg)
5 years ago
CCM BlogRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AWASILI ZANZIBAR AKITOKEA PEMBA BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU PEMBA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TF9Zr_HAqNQ/XkxFI2NpAmI/AAAAAAALeGo/yG6XLL-9ZwojkZrThqDj5cqya1XklkXTACLcBGAsYHQ/s72-c/FC4A5262AA-1024x756.jpg)
UTENDAJI KAZI WA MAHAKAMA YA TANZANIA WAMFURAHISHA JAJI MKUU WA ETHIOPIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TF9Zr_HAqNQ/XkxFI2NpAmI/AAAAAAALeGo/yG6XLL-9ZwojkZrThqDj5cqya1XklkXTACLcBGAsYHQ/s640/FC4A5262AA-1024x756.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/FC4A5373AA-1024x682.jpg)
Jaji Mkuu wa Ethiopia, Mhe. Meaza Mengistu (kushoto) akitembelea Mahakama ya Wilaya ya Kigamboni iliyopo jijini Dar es Salaam, ambapo alijifunza kuhusu ujenzi wa Mahakama hiyo kwa kutumia gharama...
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Jaji Mkuu: Mahakama nchini bado zinakabiliwa na tatizo la rushwa