Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LIUNDI; ALISABABISHA MKEWE AUE WATOTO WATATU- 5

Marehemu George Liundi. ALIYEKUWA Msajili wa Vyama vya Siasa, George Liundi alisababisha mkewe Agnes Doris Liundi kuua watoto wake watatu kwa kuwanywesha sumu, sasa tuangalie mahakamani alijiteteaje? Wakili wake aliyefahamika kwa jina moja la Jadeda alisema kwamba, mtu yeyote aliyerukwa na akili anaweza kupanga hatua kwa hatua kutekeleza mauaji kama alivyofanya mtuhumiwa na asijue kama kitendo alichokifanya ni kosa. Wakili...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TANESCO WILLIAM MHANDO, MKEWE NA WENZAO WATATU KIZIMBANI


Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Mahakamani

ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando, mke wake Eva Mhando, na wenzao watatu, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na mashitaka sita ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka, kughushi na kujipatia Sh. Milioni 31.7 kwa njia ya udanganyifu. Kadhalika, Mhando anakabiliwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa kuipa zabuni Kampuni ya Santa Clara Supplies Ltd, huku akijua ana...

 

10 years ago

Vijimambo

UNAJUA WATOTO WATATU WA DEMU WA DIAMOND ZARI__WAONE HAPA__PIA KAWAJIBU WALE WANAOSEMA ANAKULA BATA TU NA DIAMOND HUKU KAWAACHA WATOTO WAKE WANATESEKA

ILA tuache utani huyu manzi ni mkaleeeeee Katika kudhihirisha kuwa NI MAMA BORA KWA WATOTO WAKE ZARI AMEWAJIBU WALE WANAODAI KAWATEKELEZA WATOTO WAKE WATATU NA KULA BATA NA DIAMOND__hivi ndivyo alivyopost katika acount yake ya FACEBOOK"Zala ababo obugumba obukatawanya mxxxuuuuiiiiii. I don't owe anyone an explanation but at the same time I have pple who look up to me and get disturbed by some false news out there.I love my soldiers. Out of the 365 days in year am responsible for 300 days and...

 

11 years ago

Habarileo

Achinja mkewe watoto wakishuhudia

POLISI mkoani Katavi wanamsaka mkazi wa kijiji cha Urwila wilayani Mlele, Mohamedi Katyukuru (49) kwa kumuua mkewe kwa kumchinja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Futari yaua watoto watatu

WATOTO watatu wa familia moja wamefariki dunia baada ya kula futari inayosadikiwa kuwa na sumu katika Kijiji cha Kwasunga, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga. Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi...

 

11 years ago

GPL

MTOTO WA MBARAKA MWISHEHE NUSURA AUE!

Na Makongoro Oging’
MASIKU Mbaraka Mwishehe ametiwa mbaroni na Jeshi la Polisi Kinondoni, Dar es Salaam kwa madai ya kuwashambulia kwa kisu watu wawili wa familia moja. Tukio hili lilitokea hivi karibuni Mwananyamala Kisiwani, Dar ambapo kwa mujibu wa taarifa ya kipolisi, mtuhumiwa huyo alikutwa ndani ya nyumba ya Nelson Ainea Shoo, saa kumi na moja alfajiri. Akizungumza na Amani, mke wa Nelson aliyejitambulisha kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mama atupa watoto watatu porini

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mama wa watoto watatu, mkazi wa wilayani hapa, mwanzoni mwa wiki hii aliwatekeleza porini watoto hao, akiwemo mwenye umri wa miezi mitatu.

 

11 years ago

GPL

WATOTO WATATU WABAKWA KWA ZAMU!

Stori:Chande Abdallah na Deogratius Mongela
Inaumiza kusikia! Watoto watatu ambao ni majirani wamejikuta wakiingia kwenye kadhia ya kubakwa kwa zamu na watoto wenzao ambapo mmoja anadaiwa kuwa na umri wa miaka 17 huku mwingine akiwa na umri wa miaka 14 ambaye pia ni denti wa darasa la nne. Watoto watatu wadogo waliobakwa kwa zamu na watoto wenzao. Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni maeneo ya Mbagala-Mianzini...

 

11 years ago

Mwananchi

Watoto watatu wafariki dunia wakiogelea Dar

Simanzi na vilio jana vilitawala katika Mtaa wa Kijitonyama Mpakani A, baada ya watoto watatu wa familia jirani kufariki dunia baada ya kuzama katika bwawa la kuogelea walipokuwa wakisherehekea siku ya kuzaliwa mtoto mwenzao aliyetimiza mwaka mmoja.

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Mwesumo: Aboud Jumbe alisababisha niache kazi

>Wahenga walisema, kila zama na kitabu chake, ndivyo ilivyo siyo tu kwa watawala, bali hata maisha ya kila mwanadamu yana ‘kitabu chake.’

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani