Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Achinja mkewe watoto wakishuhudia

POLISI mkoani Katavi wanamsaka mkazi wa kijiji cha Urwila wilayani Mlele, Mohamedi Katyukuru (49) kwa kumuua mkewe kwa kumchinja.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Achinja mkewe, naye ajiua

MWANAMUME mwenye umri wa miaka 30 amejinyonga kwa kamba ya katani hadi kufa baada ya kumuua mkewe kwa kumchinja shingo kwa kisu kutokana na kile alichodai kuwa ni kudharauliwa na mkewe.

 

11 years ago

GPL

LIUNDI; ALISABABISHA MKEWE AUE WATOTO WATATU- 5

Marehemu George Liundi. ALIYEKUWA Msajili wa Vyama vya Siasa, George Liundi alisababisha mkewe Agnes Doris Liundi kuua watoto wake watatu kwa kuwanywesha sumu, sasa tuangalie mahakamani alijiteteaje? Wakili wake aliyefahamika kwa jina moja la Jadeda alisema kwamba, mtu yeyote aliyerukwa na akili anaweza kupanga hatua kwa hatua kutekeleza mauaji kama alivyofanya mtuhumiwa na asijue kama kitendo alichokifanya ni kosa. Wakili...

 

11 years ago

GPL

Mnyama achinja

Mchezaji wa Simba SC, Ali Badru (kushoto) akimtoka mchezaji wa Rhino Rangers, Laban Kambole siku ya jana Taifa. Na Sweetbert Lukonge
MBIO za ubingwa wa Ligi Kuu Bara ziliendelea jana kwenye Uwanja wa Taifa ambapo Simba ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Rhino Rangers. Simba ambayo ilionyesha soka zuri na kutawala…

 

10 years ago

Bongo5

Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!

Rapper wa Marekani, Earl Hayes amemuua mke wake Stephanie Moseley aliyekuwa staa kwenye kipindi cha “Hit the Floor” cha VH1 kwa risasi na yeye kujiua kutokana na wivu wa mapenzi. Stephanie Moseley Hayes alikuwa ameumizwa na uhusiano wa kimapenzi aliokuwa nao mke wake na Trey Songz. Stephanie Moseley aliuawa nyumbani kwao na mume wake huyo […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana achinja familia na kuwala

Mwanaume mmoja raia wa Hong Kong amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa mauaji,kuwanyunyizia chumvi na kuwapika nduguze.

 

10 years ago

Habarileo

Achinja mpwawe, auawa na kuchomwa moto

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed MsangiKATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wakazi wa Mtaa za Nsalaga jijini hapa, jana asubuhi walishuhudia matukio ya mauaji ya watu wawili ndugu, moja likiwa ni mtu aliyemchinja na kumtenganisha kichwa na kiwiliwili mtoto wa dada yake, kabla naye kuuawa kwa kupigwa mawe na kisha mwili wake kuchomwa moto.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Achinja mpenzi wake kisha ajiua

MKAZI wa Kijiji cha Migori mkoani Iringa, Alex Sihayo (38) amemchinja kwa kumkata koromeo na kumua mwanamke anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake kisha kujiua kwa kunywa sumu. Kamanda wa Polisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani