Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Achinja mkewe, naye ajiua

MWANAMUME mwenye umri wa miaka 30 amejinyonga kwa kamba ya katani hadi kufa baada ya kumuua mkewe kwa kumchinja shingo kwa kisu kutokana na kile alichodai kuwa ni kudharauliwa na mkewe.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Achinja mpenzi wake kisha ajiua

MKAZI wa Kijiji cha Migori mkoani Iringa, Alex Sihayo (38) amemchinja kwa kumkata koromeo na kumua mwanamke anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake kisha kujiua kwa kunywa sumu. Kamanda wa Polisi...

 

10 years ago

Habarileo

Achinja mkewe watoto wakishuhudia

POLISI mkoani Katavi wanamsaka mkazi wa kijiji cha Urwila wilayani Mlele, Mohamedi Katyukuru (49) kwa kumuua mkewe kwa kumchinja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aua watu 8 naye ajiua Canada

Polisi nchini Canada wanasema kuwa watu 8 wameuawa kwa kupigwa risasi na mtu mmoja ambaye naye alijiuua.

 

10 years ago

Habarileo

Aua mama mkwe, mwanawe naye ajiua

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeMKAZI wa kitongoji cha Ng’anandi kijiji cha Mpinga Kata ya Kigwe wilayani Bahi, Jumanne Ichirile (23) ameua mama mkwe wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili kwa kuwachoma visu.

 

10 years ago

CloudsFM

NEWS: AUA MAMA MKWE, MWANAWE NAYE AJIUA

MKAZI wa kitongoji cha Ng’anandi kijiji cha Mpinga Kata ya Kigwe wilayani Bahi, Jumanne Ichirile (23) ameua mama mkwe wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili kwa kuwachoma visu.
Pia amemjeruhi mkewe kabla ya kujiua kwa kujichoma na kisu tumboni, kutokana na wivu wa kimapenzi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema tukio hilo ni la Jumamosi iliyopita.

Waliouawa walitajwa kuwa ni Sarah Mango wa miaka kati ya 60 na 70 na mtoto, Amina Jumanne mwenye umri wa miaka miwili,...

 

9 years ago

Mwananchi

Aua mkewe naye auawa Arusha

Mume amemuua mkewe kwa kumchoma kisu kifuani jiji hapa kwa kile kinachodaiwa ni masuala ya kimapenzi na baadaye mume huyo kuuawa na wananchi waliochukizwa na tukio hilo.

 

10 years ago

GPL

MUME AMCHOMA KISU MKEWE, NAYE ANYWA SUMU

Mayasa Mariwata na Makongoro Oging’
MWANAMKE mmoja mwenye asili ya Kiarabu, Salma Amuri (39) (pichani) mkazi wa Mji Mpya, Kawe jijini Dar, amenusurika kifo baada ya kuchomwa visu sehemu mbalimbali za mwili wake ikiwemo tumboni na mumewe aliyetambulika kwa jina moja la Selemani.Mwanaume huyo naye baada ya tukio hilo alijaribu kujiua kwa kunywa sumu, chanzo kikidaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Salma Amuri anayedaiwa...

 

11 years ago

GPL

Mnyama achinja

Mchezaji wa Simba SC, Ali Badru (kushoto) akimtoka mchezaji wa Rhino Rangers, Laban Kambole siku ya jana Taifa. Na Sweetbert Lukonge
MBIO za ubingwa wa Ligi Kuu Bara ziliendelea jana kwenye Uwanja wa Taifa ambapo Simba ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Rhino Rangers. Simba ambayo ilionyesha soka zuri na kutawala…

 

10 years ago

Bongo5

Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!

Rapper wa Marekani, Earl Hayes amemuua mke wake Stephanie Moseley aliyekuwa staa kwenye kipindi cha “Hit the Floor” cha VH1 kwa risasi na yeye kujiua kutokana na wivu wa mapenzi. Stephanie Moseley Hayes alikuwa ameumizwa na uhusiano wa kimapenzi aliokuwa nao mke wake na Trey Songz. Stephanie Moseley aliuawa nyumbani kwao na mume wake huyo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani